Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

Kwamba code umetupia Baharini?

Umeeleweka.
 
Nimeshasabusikraibu
 
Mkuu TumainiEl uzi wako naona umekaribia kufutwa bila lolote kutokea maana ulisema ikifika August bila chochote kutokea baada ya bunge la bajeti huu uzi ufutwe
 
Nasubiri kuona isije kuwa maneno ya abunuwasi.
 
Mbona kimya kimetawala
 
Ishukuru JF kwa hizi fake ID, wewe ungekuwa verified member adhabu yako ilikuwa kutatuliwa marinda tu halafu kutoswa baharini huku umefungwa jiwe.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unaweza kutatua vijna marinda zao
 
Crazy ww,Kiko wapi Sasa, jaribuni tuwavunje uti wa mgongo wahaini nyie
 
Ndio jambo hili la Biteko?
 
Moderata yupo Mungu ktk Taifa la Tz. Mwezi wa nane ndio huuu nawatakia usiku mwema baada ya Rasha Rasha manyunyu mvua inaendelea.. tukutane Sept. Asante Mungu kwakutimiza unabii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…