Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Watu hawawajui wahindi ni wababaishaji na watakatishaji fedha wazuri sanaMnatoa order ya magari ya 500m halafu mnaingiza 20m leo kesho 35m keshokutwa 29m si usanii huu?
Jamaa alikua sahiii pona yake ni kupiga kelele mtandaoniWamemjibu kwanza mitandaoni kama yeye alivyotoa tuhuma mitandaoni
Mkuu hoja yako ni ipi? Mbona jamaa kwenye hiyo clip ameshaonyesha kuwa walifika hadi ofisini na wakaverify brela kuwa kampuni ni halali ndo wakaanza kulipia.Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Muda mwengine wabongo ni washenzi kuliko hata hao wahindiJamaa alikua sahiii pona yake ni kupiga kelele mtandaoni
Hawa wahindi ni mabingwa wa kutakatidha fedha
Uko sahihi mkuu,Sikuzote tunasema sikiliza story pande zote 2 hapa tumeshajua tapeli ni nani.. tapeli ni huyo anayejiita bilionea na kitendo cha kusingizia kuna mtu mkubwa kitamcost sana
Mkuu ushawahi kuagiza chochote nje? Majamaa walishtuka baada ya kuona mda unaenda nje na makubaliano wanapigwa kalenda,akawaonyeshea draft feki,kampuni anayosema ananunua magari huko china hawamtambui,ukiagiza mzigo kuna tracking ya mzigo wako popote unapofikia unaona,jamaa hana hata means mzigo hajaagiza,sasa hao majamaa kosa lao ni nini hapo, bilionea ni tapeli tu.Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Mkuu ushawahi kuagiza chochote nje? Majamaa walishtuka baada ya kuona mda unaenda nje na makubaliano wanapigwa kalenda,akawaonyeshea draft feki,kampuni anayosema ananunua magari huko china hawamtambui,ukiagiza mzigo kuna tracking ya mzigo wako popote unapofikia unaona,jamaa hana hata means mzigo hajaagiza,sasa hao majamaa kosa lao ni nini hapo, bilionea ni tapeli tu.
Huyo una uhakika ni hizo maeneo mkuu. Huyu ni mjinga flan anaejiita bilioneaMtu akishasema anatokea Moshi, Arusha na Bukoba weka mbali kwa pesa hizo people zinautapeli sana sana.
Biashara ya 500mil walishindwa vipi kwenda kufanya window shopping hata pale vingunguti mpka wakamfuata jamaa wa maduka ya spareAnaongea sana hii sio madai anajua kajichanganya. Hata mimi siwezi kuagiza gari la 10m kienyeji hivyo.
Sisi wagalatia tukubali huyu Samwel ni tapeli. Hajaonewa kabisa huyu Kobaaz yuko sahihi na mkweli.Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Umejuaje nimeumia? Unajua maana ya wivu? Unajua maana ya chuki? Huyu huyu jamaa ndiyo kwanza namsikia. Nimesema mabilionea wa kweli hawajipigii debe. Nimesema wasomi wa kweli hawajipigii debe.Ila Tanzania tuna chuki kwani mtu kujiita billionea ni kosa
Yaani unaumia mtu kujiita billionea aisee tuna wivu mbaya sana
Matapeli wote ndiyo zao. Kesi za madai wanazipenda sana. Ku-deal nao kwa njia za kihuni ndiyo lugha wanayoelewa.Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
Wewe Una uhakika hiyo biashara inayosemwa ndio yenyewe?Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Binafsi kwa upande mwingine naona kuna jambo fulani lingine lilikuwa linakusudiwa hapaWewe Una uhakika hiyo biashara inayosemwa ndio yenyewe?
Mjini kuna mambo Hadi wezi sasa hivi wanafunga mikataba ya kisheria kukwepa kudhurumiana.
Kile unachoona kinadaiwa kiuhalisia sicho, hiyo ni cover Tu lakini wahusika wanajuwa wanadaiana nini.
Boss wangu naomba nikujibu nikutoe kwenye hii dhahama.Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Kivipi mzee hakuna refund kmmkHata kama, yeye awaletee magari au awarudishie fedha zao.