Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Kwahiyo Lego na Dagaa dagaa ni sinza? Basi Rombo pia ipo sinza. Unaujua mto ng'ombe?
 
Kuitwa mwanamke haihusiani na yeye kukubali au kukataa hilo, kwani akiitwa mwanamke anapata madhara gani, hata akikubali kwani ndio itamfanya abadilike jinsia yake awe mwanamke kweli au
Hauwezi kuitwa mwanamke na ukakaa kimya ikiwa wewe ni mwanaume. Labdauwe upinde. Ndo hivyo hivyo kwa waislam hauwezi kuita maeneo yao matukufu majina ya baa wakati kwao pombe ni haram.lazma mtiti utatokea
 
Was just comparing the same scenario to two sides. Reaction ingekuaje. Sijasema Hamna dhambi pale Vatican. Me mwenyewe nikifa nahisi nitakua Kuni za kuchomea WATU.
Makkah pombe Haram, Vatican pombe fresh,ni vitu viwili tofauti,sawa ufungue bucha la nguruwe uliite Makkah kitimoto bucha au masjid kitimoto bucha,huo ni uchokozi wa wazi
 
Endelea ikawaje aisee, haha
 
Mambo haya nishawahi kuwasimulia wana walikataa wakati mimi ilinitokea.
Nilimbanduaga mwanamke, ile harufu ilitoka baada ya siku nne.
Nilikuwa nikijifunika shuka shuka nasikia harufu chafu tu, kidole nilichopigia finga hata nioshe lakini baada ya muda nasikia harufu ya ukuma.
 
Hauwezi kuitwa mwanamke na ukakaa kimya ikiwa wewe ni mwanaume. Labdauwe upinde. Ndo hivyo hivyo kwa waislam hauwezi kuita maeneo yao matukufu majina ya baa wakati kwao pombe ni haram.lazma mtiti utatokea
Ndio maana nikasema kuitwa mwanamke hakuhusiani na yeye kukubali au kukataa hilo, kwa sababu akiitwa hivyo haimfanyi yeye kuwa mwanamke kweli haijalishi kama atakubali au atakataa, by the way unafikiri ni kwanini inaonekana tatizo pale tu mwanaume anapoitwa mwanamke na si mwanamke anapoitwa mwanaume
 
Una tatizo
 
Mliwahi kumpeleka kwa Gyno?
 
Nami nilikutana na kama yako cha ajabu nikaenda round mbili ndo nikasema kweli mi ni fisi, ujue mwanamke unampata alafu zinaanza stress za kujua ana uchi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…