Punguza utoto, matusi hayawezi kukusaidia ktk ufahamu wako.Afadhari kuwa mwanamke kuliko wewe shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza utoto, matusi hayawezi kukusaidia ktk ufahamu wako.Afadhari kuwa mwanamke kuliko wewe shoga
Pumbvuuu weweHali ya maisha ikiwa ngumu kiasi cha kutosha(zaidi ya hapa), hatutahitaji mwanasiasa wa kusema tuandamane kuwakataa watawala, bali tutaingia barabarani bila kuambiwa na mtu na hizo siku zaja.
Mkuu, Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kumbe wewe huwajui Wazanzibari. wao wanachagua mtu sio chama sio sera!. Uamuzi wa ACT kujiunga na SUK, is the best decision.Waswahili wana msemo: "atafutae hachoki, akichoka amepata". Msemo huu utajidhirisha huko Zanzibar kuanzia sasa ambapo Wazanzibar wanaotafuta ukombozi kwa mara ya pili, watatafuta ukombozi huo kupitia chama tofauti na ACT Wazalendo na chama pekee kitakuwa ni CHADEMA unless CHADEMA nao waonyeshe udhaifu wa kuungana na CCM Bungeni au nje ya Bunge..........
Mkuu, Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kumbe huwajui Wazanzibari
Kuna wakati mazingira huwalazimisha watu kubadilika ili kufikia malengo au kukabiliana na mazingira hayo.Mkuu, Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kumbe huwajui Wazanzibari
Wapinzani wanajitia madole kila siku. Sasa sijui mna lipi jipya?Watatusaliti wengi, lakini wako wachache wataosimama na sisi mpaka mwisho.
Mmeshafanywa vibaya hamna pa kushika.Hakika !
Muda utasema. Uzuri siku hazigandi.Nakubaliana na wewe kwa baadhi ya mambo, ila natafautiana na wewe unaposema Chadema itachukua nafasi ya ACT. Ni kweli kwamba Chadema wataweza kujiongezea wafuasi kidogo kutokana na hili ila si kwa kiwango kikubwa...
I hope unatania. Mnajua kama chama mna matatizo makubwa sana kwasasa?Sidhani kama Wazanzibar wataendelea kumuanini tena. Yaliyofanyika mwaka huu huko Zanzibar yanatisha hivyo haingii akilini kuungana na walifanya unyama ule.