Baada ya Azam kumchukua Feisal sasa bado Chama

Baada ya Azam kumchukua Feisal sasa bado Chama

Nliwahi waambia watu anayempa kiburi Feisal Toto ni Yusuf Bakhressa. Wakabisha watu humu. Na nliwaambia kwenye target yupo pia Chama na Dickson Job.

Simba mkae tayari Chama anatakiwa Azam. Lengo la Feisal ni kuwa baadaye aende uzwa nchi za amerika kusini. Subirini acheze cheze Azam akae sawa.
Mnatunga taarifa au CIO😆😆
 
Kwanini Azam nae asifocus huko wanakopatikana hao wakiwa bado wa bichi kabisa kuliko kupambana kuwapata hawa ambao washatumika hapa hapa bongo?
Anazama huko Congo anachukua Mayele flani hivi huko anakuja hapa anakimbiza kama Fiston kalala
Sasa kuliko kumchukua (kama mayele) si bora amchukue mayele mwenyew🤔🤔
 
Utaratibu unajurikana, atawawekea pesa Simba kwenye account atakwenda Azzam.

Simba hawana tatizo na swala la mkataba, inatakiwa Chama aweke pesa kwenye account ya Simba asepe zake.

Kabisa na ikiwezekana akishatuma pesa awaambie kupitia instagram tu na kusepa zake.
 
Utaratibu unajurikana, atawawekea pesa Simba kwenye account atakwenda Azzam.

Simba hawana tatizo na swala la mkataba, inatakiwa Chama aweke pesa kwenye account ya Simba asepe zake.
Ndio mmemuachia kwa shingo upande kisa Rais kasema🫣🫣utopolo bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa tunaamini mwenye pesa ndio mwenye akili lakini siyo sawa, Azzam wana pesa za kutosha lakini akili hawana.
Vipi, ile milioni 100 mmeichukua au bado mmezira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vipi, ile milioni 100 mmeichukua au bado mmezira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ardhi kariakoo na Feisal nani mwenye thamani?

Deal done, wajinga wengi mpaka leo bado hamjui kama Yanga ni timu ya serikali, hao unaowaona ni cover tu, wenye timu wakiamuwa Hakuna wa kwenda kinyume na wanavyotaka wenye timu.

Angalia bodi za wadhamini za Simba na Yanga huenda kama una akili utapata japo chembe ya ukweli ambao wengi hamuujuwi.

Wakati mama anamwambia GSM sikubinyi na nyinyi pesa mpeleke kwenye mpira wewe ulielewa chochote hapo?
 
Ndio mmemuachia kwa shingo upande kisa Rais kasema🫣🫣utopolo bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kama una akili japo za kuvukia barabara jiulize ni kwa nini viongozi wako waliitwa kwenye mnuso ikulu na wote wakaenda bila kupenda?
 

Attachments

  • Screenshot_20230605-192423.jpg
    Screenshot_20230605-192423.jpg
    23.4 KB · Views: 1
So mnataka tuumie wote??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]simba na azam hawanaga huo unyambilisi
 
Km Chama ameridhia kuondoka, sisi hatuna hiyanaa mlango uko wazi asepee.
Azam wataweka tu hela ya kuvunja mkataba, halafu mtamruhusu. Na hatutaki mje kuanzisha fujo humu jukwaani za kumtuhumu mwekazaji kuhujumu timu yenu.
 
Back
Top Bottom