Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mshitakiwa faini ya milioni 5 imemshinda ndiyo ataweza kumlipa wakili amtetee!Sasa wakili alikuwa wapi mpaka na yeye anaonekana hana taarifa? Hawa ndio wanafanyiwa mitihani vyuoni.
Kama mshitakiwa kakiri kosa kesi iendelee kuthibitisha nini!!, ukikiri kinachofuata ni mvua tu hakuna ziada.Kesi Leo Leo imeishia?. Ila ya yule mfiraji analindwa pamoja na Gekul. Kweli hii Serikali ya kijinga Sana.
Hii nchi imefika pabaya sana ni afadhali kukimbilia kwenye kundi la simba, chui, fisi, mamba na chatu porini utasalimika lakini sio watu waliopewa dhamana ya kulinda uhai, mali za mwananchi na kuzuia uharifu...period.Kijana Shadrack Chaula (24) mkazi wa Kijiji cha Ntokela, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya amehukumiwa faini ya Shilingi Milioni 5 au kifungo cha miaka miwili jela akishindwa kuilipa faini hiyo kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.
Kusoma hukumu hiyo, bofya hapa ~ Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela
Wakili aelezea
Wakili Michael Lugina ambaye ni mmoja wa Mawakili waliokuwa wanajitolea kwenda kumsaidia Kisheria, Shadrack Chaula amesema “Tumepata taarifa ya hukumu kabla hatujafika kukutana na mhusika, kwanza inawezekana ikawa moja ya kesi iliyoendeshwa kwa haraka zaidi Nchini kwa kuwa sio kawaida.
“Tunasubiri kupata ripoti ya hukumu ili tuone mwenendo wa kesi na hukumu ulivyokuwa na kama hatua zote zilifuatwa kisha tutafanya maamuzi ya kukata rufaa.”
Hakuna fundisho lolote, ujinga tu. Hakuna kesi hapo wamefanya kumuhukumu harakaraka kumkomoa....Safi sana iwe fundisho
Nani kakuambia kakiri kosa...alichofanya siyo kosa...umeisoma hukumu au mawazo yanatoka kwenye masaburi?Kama mshitakiwa kakiri kosa kesi iendelee kuthibitisha nini!!, ukikiri kinachofuata ni mvua tu hakuna ziada.
Na wewe kachome ufundishwe adabu.Hakuna fundisho lolote, ujinga tu. Hakuna keai hapo wamefanya kumuhukumu harakaraka kumkomoa....
Atatoka tu....Na wewe kachome ufundishwe adabu.
Pili ulitaka aendelee kukaa selo Kwa sababu zipi kwani?
Atatoka baada ya kulipa pesa,hatoki Bure 😂😂Atatoka tu....
Itakuwa ni mchezo umechezwa na serikali hii ya hovyoWameamua kufanya haraka kabla ya mawakili waliouitolea kufika huko. Wanajua wazi hakuna kesi hapo kama kina utetezii unaoeleweka. Kuanzia sasa hili liwe fundisho kwa mawakili wote wanaojitolea kutetea haki kuwahi mapema kwa wateja wao.
Siku wapi ni saa 1 pekeeKesi imechukuwa siku 1
Hukumu ikatoka siku hyo hyo
Ova
System imejaa majangili tupuMnapenda kuwatesa wenzenu na kuwatupa kwenye hayo mapori siyo,mnaona burdan
Ova
👊👊🙏🏼Wakili Michael Lugina ambaye ni mmoja wa Mawakili waliokuwa wanajitolea kwenda kumsaidia Kisheria, Shadrack Chaula amesema “Tumepata taarifa ya hukumu kabla hatujafika kukutana na mhusika, kwanza inawezekana ikawa moja ya kesi iliyoendeshwa kwa haraka zaidi Nchini kwa kuwa sio kawaida.
Wamechelewa kufika hawakupata hata muda wa kumteteaUkijitolea ndio uharibu kesi ya mtu au ufanye chini ya proffessional requirements?
Moja ya kesi iliyoenda faster aise 😄Wamechelewa kufika hawakupata hata muda wa kumtetea