- Thread starter
- #61
Sasa ndo uelekeze njia nzuri ni ipi ya kwenda .
Suala la usalamatwa mtu linatakiwa liwe kipaumbele Cha kwanza SIO FURSA.
HAKUNA maduka ya kuuza uhai
Sawa tuendelee kulinda uhai mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndo uelekeze njia nzuri ni ipi ya kwenda .
Suala la usalamatwa mtu linatakiwa liwe kipaumbele Cha kwanza SIO FURSA.
HAKUNA maduka ya kuuza uhai
Sawa tuendelee kulinda uhai mkuu.
WALE MAYIMAYI VIPI?/ PAMOJA NA YOTE TATIZO ;Waha wamanyema usiwataje kwa sababu ni sehemu ya kongo, yaani blood brother kama masai TZ na Kenya au mjaluo TZ na Uganda na Kenya kwa kifupi huko ni kama kwao.
Hio fursa inakuwampya kwa makabika mengine kigoma walianza muda mrefu sana kufanya biashara huko ila changamoto ilikuwa usalama.
Mtoa mada amesahau fursa ya Usafiri wa majini na sabuni.
Kongo wanategemea sabuni TZ.
Lakini kuna kilimo, nasikia wana ardhi yenye rutuba sana.
Serikali ya Kongo ituhakikishie usalama tu kwa sababu wakongo aka banyamurenge hupora mali za Watanzia.
SAFETY
SECURITY
Kwa jinsi ulivyo slow na muoga, eti unassma nendeni badala ya twendeni. Au unajihisi uko juu sana. Acha ufala..Wabongo walivyokuwa slow, waoga
Wengi wana subiria ajira wavae tai maofisini
Nendeni mkajilipue huko
Ova
Nimedevelop interest ya either kuja huko drc au South Sudan.njoeni drc .watanzania acheni uoga wa vita. katanga ambako ndiko eneo tajiri hkn vita
msitafute sababu
safi sanaNimedevelop interest ya either kuja huko drc au South Sudan.
Aisee Mzee wa Kino usitaje tena Chingola. Umenigusa kwenye mfupa. Huo mji uko kwenye moyo wangu.Nikija chingola itabdi nkustue
Hakuna sehemu nayo ipenda kama
Kitwe, chingola(copper belt) mzee
Ova
Nimekaa hapo chingola..Aisee Mzee wa Kino usitaje tena Chingola. Umenigusa kwenye mfupa. Huo mji uko kwenye moyo wangu.
Chingola pasafi kinyama. Kuna kigogo mmoja wa hii serikali nilimwona anafanya kampeni za usafi nikamwambia atembelee Chingola apewe somo wamewezaje kuwa wasafi kiasi kile.Nimekaa hapo chingola..
Nmekaa musenga
Kitwe nimekaa nkana East pia
Chingola pako kitofauti sana
Kimji kametulia,kuna uingereza fulani
Ova
Dah mkuu umetisha ila kurisk maisha napo mtihaniWkt huo m23 wanacheka tu ihiii hiii hiiiiiiiiiii , wanasema waleteee
Ukawa chakula yao hata home hawatapata taarifauna weza ukaenda ndo mara yako ya kwanza ukaangukia kwa waasi.