shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,068
- 3,507
Baada ya kuishi na lile kulumbembe kama ndugu na bado likaniletea dharau nilipata kabinti ka Kihangaza. Leo kanatimiza mwaka toka nianze kuishi nako!
Kabinti kanajitambua, kanachapa kazi, kasikivu, ukikaelekeza kanaelewa!
Kabunifu kenyewe unakuta kamepika chakula kitamu ukikauliza umejifunza wapi utasikia “niliangalia kwenye kipindi cha mapishi!!!”
Mungu nilindie haka kabinti special!!!!
Kabinti kanajitambua, kanachapa kazi, kasikivu, ukikaelekeza kanaelewa!
Kabunifu kenyewe unakuta kamepika chakula kitamu ukikauliza umejifunza wapi utasikia “niliangalia kwenye kipindi cha mapishi!!!”
Mungu nilindie haka kabinti special!!!!