Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Kitila kawa Waziri na Mwigulu kawa Waziri wa Fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Bungee litavinjwa na nchi itaendeshwa Kwa presidential decree Haaaa nataniaTuma nifungulie code🤣
Hata la Mende alisema na sasa ni mzoga!Tulia we mzushi, nje ya suala la Ben saa8 huna lolote umeongea likatokea.
Mkuu amekwisha vipi?Umekwisha wewe, nami nimeona,yako mabaya mengi yatawakuta. We subiri
Mbona ya Mende alisema na ikatokea mkuu!!?You could be sick... tangu Jiwe afariki hujawa vizuri kichwani. Nafikiri zile dhambi nzito mlizokua mkizitenda aasa zinawafanya muweweseke na kuishi kwa hofu mno...
Anyways.... i wish you best of lucky with your illness!
Mpaka akubashirie wewe ndio utaamini.Hana lolote huyo tapeli. Kila siku anabashiri lakini hakuna kitu.
Mkuu angalia usije ukatatuliwa wewe na hayo marinda yako!!Ishukuru JF kwa hizi fake ID, wewe ungekuwa verified member adhabu yako ilikuwa kutatuliwa marinda tu halafu kutoswa baharini huku umefungwa jiwe.
Kwa nini unamwita shetani au kwa kuwa alitabiri kifo cha ndugu yako Membe!!?Si kila unachokisoma humu umeandikiwa wewe, huyu ni shetani wewe ndio hujui, ushetani wake haupo kwenye thread hii, nikipata muda nitakuthibitishia.
Hana lolote huyo asikutishe.Nimekuelewa, tuishie hapa
.Kwa mujibu wako, Putin alitakiwa kuwa marehemu sasa.
Kwamba!Baada ya Bunge la Budget..... Keep tracking unseen
Kuna nini ndugu!!?TumainiEl!!!!!
Hakuna mtu wa kutabiri kifo, binadamu wote kifo ni lazima.Kwa nini unamwita shetani au kwa kuwa alitabiri kifo cha ndugu yako Membe!!?