Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuangalia game zote make wewe huna kazi ya kufanya mzee kwa maana unakaaa ndani tu kama utumbo?Napenda mpira lakini siwezi kuangalia mechi zote 64
Ni 28 sio 32Tbccm wao wataonyesha 32 kwa bure....Azam hana hela hio
Baadhi ya mechi tutazitizama tu TBC KBC UBC K24 na ktn lazima zionyesheDStv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.
Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndiyo muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu.
AzamTv amkeni kutoka kwenye usingizi mzito, njooni mjichukulie alama 3 muhimu