Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

Huenda hazikuwa halali au hazikuwa za VVIP. UTO walipewa kadi 20 za VVIP na Je Simba FC walipewa ndapi?
Hilo swali ulilouliza mwisho unadhani mimi ntajibu?
Ushaambiwa kadi hazikuwa na majina yao ( means kuna watu walitarajiwa kufika na hawakufika) , wewe unaanza kusema hazikuwa halali or hazikuwa za VVIP, asa mkuu mfano wewe ungekua mimi ungeendelea kumuelekeza mtu wa aina yako?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Hilo swali ulilouliza mwisho unadhani mimi ntajibu?
Ushaambiwa kadi hazikuwa na majina yao ( means kuna watu walitarajiwa kufika na hawakufika) , wewe unaanza kusema hazikuwa halali or hazikuwa za VVIP, asa mkuu mfano wewe ungekua mimi ungeendelea kumuelekeza mtu wa aina yako?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Naona ni kama ume panic!!

1. Lile eneo watoto hawaruhusiwi

2. Barbara alipewa kadi moja tu ya VVIP.

Sasa ulitaka viongozi wengine watolewe VVIP ili watoto wa madam waketi ama???
 
Naona ni kama ume panic!!

1. Lile eneo watoto hawaruhusiwi

2. Barbara alipewa kadi moja tu ya VVIP.

Sasa ulitaka viongozi wengine watolewe VVIP ila watoto wa madam waketi ama???
Wale watoto walikua na kadi za watu wengine ambao hawakufika kitu ambacho nicha kawaida tu kwenye matukio mengi watu hutumia kadi za wasiofika
 
Wale watoto walikua na kadi za watu wengine ambao hawakufika kitu ambacho nicha kawaida tu kwenye matukio mengi watu hutumia kadi za wasiofika
Sasa walipataje hizo tikti?

Pili bado sheria zinasema kuwa watoto hawaruhusiwi na kila tikti ina jina la mhusika.Ingekuwaje kama wenye siti wangefika?
 
Naona ni kama ume panic!!

1. Lile eneo watoto hawaruhusiwi

2. Barbara alipewa kadi moja tu ya VVIP.

Sasa ulitaka viongozi wengine watolewe VVIP ila watoto wa madam waketi ama???
Mkuu sijapanic na wala sina mpango wa kupanic, ila unauliza maswali ya kitoto mno mimi kuyajibu.
Nakufafanulia mara ya mwisho usipo elewa basi sasa hata aje mwalimu Yesu wewe hutoelewa.
VVIP kuna idadi maalumu ya watu kukaa, simba kama mwenyeji wa mchezo ana idadi yake ya kupeleka watu.
Kwenye idadi hiyo ya simba baadhi ya viongozi hawakufika, nafasi za viongozi ambao hawakufika ndizo ambazo walienda watoto.
Sasa habari za kutolewa viongozi zinatokea wapi?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Kama thamani ya simba nzima ni b.20 mtaweza kujenga uwanja wa b.40, na bado kanjibhai wenu analalamika kila siku kuwa anapata hasara, alafu ukishajenga uwanja unaanzisha na tff yako sio!

Acha umburula wewe! Itakuwa ulifeli hisabati darasa la nne ukakariri darasa!
Hata kama simba haina uwezo wa kujenga uwanja wa b.40, lakini thamani ya simba nzima siyo b.20!
Hiyo ni 49% sasa kama hukufeli hesabu bila shaka ungekuwa ushafanya cross multiplication ukaja na jibu halisi la thamani ya Simba!
 
Dah... Ila Simba kuna vilaza Sana, kwani mkishakua na uwanja wenu mtakua na ligi yenu pia pekeyenu bila TFF? Nyambaf

Hivi simba kuna kilaza zaidi ya hiyu utopolo hapa? Yanga wengi ni mazwazwa, tukianza na wenye vitambi a.k.a kilo 800.
IMG_8708.jpg
 
Mkuu sijapanic na wala sina mpango wa kupanic, ila unauliza maswali ya kitoto mno mimi kuyajibu.
Nakufafanulia mara ya mwisho usipo elewa basi sasa hata aje mwalimu Yesu wewe hutoelewa.
VVIP kuna idadi maalumu ya watu kukaa, simba kama mwenyeji wa mchezo ana idadi yake ya kupeleka watu.
Kwenye idadi hiyo ya simba baadhi ya viongozi hawakufika, nafasi za viongozi ambao hawakufika ndizo ambazo walienda watoto.
Sasa habari za kutolewa viongozi zinatokea wapi?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Acha uongo walisema pia hakuna kutumia pia kadi yenye jina la mwengine.
Kwa nini watoto watumie kadi sio zao?
Kosa..!
Pili hata Kama ndio hivyo huko kwa maofisa wa Club watoto wakafanye nini?
 
Wale watoto walikua na kadi za watu wengine ambao hawakufika kitu ambacho nicha kawaida tu kwenye matukio mengi watu hutumia kadi za wasiofika
Hiyo sio sherehe kijana mmezoea kuendesha mambo kiswahili
Walisema hakuna kutumia kadi ya mtu mwengine hata kama hajafika..
Pili huko kwa maofisa watoto hawaruhusiwi, kwanini alazimishe?
 
Habari Wanajamvi baada ya kupita siku moja toka ile Derby ya kukata na shoka ya watani wa jadi ambayo ilikuwa na kashkash ya hapa na pale na likishuhudiwa tukio la Madame CEO Babra Gonzalenz kuzuiwa kuingia VVIP leo kiongozi wa Simba crescentius Magori ambaye ni mshauri wa Rais ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram

" Pole sana M/kiti wa Bodi na CEO wa Simba kwa yaliyotokea jana.

Simba ni kubwa sana. Tuseme NO kwa Vitendo.

Tunaweza kuwa na Uwanja wetu ( 30,000) pale Bunju tukiamua.

Vitendo vya jana viwe chachu ya kuanza Bunju development leo.

President @moodewji , M/kiti wa Bodi, M/kiti wa Simba, Bodi nzima na CEO @bvrbvra tufanye maamuzi magumu!!

Tutaona nani atakuja kwetu kwenye mechi zetu kutupangia nani aingie uwanjani. Simba tukiamua hatushindwi!

Simba nguvu moja!!"

Jambo ambalo limepokewa kwa furaha kubwa na mashabiki wa Lunyasi ambapo karibia comment 1700 zikihimiza na kuwa tayari kuchangia hata leo na hii imedhihirisha ukubwa wa Simba

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Waweke utaratibu mzuri kila shabiki achangie, naamini wengi tuko tayari
 
Acha uongo walisema pia hakuna kutumia pia kadi yenye jina la mwengine.
Kwa nini watoto watumie kadi sio zao?
Kosa..!
Pili hata Kama ndio hivyo huko kwa maofisa wa Club watoto wakafanye nini?
Nani kabisha yote hayo unayoyasema bwana Pancho?
Ninacho kikataa mimi ni kauli kwamba nafasi zilijaa hivyo watoto wangesababisha viongozi wasimame.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Huenda hazikuwa halali au hazikuwa za VVIP. UTO walipewa kadi 20 za VVIP na Je Simba FC walipewa ndapi?
Simba walipewa kadi 20 VVIP kwa ajili ya maafisa wa club tena zilikuwa zimeandikwa majina yao kabisa ila Babra alivyoselfish akawanyima maafisa wa club kadi zao akawapa watoto wake ambao kimsingi hawana sifa kabisa ya kuingia kwenye jukwaa hilo maalumu la maofisa.
Cha kusikitisha zaidi CEO huyo alifika mbali zaidi na kuzitupa chini kadi hizo na kuondoka baada ya watoto wake kuzuiliwa kuingia.
 
Nani kabisha yote hayo unayoyasema bwana Pancho?
Ninacho kikataa mimi ni kauli kwamba nafasi zilijaa hivyo watoto wangesababisha viongozi wasimame.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Sawa sawa mkuu umenijibu kistaarabu sana
Lakini unadhani nani mwenye makosa kwenye sakata hili?
CEO.?
Bodi ya ligi?
Sisi mashabiki ndo wachochezi mkuu?
 
Simba walipewa kadi 20 VVIP kwa ajili ya maafisa wa club tena zilikuwa zimeandikwa majina yao kabisa ila Babra alivyoselfish akawanyima maafisa wa club kadi zao akawapa watoto wake ambao kimsingi hawana sifa kabisa ya kuingia kwenye jukwaa hilo maalumu la maofisa.
Cha kusikitisha zaidi CEO huyo alifika mbali zaidi na kuzitupa chini kadi hizo na kuondoka baada ya watoto wake kuzuiliwa kuingia.
Wahindi ni tatizo katika nchi hii.
Wanataka kuifanya timu ni ya familia.

Wanataka wana simba tuandamae kumtetea madam hahaha
 
Mkuu sijapanic na wala sina mpango wa kupanic, ila unauliza maswali ya kitoto mno mimi kuyajibu.
Nakufafanulia mara ya mwisho usipo elewa basi sasa hata aje mwalimu Yesu wewe hutoelewa.
VVIP kuna idadi maalumu ya watu kukaa, simba kama mwenyeji wa mchezo ana idadi yake ya kupeleka watu.
Kwenye idadi hiyo ya simba baadhi ya viongozi hawakufika, nafasi za viongozi ambao hawakufika ndizo ambazo walienda watoto.
Sasa habari za kutolewa viongozi zinatokea wapi?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Wala sihitaji maelezo yako.Case closed.

Madam Babra ni selfish.Hafai.
 
Sawa sawa mkuu umenijibu kistaarabu sana
Lakini unadhani nani mwenye makosa kwenye sakata hili?
CEO.?
Bodi ya ligi?
Sisi mashabiki ndo wachochezi mkuu?
Ipo wazi ni CEO....
Japo inaonekana hizo kanuni huwa hazizingatiwi uzingatiaji umeanzia kwake.
Pia Bodi wana visa nae maana kuna mahala nimesoma wanasema alitaka kwenda kununua ticket zingine( aingie VIP ya kawaida) wakamzuia.
Sisi mashabiki pia sioni tunabishana nini, nadhani sababu game imeisha draw so hakuna vingi vya kujadili kiasi kwamba na hii ni mada.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom