Sio hawana shida na mkataba, Mambo ya masharti matatu ya njoo umalizie mkataba, njoo uongezewe maslahi, timu inayokutaka ije ndo hayatakiwi kuwepo. Lililopo ni mkataba unasema ukitaka kuondoka utulipe Tsh ngapi basi, unalipa unaondoka. Iwe ni Club imekulipa au wewe mwenyewe umejilipia.Utaratibu unajurikana, atawawekea pesa Simba kwenye account atakwenda Azzam.
Simba hawana tatizo na swala la mkataba, inatakiwa Chama aweke pesa kwenye account ya Simba asepe zake.
Dickson Job amesaini tayari Yanga. Ishu yake kusaini ilioneshwa hata kwenye media.Chama bado Simba. Hajasign. Anasema anapumzika kwanza. Job sijajua kama sasa amesha sign tena Yanga.
Mimi nikafikiri atauzwa MCI kumbe atauzwa uruguay. AstakafirullahNliwahi waambia watu anayempa kiburi Feisal Toto ni Yusuf Bakhressa. Wakabisha watu humu. Na nliwaambia kwenye target yupo pia Chama na Dickson Job.
Simba mkae tayari Chama anatakiwa Azam. Lengo la Feisal ni kuwa baadaye aende uzwa nchi za amerika kusini. Subirini acheze cheze Azam akae sawa.
Afya, No stress.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzito upii? Woiiih
Kakudanganya nani? Nenda MMU kapeleke siasa kule uone.Hivi kumbe hujui siasa ndio kila kitu, bila siasa hakuna mpira.
Chama tayari kisha saini na Job nae tayari.Chama bado Simba. Hajasign. Anasema anapumzika kwanza. Job sijajua kama sasa amesha sign tena Yanga.
Chama kafanyiwa sub mechi ya KMC kelele kibao, siku akifanya uhuni kama wa Fei mtaenda kulala kwa Mangungu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mkataba wake una kifungu cha kuvunja, na yeye akatimiza masharti yaliyo ktk kifungu hicho,
Wala hatutokua na pingamizi, hata mitandaoni tuta mtakia kila la kheri, sio lazima aje tukae mezani, tupoteze muda kwann?
Tuna mambo mengi ya kufanyaa.
Siasa ndio inaamua kila kitu huwezi kuikwepa tatizo letu sisi wanainchi uelewa ni mdogo (siasa ni maisha), tumewaachia kikundi cha watu wachache waamue hatma ya maisha yetu watakavyo, pasipo kuchukua hatua yoyote ile pale inapobidi, lakini hili limetengenezwa kwa maksudi na kwa ustadi mkubwa ili kuwatoa watu kwenye mstari, badala ya kujadili hatma ya maisha yetu na taifa letu na wanao tuongoza, sisi tunajadili Usimba na Uyanga mengine tunawaachia wao wafanye watakavyo.Kakudanganya nani? Nenda MMU kapeleke siasa kule uone.
Siasa ndio inaamua kila kitu huwezi kuikwepa tatizo letu sisi wanainchi uelewa ni mdogo (siasa ni maisha), tumewaachia kikundi cha watu wachache waamue hatma ya maisha yetu watakavyo, pasipo kuchukua hatua yoyote ile pale inapobidi, lakini hili limetengenezwa kwa maksudi na kwa ustadi mkubwa ili kuwatoa watu kwenye mstari, badala ya kujadili hatma ya maisha yetu na taifa letu na wanao tuongoza, sisi tunajadili Usimba na Uyanga mengine tunawaachia wao wafanye watakavyo.
Ni sawa na kuchota maji bombani na kuyapeleka mto Rufiji.Akauzwe Amerika kusini? Timu ipi?
Kwingine unaweza kuwa sawa, ila kuuzwa Amerika kusini ni famba.
Ni nadra sana wachezaji wa Mataifa ya Afrika kucheza huko. Uarabuni, sawa.