Baada ya alichechoma picha ya Rais Samia kuhukumiwa Miaka miwili Jela, Wakili asema wanafikiria kukata rufaa

DAAH AISEEEE KWELI MAHAKAMA NI MALI YA CCM
 
Amuombe radhi bi Chura kiziwi na amsifu haswaaa...kwamba bila yeye Tanganyika itapotea,.. Bi Chura ndio Muarobaini wa Matatizo yote ya Watanganyika...kesho tu..anaachiwa chap
 
Hata asingekiri, bado hukumu ingekuwa hiyohiyo. Tunaujua udhaifu wa mahakama zetu kwenye suala linalohusu watawala.
acheni usenge basi,yule mtu kwanza anaonekana kama kuna fuse zimekatika kichwani sio mzima kabisa,unakili kosa unasema upewe adhabu yeyote wewe kama hakimu ungemfanya nini mtu kama huyu.
 
acheni usenge basi,yule mtu kwanza anaonekana kama kuna fuse zimekatika kichwani sio mzima kabisa,unakili kosa unasema upewe adhabu yeyote wewe kama hakimu ungemfanya nini mtu kama huyu.
Kwahiyo hiyo mahakama inafunga wehu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…