Abondwe tuWeee! Huo ni Mkakati MAALUM wa kumfikia Mlengwa halisi - Ayatollah. Kwa kuiharibu miundo mbinu ya kijeshi Syria ni njia mojawapo ya kumkwamisha Mlengwa asipate mahali pa uwanja wa kuanzia au kutua na madude yake na Syria kuonekana kana kwamba ndio inashambulia. Kwa mkakati huo (endapo utafanikiwa), Itamlazimu Mlengwa ashambulie kutokea ndani kabisa kwenye ardhi yake na hapo ndipo atakuwa amehalalisha kubondwa yeye binafsi ndani ya nchi yake.
Ubongo wa kuku hauna hiyo capacity ya kumbukumbu. Chochote anachookota mitandaoni anapost as long as kinafurahisha matamanio yake.Si ulisema iran na Urusi hawawezi kuiachia Syria!!
Hiyo Ni mujarabu sana.Abondwe tu
Ayatollah wamle kichwa tuHiyo Ni mujarabu sana.
Mmmh! Naona swali hapo, jamaa ameinamisha kichwa.Si ulisema iran na Urusi hawawezi kuiachia Syria!!
Kwani na yeye Russia hadi sasa amejigawia hapo kidogo au anasikilizia kwanza?. Kama "Wakubwa" wakikaa kimya basi na yeye hapo atajikatia pande kubwa la kutosha la ardhi tambarare na kujimilikisha.
Naona wahuni wanazidi kugawana mbao tu. Muendelee kuwakumbatia warabu hivyo hivyo na nyinyi ipo siku utawala wa Sultan utarudi.
View: https://x.com/Osint613/status/1865792936983605353
Israel inawasaidia sana Wasyria... Hii Airport haitakiwi kwa wakati huu
Kwamba October 7 ndio iliyoanzisha HTS ?Waarabu wanazidi kusambaratishwa na kusambaratika.
Haya yote ni matokeo ya ujinga wa Hamas walioufanya october 7
Sahihi kabisa. Ili Iran iwe ni nchi iliyotulia Sio mambo ya Sharia na ukandamizaji wanawake uliopitiliza.Ayatollah wamle kichwa tu
Soma hapa acha kubwabwaja ππΌ1949 Armistice Agreements - WikipediaAcha uongo basi..
- Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la
1974, eneo ambalo
Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na
kulazimishwa kurejea
Syria:
Iran na Russia wapo likizo??Wanaukumbi.
π¨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.
Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:
- Al-Qunaitra
- Al-Hamidiyah
- Madinat al-Baath
Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:
- Kham Arnabah
Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================
View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hii speech itaishi muda mrefu aliwaonya baadhi ya viongozi wa kiarab kama Saddam alikuwa rafiki yao Marekani lakini walimkamata na kumnyonga basi yawezekana kesho ukafata wewe na bado mnawaita Marekani rafiki.
View: https://x.com/AtleticoFutbol_/status/1865700548353118720
Maneno yaliishi
Waarabu kwa fitina ni walimu
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?Wanaukumbi.
π¨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.
Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:
- Al-Qunaitra
- Al-Hamidiyah
- Madinat al-Baath
Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:
- Kham Arnabah
Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================
View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
ππππNa bado hajachema
October 7 ndio iliwaamsha waisrael ili wasambaratishe kila adui, rafiki wa adui mpaka mdhamini wa adui. Syria chini ya Assad kilikuwa kichaka cha Hizbullah kufichia silaha na uchochoro wa Iran kupitishia silaha kuelekea Palestina. Sasa kichaka kimefyekwa chote!Kwamba October 7 ndio iliyoanzisha HTS ?