Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

Simba Haina uwezo wa kujenha uwanja wa kuingiza watu 30,000/=Thamani ya uwanja Kama uo haipungui Bilion 40 za kitanzania. Wakati thamani ya Klabu ni bilion 20.
sio kweli acha mawazo ya kushindwa mkuu hiyo thamani wewe umeitoa wapi?
 
ndio nashindwa kuelewa na mimi

mechi za Simba zote zitachezwa uwanja wa Simba ?

a bunch of idiots, bidada kaja juzi tu washamwita MADAME VERY VERY IMPORTANT PEOPLE
Nadhani watauanda team zao kadhaa....
1: Simba MO ukwaju sports club. .. 2: Simba MO viberiti sports Club .. 3: Simba MO Ngano sports Club... 4: Simba MO detergent soap.... 5: Simba MO Laundry soap Sports Club... 6: Simba MO Barba Sports Club...

Wataziumba umba mpaka ziwe team 20... Halafu watakua na shirikisho lao litaloitwa MO Tanzania Federation of ⚽⚽⚽...
 
Simba Haina uwezo wa kujenha uwanja wa kuingiza watu 30,000/=Thamani ya uwanja Kama uo haipungui Bilion 40 za kitanzania. Wakati thamani ya Klabu ni bilion 20.
Kama Gwambina FC walikuwa na uwanja wao, Simba watashindwaje?

Vv
 
MIHEMKO FC, KWA HIYO ASINGEZUIWA HOJA YA KUJENGA UWANJA TUSINGEISIKIA KABISA LEO
 
Back
Top Bottom