SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Una maana anakalia tako moja kama Haji?Hivi una ulemavu wa makalio? Mbona umeyabinua hivyo na unatembea upande upande?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana anakalia tako moja kama Haji?Hivi una ulemavu wa makalio? Mbona umeyabinua hivyo na unatembea upande upande?
Eti Amerika Kusini, hahah. Ungeniambia nchi za kiarabu labda ila Colombia, Peru, Uruguay, Argentina, Brazil. Hii ni chaiii tena ya moto, tuongezee mkate tu. Hizo nchi kwanza hazina hela halafu zinunue mchezaji wa kutoka Zenji wa nini wakati mchangani huko kwao wanapata wachezaji wenye vipaji zaidi....Nliwahi waambia watu anayempa kiburi Feisal Toto ni Yusuf Bakhressa. Wakabisha watu humu. Na nliwaambia kwenye target yupo pia Chama na Dickson Job.
Simba mkae tayari Chama anatakiwa Azam. Lengo la Feisal ni kuwa baadaye aende uzwa nchi za amerika kusini. Subirini acheze cheze Azam akae sawa.
Hivi mnajua kwa nini Simba wamemuacha Okrah kabla hata ligi haijaisha? Kifuatacho ITV....Nliwahi waambia watu anayempa kiburi Feisal Toto ni Yusuf Bakhressa. Wakabisha watu humu. Na nliwaambia kwenye target yupo pia Chama na Dickson Job.
Simba mkae tayari Chama anatakiwa Azam. Lengo la Feisal ni kuwa baadaye aende uzwa nchi za amerika kusini. Subirini acheze cheze Azam akae sawa.
@cocastic ,unaupiga mwingi sana sana kila jukwaa nakuona ukichangia uko vyema mdada.majukwaa mengi sana kila kona upo.kongolekwako.Km Chama ameridhia kuondoka, sisi hatuna hiyanaa mlango uko wazi asepee.
Pointi kubwa sana ,au pengine scouting yake haina meno.Kwanini Azam nae asifocus huko wanakopatikana hao wakiwa bado wa bichi kabisa kuliko kupambana kuwapata hawa ambao washatumika hapa hapa bongo?
Anazama huko Congo anachukua Mayele flani hivi huko anakuja hapa anakimbiza kama Fiston kalala
Chama kisha saini zamani, baada ya Simba kuona Yanga wanahangashwa na Fei kama sikosei mwezi wa tatu alikuwa kishamalizana na Simba na hata Dickson Job tayari kishamalizana na Yanga.Nliwahi waambia watu anayempa kiburi Feisal Toto ni Yusuf Bakhressa. Wakabisha watu humu. Na nliwaambia kwenye target yupo pia Chama na Dickson Job.
Simba mkae tayari Chama anatakiwa Azam. Lengo la Feisal ni kuwa baadaye aende uzwa nchi za amerika kusini. Subirini acheze cheze Azam akae sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzito upii? WoiiihHongera ndo maana una uzito stahiki.
Ndiyo huoni ulaya watu wananunuliwa tuDirisha kubwa limefunguliwa hadi asajiliwe na azam, na kama ndivyo mgogoro wake na Yanga umekwisha?.
Kwani nani hajui GSM iko chini ya born town?Ardhi kariakoo na Feisal nani mwenye thamani?
Deal done, wajinga wengi mpaka leo bado hamjui kama Yanga ni timu ya serikali, hao unaowaona ni cover tu, wenye timu wakiamuwa Hakuna wa kwenda kinyume na wanavyotaka wenye timu.
Angalia bodi za wadhamini za Simba na Yanga huenda kama una akili utapata japo chembe ya ukweli ambao wengi hamuujuwi.
Wakati mama anamwambia GSM sikubinyi na nyinyi pesa mpeleke kwenye mpira wewe ulielewa chochote hapo?
Msimu huu simba na Azam team gani ina mafanikio?Azam compay wameshindwa kuitengeneza timu yao kuwa timu ya kueleweka yaani ipo ipo tu.
Kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cc hatunaga utopolo wa kuongeza namba kwenye mikataba ya wachezaji
Mbona azam ni team inayoongoza kabisa kutengeneza wachezaji kina Aishi, sureboy, Mudadithir , Faridi hadi yule aliye Royal Antwerp NovartusKwanini Azam nae asifocus huko wanakopatikana hao wakiwa bado wa bichi kabisa kuliko kupambana kuwapata hawa ambao washatumika hapa hapa bongo?
Anazama huko Congo anachukua Mayele flani hivi huko anakuja hapa anakimbiza kama Fiston kalala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mkataba wake una kifungu cha kuvunja, na yeye akatimiza masharti yaliyo ktk kifungu hicho,Azam wataweka tu hela ya kubunja mkataba, halafu mtamruhusu. Na hatutaki mje kuanzisha fujo humu jukwaani za kumtuhumu mwekazaji kuhujumu timu yenu.
Ahsantee [emoji120][emoji120]@cocastic ,unaupiga mwingi sana sana kila jukwaa nakuona ukichangia uko vyema mdada.majukwaa mengi sana kila kona upo.kongolekwako.
Vipi kuhusu mgogoro.Ndiyo huoni ulaya watu wananunuliwa tu
Yeaaaah. ....... 🤣Una maana anakalia tako moja kama Haji?
Swali gumuMsimu huu simba na Azam team gani ina mafanikio?
AahhàaaaaUtaratibu unajurikana, atawawekea pesa Simba kwenye account atakwenda Azzam.
Simba hawana tatizo na swala la mkataba, inatakiwa Chama aweke pesa kwenye account ya Simba asepe zake.
Chama bado Simba. Hajasign. Anasema anapumzika kwanza. Job sijajua kama sasa amesha sign tena Yanga.Chama kisha saini zamani, baada ya Simba kuona Yanga wanahangashwa na Fei kama sikosei mwezi wa tatu alikuwa kishamalizana na Simba na hata Dickson Job tayari kishamalizana na Yanga.
Azam naona hata Academy yao hawana time nayo sasa hivi wanatafuta shortcut na ndio maana wahuni kwenye usajili, Ndala na Sopu waikuwa watue Simba ila uhuni na nguvu ya fedha ilitumika.
Hivi kumbe hujui siasa ndio kila kitu, bila siasa hakuna mpira.Nenda jukwaa la siasa usituletee stress huku, hatutaki mambo yenu.