Mkuu thibitisha hapa hapa na wengine tulijue.. .. shetani kivipi?!Si kila unachokisoma humu umeandikiwa wewe, huyu ni shetani wewe ndio hujui, ushetani wake haupo kwenye thread hii, nikipata muda nitakuthibitishia.
Nilikuwa namwita mtumishi, amekaa kimya sn,Kuna nini ndugu!!?
NGOJA tusubiri tuone!Nilikuwa namwita mtumishi, amekaa kimya sn,
Kwan Bunge la Budget lin, budget Si ishapita tayar !!!
Kwamba code umetupia Baharini?Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Baada ya Bunge la Budget..... Keep tracking unseen
Ushetani anakuwa nao yule anaye muhisimwenzake shetani.Si kila unachokisoma humu umeandikiwa wewe, huyu ni shetani wewe ndio hujui, ushetani wake haupo kwenye thread hii, nikipata muda nitakuthibitishia.
NimeshasabusikraibuWenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Nasubiri kuona isije kuwa maneno ya abunuwasi.Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Mbona kimya kimetawalaWenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unaweza kutatua vijna marinda zaoIshukuru JF kwa hizi fake ID, wewe ungekuwa verified member adhabu yako ilikuwa kutatuliwa marinda tu halafu kutoswa baharini huku umefungwa jiwe.
Mi nadhani baada ya Bunge la bajeti kilichofuata ni hili saga la Bandari na huenda ndiyo ulikuwa utabiri wake na umetimia.Kimya, watu wanaendelea kuuza Bandari na kukopa nje bila wasiwasi.
Huyu brother ni kanjanja sanaMi nadhani baada ya Bunge la bajeti kilichofuata ni hili saga la Bandari na huenda ndiyo ulikuwa utabiri wake na umetimia.
Crazy ww,Kiko wapi Sasa, jaribuni tuwavunje uti wa mgongo wahaini nyieWenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Ndio jambo hili la Biteko?Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Moderata yupo Mungu ktk Taifa la Tz. Mwezi wa nane ndio huuu nawatakia usiku mwema baada ya Rasha Rasha manyunyu mvua inaendelea.. tukutane Sept. Asante Mungu kwakutimiza unabii.Wenye macho wameona na wenye kuzijuwa Siri wamezielewa ila some thing will happen after bunge la budget kuisha. Stay tune. Uzi umeisha. Code nimetupia baharini. Jogoo kashawika.
Moderator ikifika mwez wa nane uzii huu ufutwe kama hakuna jambo litatokea.
Unasema?Crazy ww,Kiko wapi Sasa, jaribuni tuwavunje uti wa mgongo wahaini nyie
Code 01 to 31 Aug 2023Tuma nifungulie code🤣