Baada utawala wa Syria kuanguka Israel wamekimbilia kuchukua maeneo katika miji mitano katika milima ya Golan ya Syria wanazidi kuongeza mgogoro

Baada utawala wa Syria kuanguka Israel wamekimbilia kuchukua maeneo katika miji mitano katika milima ya Golan ya Syria wanazidi kuongeza mgogoro

Hajui Allah aliomba Dua mbaya Kwa MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE WAYAHUDI NA WAKRISTO WOOTE akapuuzwa Hadi Leo Wakristo na Wayahudi wanadunda!
👇👇
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Duh Kwan Allah siyo MUNGU kaka mpaka mpaka tena amuombe MWENYEZI MUNGU
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hata wakichukua yote ni sawa. Sisi msikiti wa shehe tumbo hatuna wasiwasi.
 
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.
Kichwa cha panzi kikitoa duku duku lake kwa unyongeee kabisa
 
Dogo haya maneno mnalishwa na nani?mkikaa kibarazani ndo kila siku mnasikiliza hizi chenga
We shika adabu yako mimi na uwezo wa kuwa baba yako, nacho ongea ni askari wa Assad ndio kaongea nimeweka video huko nyuma, kasikilize kama unajua kiarabu. Fala mmoja wewe. Mara ya pili jifunze adabu.
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

huyu mjahidina si ndio alikuwa anabisha tunapomwambia assad anapumulia mashine, wakati rafiki zake russia na iran wapo palepale?
 
Milima ya Golani ni ya Israel.


GOD BLESS ISRAEL
Ndiyo. Kutokana na ile vita ya 1967 theluthi mbili (2/3)ya eneo lote la Milima ya Golan (Golan Heights) ilnamilikiwa au ni mali ya Irsaeli na kaeneo kadogo theluthi moja (1/3) iliyobaki ya eneo hilo ndo mali ya Syria. Sasa kutokana na mtanange unaoendelea na uelekeo wake, "Mjomba" ameona ni bora amalizie kuchukua na hako kakipande (1/3) alikokaacha zamani ili iwe ni kitu kizima.
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Muda si mrefu na Gaza Strip itarudishwa kwa Israel.

GOD BLESS ISRAEL
 
Sheikh wangu umeandika kukubali kinyonge sana. Nlipokuwa nasema Urusi si wa kumuani ninyi mlinishambulia na kumgeuza yeye ndiye mola wenu. Mlisahau kabisa hana shirika nanyi la damu wala imani. Lakini urusi ni mbali hapa hapa karibu.kwani walompindua Assad ni makafir si hawa hawa ndugu katika imani? Kuna la kujifunza kubwa sana. ....sasa tuufahamu ukweli tuwache kuandika mihemko na utumbo. Mayahudi wameshiriki kumuangusha Syria na bado waendelea kuilemaza Iran na Hizbullah. Hawa miye nawajua watu wa fitna sana hawa. Wapanga mipango yao taratibu kwa akili.
Wataukausha mto frat ili wafalme watokao mawio ya jua wapate kupita.
 
Ndiyo. Kutokana na ile vita ya 1967 theluthi mbili (2/3)ya eneo lote la Milima ya Golan (Golan Heights) ilnamilikiwa au ni mali ya Irsaeli na kaeneo kadogo theluthi moja (1/3) iliyobaki ya eneo hilo ndo mali ya Syria. Sasa kutokana na mtanange unaoendelea na uelekeo wake, "Mjomba" ameona ni bora amalizie kuchukua na hako kakipande (1/3) alikokaacha zamani ili iwe ni kitu kizima.
Nyau anajipakulia tu minyama sasaivi kiulaiiiiiiiiiini au sio mkuu
 
Ana si
Ana silaha za kuchezea ndo maana anazitumia hovyo hovyo kwa kuwa usa tax will pay it
huwa nawashangaa sana watanzania kapuku wengine hawana hata hela kama wewe, ati wanaumia kwa USA tax kutumika na Israel. hawaelewi kuwa hao US tax payers ina include more than 8 million American Jews ambao wana uraia pia wa Israel na ndio walioshikilia uchumi wa Marekani. hivi Mtanzania anayeishi china akichangia mfuko wa kusaidia Tanzania utasema foreigner anapoteza kodi kwa watanzania? huwa hamuoni aibu kuongea hili jambo? tuwafafanulie hadi lini kwamba Marekani ni Israel na Israel ni marekani?
 
Ukisoma comments kwenye Uzi huu, utagundua Watanzania wengi wana matatizo ya akili makubwa sana.

Vita sio kitu cha kuweka ushabiki maandazi kama wa Simba na Yanga.Ni mpumbavu tu ndo huwa anashabikia vita.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Waarabu wanazidi kusambaratishwa na kusambaratika.
Haya yote ni matokeo ya ujinga wa Hamas walioufanya october 7

Mkuu, kila mwenye akili alijiuliza, Sinwar anajua anachokifanya? Tukaambiwa huu ndio mwisho wa mazayuni....Kila vita Mwarabu anapoaanzisha huwa anaishia kupoteza ardhi....Angalia Syria sasa hivi...!
 
Back
Top Bottom