Uchaguzi 2020 Baada ya Dkt. Kigwangalla kujibizana na Mo Dewji Twitter. Dkt. Bashiru amshukia Kigwangalla, amtaka am-tweet Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Baada ya Dkt. Kigwangalla kujibizana na Mo Dewji Twitter. Dkt. Bashiru amshukia Kigwangalla, amtaka am-tweet Dkt. Magufuli

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla kumzungumzia Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Magufuli badala ya kuendelea na malumbano yake yanayohusu mpira dhidi ya Mmiliki wa Simba SC, Mohammed Dewji

Dkt. Bashiru amaema“Naona Hamis Kigwangalla yupo mitandaoni kujibizana na Mohammed Dewji mambo ya mipira, tupo kwenye uchaguzi. Nataka nione ana-tweet na wafuasi wake namna Mwenyekiti na Mgombea Urais wetu atakavyoshinda.”

Ameongeza, “Siingilii maisha binafsi, hakuna maisha binafsi unapokuwa mgombea wa CCM"

Dkt. Kigwangalla na Mo Dewji walianza kujibishana mtandaoni baada ya Kigwangalla kuhoji namna alivyopatikana CEO mpya wa Simba ambaye anaelewa kuwa PA wa Mo Dewji

Katika kujibu hoja hiyo Mo aliendelea hadi kumuomba msamaha Waziri Kigwangalla kutokana na mkopo wa pikipiki kutofanikiwa (hali iliyotafrisiwa kuwa Mo anadhani Kigwangalla anafanya hivyo kutokana na kunyimwa mkopo)

Hata hivyo, Kigwangalla aliendelea na kusema mkopo hauhusianj bali tu yeye anahoji kama Mwanachama wa Klabu ya Simba. Aliweka bayana barua pepe aliyoombea mkopo wa pikipiki na pia alionesha tweet zake za nyuma ambazo pia alikuwa a ahoji mambo kadhaa ndani ya Simba

Katibu Mkuu ameongea vizuri na kwa staha. Wagombea wanatakiwa kutekeleza majukumu yao barabara. Chama kimewaamini wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kukipigania.
Naamini wamemsikia na watafanyia kazi maelekezo haya.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla kumzungumzia Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Magufuli badala ya kuendelea na malumbano yake yanayohusu mpira dhidi ya Mmiliki wa Simba SC, Mohammed Dewji

Dkt. Bashiru amaema“Naona Hamis Kigwangalla yupo mitandaoni kujibizana na Mohammed Dewji mambo ya mipira, tupo kwenye uchaguzi. Nataka nione ana-tweet na wafuasi wake namna Mwenyekiti na Mgombea Urais wetu atakavyoshinda.”

Ameongeza, “Siingilii maisha binafsi, hakuna maisha binafsi unapokuwa mgombea wa CCM"

Dkt. Kigwangalla na Mo Dewji walianza kujibishana mtandaoni baada ya Kigwangalla kuhoji namna alivyopatikana CEO mpya wa Simba ambaye anaelewa kuwa PA wa Mo Dewji

Katika kujibu hoja hiyo Mo aliendelea hadi kumuomba msamaha Waziri Kigwangalla kutokana na mkopo wa pikipiki kutofanikiwa (hali iliyotafrisiwa kuwa Mo anadhani Kigwangalla anafanya hivyo kutokana na kunyimwa mkopo)

Hata hivyo, Kigwangalla aliendelea na kusema mkopo hauhusianj bali tu yeye anahoji kama Mwanachama wa Klabu ya Simba. Aliweka bayana barua pepe aliyoombea mkopo wa pikipiki na pia alionesha tweet zake za nyuma ambazo pia alikuwa a ahoji mambo kadhaa ndani ya Simba

Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi wewe ni kiongozi hondari sana katika kusimamia watu unao waongoza
 
Hiyo ni dalili kuwa hali ya Magufuli kisiasa ni mbaya. Hajiamini na haamini kama anaweza kuvuka oktoba kwa kura.
Bashiru inabidi ajikakamue.
Yani kuwakumbusha wagombea kukaa ktk misingi ni dalili mbaya? au ni ishara kuwa chama ndicho kina dhamana juu yako fikiria hilo
 
Nape naye kaambiwa arudi Lindi akaandae mkutano wa Kikwete kwani huko Ilemela alikokwenda hakuna aliyemtuma
 
Umefanya vyema kuwakumbisha hao wagombea juu ya misingi yetu imara ya chama cha mapinduzi
 
Kwa maoni yangu Hamisi Kigwangalla ana hujumu kampeni za CCM kwa kujua au kutokujua. Majibizano yake na Mo yameanzisha mijadala kwenye social network zote, baada ya watu kufuatilia ahadi zinazotolewa na mwenyekiti wake, badala yake watu wanafuatilia mabishano yake na Moo.

Anajua fika kuwa ukigusa Simba na Yanga nchi hii unawagusa wengi hivyo watu wameacha siasa wanamtetea Mo.

Hamisi ajue CCM inatumia gharama kubwa kwenye kampeni hizi hivyo kuyumbisha watu kwa namna yoyote ile ni kujitia hasara wenyewe pia ajue mitandao ya kijamii ni muhimu sana kipindi hiki kwani kuna wafuatiliaji wengi.

Hatujui kwa nini alete madai haya kipindi hiki cha kampeni.

Kukopa kuna kupata na kukosa, kama alikunyima kukukopesha achana nae.
 
Bashir acha kujipendekeza, ulianza vzr unakoelekea unakua msukule.
 
Bashiru asimfokee Kigwangala.

Ndiyo maana Chadema wanasisitiza Uhuru, Haki na Maendeleo
yaani kuelezea na kukumbushia majukumu ndio kumfokea?
chama ni lazima siku zote kilelewe katika nidhamu na utii na hiyo ndiyo slogan ya chama ha mapinduzi.
h0ongera katbu mkuu kwa kuwakumbusha wanchama wako juu ya mienendo mizuri na utekelezaji wa wajibu na majukumu yao
 
Back
Top Bottom