Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
...gusa unate.Hii comment mbona kama ya kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...gusa unate.Hii comment mbona kama ya kiume
Tatizo anakazania kuwa karogwa.Msi mtupe msaada upo ni suala la muda tuu atapata suluhisho.
Watafuteni kampuni ya network marketing ya bf suma wana product kiboko ya wanuka ****Yaani sema kwa vile nakuelezea tu, ila hali halisi inatisha.
Akivaa nguo hamalizi siku anaivua.
Anavaa nguo za ndani hata 3 ili azuie harufu ila haiishi.
Tulimpeleka kwa dokta ila hatukufua dafu.
Kabaki anasema huenda karogwa.
Tungesema huenda ana tabia ya kutoa mimba maana kutoa mimba sana nako kunasababisha harufu ila huyu dada wala hata kuzaa hajazaa
Nitakuwa hivyo viwanja, usijali teacher!Weekend ni pale The Bistro au Bambalaga kuruka majoka na wazazi wa wanafunzi wangu
Anang'ang'ania karogwa.Watafuteni kampuni ya network marketing ya bf suma wana product kiboko ya wanuka ****
Nitakuwa hivyo viwanja, usijali teacher!Weekend ni pale The Bistro au Bambalaga kuruka majoka na wazazi wa wanafunzi wangu
Poa poa.Nitakuwa hivyo viwanja, usijali teacher!
Tena nitakuwa na mshua wangu, nipm bili zote juu yangu!!
Pole yake,, mwambie huyo rafiki yako apike ugali na huo ugali uliwe na wanaume. Au aalike best zake wa kiume tu na awapikie ugali wale na ile sufuria aloweke then akaoge afanye hivo mara kwa mara ikiwa bahati yake atapona.Duh! hiyo sasa konki.
Kuna mdada namjua yaani ukiingia ndani kwake hadi huruma, chumba kinanuka kumma tupu.
Katumia kila dawa.
Mpaka anahisi karogwa.
Mpaka sahv hatuendi kwake
Sasa unataka wafanyaje?Baa inaitwa Vatican city na WATU wametulia. Ingeitwa Makkah au Medina Bar sipati picha.
Ngoja nimwambie ila hataki kabisa kusikia suala la dawa maana kahangaika sanaPole yake,, mwambie huyo rafiki yako apike ugali na huo ugali uliwe na wanaume. Au aalike best zake wa kiume tu na awapikie ugali wale na ile sufuria aloweke then akaoge afanye hivo mara kwa mara ikiwa bahati yake atapona.
Huyo atakua na kwapa la kuzaliwa kulitoa ni kazi , pia asiamini kurogwa sana aende kwa specialist amuangalieNgoja nimwambie ila hataki kabisa kusikia suala la dawa maana kahangaika sana
Anadai karogwa.
Namwambia umejuaje hana cha kusema
Leo Dada kweli kabisa kuna jamaa yetu ni mwanaume ana kikwapa kinatema sana hata atumie marashi hayasaidii ilifika hatua hadi mchumba alimkimbia, sasa kuna mtu alimwambia ili kuondoa harufu basis anachukua limao anasugua kikwapa then anaogea maji ya ukoko, alifanya siku 7 baadae harufu ikaanza kukata kwa mbali hadi ikaisha kabisa.Pole yake,, mwambie huyo rafiki yako apike ugali na huo ugali uliwe na wanaume. Au aalike best zake wa kiume tu na awapikie ugali wale na ile sufuria aloweke then akaoge afanye hivo mara kwa mara ikiwa bahati yake atapona.
Sasa hivi ameolewa kuwasiliana mpaka anipigie napo ni salam za juujuu tu namheshimu ashakua mke wa mtu.Hakuwahi hata kujistukia kukuambia asante.
Tumemshauri ila ndo hivo.Huyo atakua na kwapa la kuzaliwa kulitoa ni kazi , pia asiamini kurogwa sana aende kwa specialist amuangalie
🚮Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.
Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi.
Siku hizi Tabata unakutana na Small Planet, Kitambaa Cheupe, Barakuda, The Great, Kwetu Pazuri(Twest) na nyinginezo nyingi zinazoibuka kila mahali.
Leo asubuhi nawahi kazini nakutana na convo imebebana wamelewa chakari na vyupa mkononi, nikasema kweli Tabata imekuwa mpya. Tetesi za mahospitali nimesikia pia imekuwa makao makuu ya UTI sugu.
Najua hivyo pia bibi ndio alinifundishaLeo Dada kweli kabisa kuna jamaa yetu ni mwanaume ana kikwapa kinatema sana hata atumie marashi hayasaidii ilifika hatua hadi mchumba alimkimbia, sasa kuna mtu alimwambia ili kuondoa harufu basis anachukua limao anasugua kikwapa then anaogea maji ya ukoko, alifanya siku 7 baadae harufu ikaanza kukata kwa mbali hadi ikaisha kabisa.
SawaTumemshauri ila ndo hivo.
Ngoja tuendelee kumshauri
Ok...Sawa
Sidhani kama anaweza fanya kosa la hivo, kisa kinaweza kuwa cha kweli ila wahusika na locations zinaweza kuwa twisted ili kulinda privacy.Umekosea umetaja watu, muda na locations atakutambua wewe nani.
Mbaya sana mkuu unaweza jikuta matatizoni siku ukirudi TZ.
Ila umeweka ushuhuda wa ukweli kuhusu harufu ya bidada.
Kuitwa mwanamke haihusiani na yeye kukubali au kukataa hilo, kwani akiitwa mwanamke anapata madhara gani, hata akikubali kwani ndio itamfanya abadilike jinsia yake awe mwanamke kweli auWewe ukiitwa mwanamke utakubali?