Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

Efendi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
314
Reaction score
438
Habari Wanajamvi baada ya kupita siku moja toka ile Derby ya kukata na shoka ya watani wa jadi ambayo ilikuwa na kashkash ya hapa na pale na likishuhudiwa tukio la Madame CEO Babra Gonzalenz kuzuiwa kuingia VVIP leo kiongozi wa Simba crescentius Magori ambaye ni mshauri wa Rais ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram

" Pole sana M/kiti wa Bodi na CEO wa Simba kwa yaliyotokea jana.

Simba ni kubwa sana. Tuseme NO kwa Vitendo.

Tunaweza kuwa na Uwanja wetu ( 30,000) pale Bunju tukiamua.

Vitendo vya jana viwe chachu ya kuanza Bunju development leo.

President @moodewji , M/kiti wa Bodi, M/kiti wa Simba, Bodi nzima na CEO @bvrbvra tufanye maamuzi magumu!!

Tutaona nani atakuja kwetu kwenye mechi zetu kutupangia nani aingie uwanjani. Simba tukiamua hatushindwi!

Simba nguvu moja!!"

Jambo ambalo limepokewa kwa furaha kubwa na mashabiki wa Lunyasi ambapo karibia comment 1700 zikihimiza na kuwa tayari kuchangia hata leo na hii imedhihirisha ukubwa wa Simba

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Habari Wanajamvi baada ya kupita siku moja toka ile Derby ya kukata na shoka ya watani wa jadi ambayo ilikuwa na kashkash ya hapa na pale na likishuhudiwa tukio la Madame CEO Babra Gonzalenz kuzuiwa kuingia VVIP leo kiongozi wa Simba crescentius Magori ambaye ni mshauri wa Rais ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram

" Pole sana M/kiti wa Bodi na CEO wa Simba kwa yaliyotokea jana.

Simba ni kubwa sana. Tuseme NO kwa Vitendo.

Tunaweza kuwa na Uwanja wetu ( 30,000) pale Bunju tukiamua.

Vitendo vya jana viwe chachu ya kuanza Bunju development leo.

President @moodewji , M/kiti wa Bodi, M/kiti wa Simba, Bodi nzima na CEO @bvrbvra tufanye maamuzi magumu!!

Tutaona nani atakuja kwetu kwenye mechi zetu kutupangia nani aingie uwanjani. Simba tukiamua hatushindwi!

Simba nguvu moja!!"

Jambo ambalo limepokewa kwa furaha kubwa na mashabiki wa Lunyasi ambapo karibia comment 1700 zikihimiza na kuwa tayari kuchangia hata leo na hii imedhihirisha ukubwa wa Simba

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kama thamani ya simba nzima ni b.20 mtaweza kujenga uwanja wa b.40, na bado kanjibhai wenu analalamika kila siku kuwa anapata hasara, alafu ukishajenga uwanja unaanzisha na tff yako sio!
 
Habari Wanajamvi baada ya kupita siku moja toka ile Derby ya kukata na shoka ya watani wa jadi ambayo ilikuwa na kashkash ya hapa na pale na likishuhudiwa tukio la Madame CEO Babra Gonzalenz kuzuiwa kuingia VVIP leo kiongozi wa Simba crescentius Magori ambaye ni mshauri wa Rais ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram

" Pole sana M/kiti wa Bodi na CEO wa Simba kwa yaliyotokea jana.

Simba ni kubwa sana. Tuseme NO kwa Vitendo.

Tunaweza kuwa na Uwanja wetu ( 30,000) pale Bunju tukiamua.

Vitendo vya jana viwe chachu ya kuanza Bunju development leo.

President @moodewji , M/kiti wa Bodi, M/kiti wa Simba, Bodi nzima na CEO @bvrbvra tufanye maamuzi magumu!!

Tutaona nani atakuja kwetu kwenye mechi zetu kutupangia nani aingie uwanjani. Simba tukiamua hatushindwi!

Simba nguvu moja!!"

Jambo ambalo limepokewa kwa furaha kubwa na mashabiki wa Lunyasi ambapo karibia comment 1700 zikihimiza na kuwa tayari kuchangia hata leo na hii imedhihirisha ukubwa wa Simba

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Naomba kufahamishwa.Eneo la VVIP lina uwezo wa kuchukua watu wangapi? Je Barbara alitaka viongozi wengine watolewa katika siti ili wanae waketi????? 😳
 
Back
Top Bottom