Baada ya Hayati Magufuli kulifumbua macho taifa juu ya mapato ya umma yaliyokuwa yanaibiwa huko nyuma. Sasa yanatafunwa kupitia janja ya kulamba asali

Baada ya Hayati Magufuli kulifumbua macho taifa juu ya mapato ya umma yaliyokuwa yanaibiwa huko nyuma. Sasa yanatafunwa kupitia janja ya kulamba asali

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayati JPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa SGR, JNHP na Kusambaza maji toka Ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha SGR ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Nitakua wa mwisho kuamini Kama mwendazake kiwango Cha ubadhilifu kwenye fedha za umma kilipungua asilimia 99%, yule alikua hakwapui bali alijichotea tu pesa atakavyo
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Wewe umeshadata Kwa kumuwaza huyo kichaa aliyeko jehanam
 
Naandika nafuta.. Naandika nafuta! Dah! Nikae kimya kwanza, ngoja chawa waamke.. Nachojua hawatokuja na hoja zaidi ya kukuita "Sukuma Gang", " Mtetea legacy" mwishoe watafika mbali nakusema umfate ukazikwe nae... All in all, TUMEPIGWA!
Chato tutaenda kwa mamilioni, nasema!!!! mamilioni wacha watete.

Dunia itajua kuwa Watanzania hatutaki kuchezewa. Ngoja tuanze na hawa CCM 2025. Tunavyoona na kusikia hawachaguliki.



Aluta Continua.
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Acha wehu wewe mjinga,angekuwa ameongeza mapato ndio sgr ya km 200 ingemshinda kuikamilisha kwa miaka 5?

Aliwafumbuaje macho ikiwa ajira,madaraja na salary zilimshinda?

Kwa hiyo miaka 5 alikuwa anafanya nini ikiwa kila anafanya Samia na ameongeza vingine vingi ikiwemo maelfu ya ajira ?

Mwendazake amekuta mapato ya TRA ni bil.900 kwa mwezi mwaka 2016 anaondoka mwaka 2020 ni Til.1.3 ..(ameongeza bil.400 kwa miaka 5)

Samia amekuta hiyo 1.3 kwa mwezi 2020/2021 hadi sasa tunaongea mapato ya mwezi ni 1.8 Tilion yaani ongezeko la bil.500 kwa mwezi ndani ya mwaka mmja tuu..

Hakuna Rais tulipigwa kama Mwendazake,si tuu alikuwa hana akili bali alikuwa mharibifu .
 
Naandika nafuta.. Naandika nafuta! Dah! Nikae kimya kwanza, ngoja chawa waamke.. Nachojua hawatokuja na hoja zaidi ya kukuita "Sukuma Gang", " Mtetea legacy" mwishoe watafika mbali nakusema umfate ukazikwe nae... All in all, TUMEPIGWA!
Kwa hiyo huu upuuzi uliyoandika ndio hoja? Umejaa usaha kichwani..

Hadi dakika hii tunaongea,Samia kafukia legacy ya Mwendazake kwenye kila angle kuanzia afya hadi huko huko kwenye sgr.
 
Kwa akili ndogo za Mwendazake zilizoishia kujitutumua tuu,mambo makubwa kama haya yalikuwa nje ya uweso wake..

Unazungukwa na watu waliokotezwa barabarani watakusaidia nini?

Huu mradi ukianza utekelezaji wake 2027 , Tanzania itakuwa nyingine kabisaa maana thamani yake ni bajeti nzima ya Tanzania ya mwaka👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220604-201342.png
    Screenshot_20220604-201342.png
    204.7 KB · Views: 17
Naandika nafuta.. Naandika nafuta! Dah! Nikae kimya kwanza, ngoja chawa waamke.. Nachojua hawatokuja na hoja zaidi ya kukuita "Sukuma Gang", " Mtetea legacy" mwishoe watafika mbali nakusema umfate ukazikwe nae... All in all, TUMEPIGWA!
Kumbe unawajua ukiwa chawa wa bi kiroboto kichwani unakuwa yt kama bi mwenyewe
 
Acha wehu wewe mjinga,angekuwa ameongeza mapato ndio sgr ya km 200 ingemshinda kuikamilisha kwa miaka 5?

Aliwafumbuaje macho ikiwa ajira,madaraja na salary zilimshinda?

Kwa hiyo miaka 5 alikuwa anafanya nini ikiwa kila anafanya Samia na ameongeza vingine vingi ikiwemo maelfu ya ajira ?

Mwendazake amekuta mapato ya TRA ni bil.900 kwa mwezi mwaka 2016 anaondoka mwaka 2020 ni Til.1.3 ..(ameongeza bil.400 kwa miaka 5)

Samia amekuta hiyo 1.3 kwa mwezi 2020/2021 hadi sasa tunaongea mapato ya mwezi ni 1.8 Tilion yaani ongezeko la bil.500 kwa mwezi ndani ya mwaka mmja tuu..

Hakuna Rais tulipigwa kama Mwendazake,si tuu alikuwa hana akili bali alikuwa mharibifu .
Huyo ndo waliowengi walimkubali kwa kura
 
Acha wehu wewe mjinga,angekuwa ameongeza mapato ndio sgr ya km 200 ingemshinda kuikamilisha kwa miaka 5?

Aliwafumbuaje macho ikiwa ajira,madaraja na salary zilimshinda?

Kwa hiyo miaka 5 alikuwa anafanya nini ikiwa kila anafanya Samia na ameongeza vingine vingi ikiwemo maelfu ya ajira ?

Mwendazake amekuta mapato ya TRA ni bil.900 kwa mwezi mwaka 2016 anaondoka mwaka 2020 ni Til.1.3 ..(ameongeza bil.400 kwa miaka 5)

Samia amekuta hiyo 1.3 kwa mwezi 2020/2021 hadi sasa tunaongea mapato ya mwezi ni 1.8 Tilion yaani ongezeko la bil.500 kwa mwezi ndani ya mwaka mmja tuu..

Hakuna Rais tulipigwa kama Mwendazake,si tuu alikuwa hana akili bali alikuwa mharibifu .
Na alikuwa kuchaa na mwizi mkubwa
 
Nitakua wa mwisho kuamini Kama mwendazake kiwango Cha ubadhilifu kwenye fedha za umma kilipungua asilimia 99%, yule alikua hakwapui bali alijichotea tu pesa atakavyo
Hivi kwa akili ya kawaida ujichotee pesa alafu ufanye makubwa namna ile kwa miaka mitabo?
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Daaaah

halafu nikimkumbuka Hayati Mwamba naitwa Mnyonge nisiejielewa
 
Acha wehu wewe mjinga,angekuwa ameongeza mapato ndio sgr ya km 200 ingemshinda kuikamilisha kwa miaka 5?

Aliwafumbuaje macho ikiwa ajira,madaraja na salary zilimshinda?

Kwa hiyo miaka 5 alikuwa anafanya nini ikiwa kila anafanya Samia na ameongeza vingine vingi ikiwemo maelfu ya ajira ?

Mwendazake amekuta mapato ya TRA ni bil.900 kwa mwezi mwaka 2016 anaondoka mwaka 2020 ni Til.1.3 ..(ameongeza bil.400 kwa miaka 5)

Samia amekuta hiyo 1.3 kwa mwezi 2020/2021 hadi sasa tunaongea mapato ya mwezi ni 1.8 Tilion yaani ongezeko la bil.500 kwa mwezi ndani ya mwaka mmja tuu..

Hakuna Rais tulipigwa kama Mwendazake,si tuu alikuwa hana akili bali alikuwa mharibifu .
Wewe unaandika ukitumia akili au matope?
 
Back
Top Bottom