Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Kwa kweri ulikuwa unajua, na yametimia.

Ehe ebu tuambie hili Sakata litaishia Wapi?
 
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
TumainiEl ! Mbona unafanya watu wajinga kiazi wewe! Sasa Bunge likishaisha si ndio tunakwenda kwenye utekelezaje sasa wewe unatabiri kitu gani bila ya kuwa specific! Acha upimbi wako!
 
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Au ndio ishu inaanzia hapa kwenye Bandari!!?

Mi nauliza tu mkuu KWA adabu!!
 
Back
Top Bottom