Baada ya Hayati Magufuli kulifumbua macho taifa juu ya mapato ya umma yaliyokuwa yanaibiwa huko nyuma. Sasa yanatafunwa kupitia janja ya kulamba asali

Baada ya Hayati Magufuli kulifumbua macho taifa juu ya mapato ya umma yaliyokuwa yanaibiwa huko nyuma. Sasa yanatafunwa kupitia janja ya kulamba asali

Magufuli sio hayati ni Mwendazake hayati ni kwa watu wema mashuhuri kama sokoine nyerere mkapa nelson mandela nk
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Hili la wanyamapori limenigusa Sana.
We are selling our pride. Unauza mnyama anaenda kuingiza fedha kwenye nchi za watu, huku wewe unalipwa fedha ambayo utaitumia siku mbili ikaisHa.
Hatuna utofauti na akina chifu mangungo msovero.
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
collusion ndio kitu gani?
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Mbaya zaidi wapinzani wote wamekua machawa wa mama, nilitegemea hili swala la kuuza wanyama wangelikemea, lakini wako kimya Kama hakuna kinachoendelea.
Inshort upinzani umekufa.
 
 
Mbaya zaidi wapinzani wote wamekua machawa wa mama, nilitegemea hili swala la kuuza wanyama wangelikemea, lakini wako kimya Kama hakuna kinachoendelea.
Inshort upinzani umekufa.
Mnawasubiri wapinzani wawasaidie kwa sababu ipi,wakati kila siku mnawananga,na kura hamuwapi.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga. Sio kazi Tanga mshahara Dar.
 
Mbaya zaidi wapinzani wote wamekua machawa wa mama, nilitegemea hili swala la kuuza wanyama wangelikemea, lakini wako kimya Kama hakuna kinachoendelea.
Inshort upinzani umekufa.
Mumlaumu Yule kichaa aliyeko motoni Kwa kujaza vilaza mjengoni, ulitaka wapinzani wazungumzie wapi? Tumia hata hiyo akili kiduchu uliyobakishiwa
 
Mnawasubiri wapinzani wawasaidie kwa sababu ipi,wakati kila siku mnawananga,na kura hamuwapi.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga. Sio kazi Tanga mshahara Dar.
Wamebakia kulialia tu hawana jipya lolote la maana.
 
Itoshe kusema wewe ni mburula wa mwisho..na Kuna wasenge wenzako wata like hii comment ya ujinga 😬😬.

Ingia website ya utumishi utapata jibu pesa zinafanya nini..

Kama huko kote huwezi basi fungua tovuti ya Bunge pitia kila bajeti ya Wizara utaona kwamba wizara zote zimeongezwa pesa ya kutekeleza maendeleo..

Umebeba kichwa kama mzigo tuu,Tanesco peke yake bajeti imetoka Til.2.3 hadi Til 2.9,,Tarura kutoka bil.272 hadi bil 802 nk👇
Hawa wana wivu na maumivu ya moyo kama wake wenza vile. Ni wa kusamehe bure tu.
 
Hawa wana wivu na maumivu ya moyo kama wake wenza vile. Ni wa kusamehe bure tu.
Wakiona vishindo kama hivi vya SSH wanachanganyikiwa na kujiuliza anawezaje bila kupayuka na kutukana?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-133355.png
    Screenshot_20220605-133355.png
    209.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-133559.png
    Screenshot_20220605-133559.png
    177 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-112357.png
    Screenshot_20220605-112357.png
    137.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-112258.png
    Screenshot_20220605-112258.png
    170 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-112108.png
    Screenshot_20220605-112108.png
    146.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220604-201519.png
    Screenshot_20220604-201519.png
    186.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220604-083007.png
    Screenshot_20220604-083007.png
    95.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220603-131510.png
    Screenshot_20220603-131510.png
    152.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220603-131727.png
    Screenshot_20220603-131727.png
    160.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220603-131704.png
    Screenshot_20220603-131704.png
    125.9 KB · Views: 5
Kwa akili ndogo za Mwendazake zilizoishia kujitutumua tuu,mambo makubwa kama haya yalikuwa nje ya uweso wake..

Unazungukwa na watu waliokotezwa barabarani watakusaidia nini?

Huu mradi ukianza utekelezaji wake 2027 , Tanzania itakuwa nyingine kabisaa maana thamani yake ni bajeti nzima ya Tanzania ya mwaka[emoji116]
Aina Hii miradi ninaogopa sana,hatuna wanasheria wanaojua kiwango hicho cha mikataba,hakuna eng wa kutosha kufahamu content zote za mkataba,dah naogopa
 
Aina Hii miradi ninaogopa sana,hatuna wanasheria wanaojua kiwango hicho cha mikataba,hakuna eng wa kutosha kufahamu content zote za mkataba,dah naogopa
Serikali Ili hire reputable law company kusaidia ku negotiate.
 
Hivi kwa akili ya kawaida ujichotee pesa alafu ufanye makubwa namna ile kwa miaka mitabo?
Mkuu ,we ACHA tu kwani mfano mdogo Kama alikua hachoti , izo pesa kuonga wabunge ,madiwani alikua anatoa mifukoni kwake,
Je Ayo mamiradi, mandege anajua nini kulikua nyuma ya pazia? Vipi ile Trion 3 , ya GAG ilitumika wapi?
 
Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.

Hii ni baada ya kuona hayati JPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.

Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.

Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.

Miradi ya kimkakati kama wa SGR, JNHP na Kusambaza maji toka Ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha SGR ni hadithi.

Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Ngoja waje waramba asali
 
Back
Top Bottom