Baada ya dhiki faraja!

Baada ya dhiki faraja!

shibela

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
1,068
Reaction score
3,507
Baada ya kuishi na lile kulumbembe kama ndugu na bado likaniletea dharau nilipata kabinti ka Kihangaza. Leo kanatimiza mwaka toka nianze kuishi nako!

Kabinti kanajitambua, kanachapa kazi, kasikivu, ukikaelekeza kanaelewa!
Kabunifu kenyewe unakuta kamepika chakula kitamu ukikauliza umejifunza wapi utasikia “niliangalia kwenye kipindi cha mapishi!!!”

Mungu nilindie haka kabinti special!!!!
 
Nipasie namba za huyo Kulumbembe uliye achana nae,,kama hutojali lakini
 
Back
Top Bottom