Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Shikamooo mkuu👌🙏
 
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Umenita kweli wewe ni mtu wa jikoni hatimaye utabiri umetimia
 
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Doh!
 
TumainiEl
Kweli unajua kutuchezea, wewe unachofanya ni kusoma upepo na kutengeneza uzi unaoendana nao kisha kubadili (moderate) posts zako kureflect hali halisi ya wakati huo ( unfortunately hii simpleforum platform (jamii forum wanayotumia) haiweki historia ya mabadiliko katika posts)
 
TumainiEl said:
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea
*************************

Original post hiyo.. naona Kuna editing imefanyika. Uhuni tu.
 
Moderata yupo Mungu ktk Taifa la Tz. Mwezi wa nane ndio huuu nawatakia usiku mwema baada ya Rasha Rasha manyunyu mvua inaendelea.. tukutane Sept. Asante Mungu kwakutimiza unabii.
Acha Utapeli wako wewe, hapa kuna unabii gani?
 
TumainiEl said:
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea
*************************

Original post hiyo.. naona Kuna editing imefanyika. Uhuni tu.
Tapeli tu huyu, ni bora mmebaini mapema.
 
Code 01 to 31 Aug 2023
JF siyo sehemu ya matapeli, original post yako ni hii kabla hujaedit ili ionekane kweli unajuwa yajayo.

Hii tabia ya kitapeli ni ya kupigwa vita hapa JF kwa kila anayeitakia heshima JF.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-31-06-09-42-58.png
    Screenshot_2023-08-31-06-09-42-58.png
    34.8 KB · Views: 8
TumainiEl said:
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea
*************************

Original post hiyo.. naona Kuna editing imefanyika. Uhuni tu.
Halafu mwenyewe anajiona Bonge la mjanja, sisi ndio mafala wake, sasa angalia alivyoumbuka.
 
Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Pointe to remember Aug2023
Mabadiliko ya mkuu wa Idara nyeti..
Mabadiliko madogo makatibu wakuu...
Mabadiliko Baraza la mawaziri pamoja na makatibu wakuu. na wizara nyeti kuweka karibu zaidi
Mimi hapa nakataa huu siyo utabiri; ila ni facts zilizochotwa kutoka kwenye source maalum ya nchi
Hongera sana
 
Yule alietabiri Magufuli atakua execute ndo huyu?.
 
Back
Top Bottom