- Thread starter
- #121
Sijuwi kwakweli nimengi yanakujaNdio jambo hili la Biteko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijuwi kwakweli nimengi yanakujaNdio jambo hili la Biteko?
Upo?Mbona kimya kimetawala
Shikamooo mkuu👌🙏Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Umenita kweli wewe ni mtu wa jikoni hatimaye utabiri umetimiaWenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Doh!Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Acha Utapeli wako wewe, hapa kuna unabii gani?Moderata yupo Mungu ktk Taifa la Tz. Mwezi wa nane ndio huuu nawatakia usiku mwema baada ya Rasha Rasha manyunyu mvua inaendelea.. tukutane Sept. Asante Mungu kwakutimiza unabii.
😆😂😁😃😅🤣😀😄😄😅😃😃Mkuu huwa sibezi!
Polisi wameshaanza kucheleweshewa posho fulani fulani,
Uhaba wa dola nchini
SIJUI mishahara itakuaje!!?
Tusubiri!!
Tapeli tu huyu, ni bora mmebaini mapema.TumainiEl said:
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea
*************************
Original post hiyo.. naona Kuna editing imefanyika. Uhuni tu.
JF siyo sehemu ya matapeli, original post yako ni hii kabla hujaedit ili ionekane kweli unajuwa yajayo.Code 01 to 31 Aug 2023
Halafu mwenyewe anajiona Bonge la mjanja, sisi ndio mafala wake, sasa angalia alivyoumbuka.TumainiEl said:
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea
*************************
Original post hiyo.. naona Kuna editing imefanyika. Uhuni tu.
Code 01 to 31 Aug 2023 imefunguka kwa ukamilifu na utimilifu wake wote.Code 01 to 31 Aug 2023
Mimi hapa nakataa huu siyo utabiri; ila ni facts zilizochotwa kutoka kwenye source maalum ya nchiWenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Yule alietabiri Magufuli atakua execute ndo huyu?.