sio kweli acha mawazo ya kushindwa mkuu hiyo thamani wewe umeitoa wapi?Simba Haina uwezo wa kujenha uwanja wa kuingiza watu 30,000/=Thamani ya uwanja Kama uo haipungui Bilion 40 za kitanzania. Wakati thamani ya Klabu ni bilion 20.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kweli acha mawazo ya kushindwa mkuu hiyo thamani wewe umeitoa wapi?Simba Haina uwezo wa kujenha uwanja wa kuingiza watu 30,000/=Thamani ya uwanja Kama uo haipungui Bilion 40 za kitanzania. Wakati thamani ya Klabu ni bilion 20.
Sasa hizo za wanachama ambazo ziko kwenye maandishi tu bila cash, kuonekana zinafaida gani?49% ya mwekezaji ndio 20b
Za wanachama 51% ina maana inapita hiyo
Sawa we kilaza?
Nadhani watauanda team zao kadhaa....ndio nashindwa kuelewa na mimi
mechi za Simba zote zitachezwa uwanja wa Simba ?
a bunch of idiots, bidada kaja juzi tu washamwita MADAME VERY VERY IMPORTANT PEOPLE
San Sirro ni wa nani?
Kama Gwambina FC walikuwa na uwanja wao, Simba watashindwaje?Simba Haina uwezo wa kujenha uwanja wa kuingiza watu 30,000/=Thamani ya uwanja Kama uo haipungui Bilion 40 za kitanzania. Wakati thamani ya Klabu ni bilion 20.