Baada ya DR Congo kuingia EAC, sasa changamkieni fursa kama ifuatavyo

Hivi issue za kuvuka border kazima uwe na nn
Passport, Yellow Fever Vaccination Card, Kwa Sasa pia Cheti cha Chanjo na Hati ya Kipimo cha Corona(sina uhakina kama inaapply same kwa kila nchi), na Visa kama hiyo nchi unahifaji visa
 
Sawa lakini tatizo hakuna amani huko mkuu
 
Wabongo wanasema kuna vita!!. Vipi kwa wataalamu kama manesi, madaktari, wafamasia, waalimu, waahasibu nk wana soko huko?

Fursa ni nyingi upande huo wabongo kadhaa hasa wataalamu wa afya walipenya Botswana tu napo sio wengi huko DRC ukitafuta sehemu hata mkifungua dispensary, pharmacy au duka la madawa na mkawa vizuri mnajipigia tu pesa au ukienda kama mtaalamu kuna hata hospital na vituo vya afya vya mashirika ya umoja wa mataifa hasa maeneo yenye au yaliyoathirika na vita kazi zipo
 

Waha naowazungumzia ni wale wa Kasulu wale ndio hardworkers kwenye kila kitu, wale waswahili wa kule mjini wamanyema, wabwali, wagoma wale sio hardworkers wana tamaduni kama watu wa maeneo mengine ya pwani uvivu uvivu lakini men muha wa kasulu trust me those guys
 

Kwenye kila population ya watu watahitaji mahitaji lakini Congo wanauhitaji wa hivo vitu kwa ukubwa sana na unapiga bingo kwenye chenji yaani inakulipa mara mbili kuliko ungeuzia bongo
 
moja ya kazi na jukumu la felix ilikua hili la kujiunga drc.ili kutanua uwanja wa fursa

niliandika humu mambo muhimu ambayo felix atafanya pindi akiingia ikulu moja wapo ni hili la eac
 
Hapo utawakuta wachaga, wapare, wanyakyusa, wakinga na waha hayo makabila wanatembea weka na mkulya, sasa waliowengi hawatembei eti wanaogopa kufa wakati hata akiwa kwao au kitandani atakufa tu
Kazi wanabakia humu wanaishia kulialia mara Sijui January, mgao umeme
Wanaulizia pesa za msaada
Vijana Sahv wamekuwa lonyalonya sana

Ova
 
hahahaha.
Wakati wa biashara ya skrepa bongo kuingiza huku ilikuwa Haina kwere
Tulipuyanga sana kongo na zambia
Nlikutana na mwana mmja yeye alikuwa anaenda na team yake anaxhinja machine za 1hz gari za UN zile anarudi na injin zake

Sasa watoto Sahv wao wanataka watafuniwe tu badala ya kupambana
Kivyao

Eti huko kuna machafuko kwani utaish milele

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…