Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #41
Dogo unawashwa?JIbu hoja hizo sio unakimbilia matusi, ambayo na yenyewe huyawezi pia!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo unawashwa?JIbu hoja hizo sio unakimbilia matusi, ambayo na yenyewe huyawezi pia!.
Hili la wanyamapori limenigusa Sana.Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.
Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.
Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.
Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.
Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.
Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
collusion ndio kitu gani?Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.
Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.
Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.
Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.
Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.
Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
😅Magufuli sio hayati ni Mwendazake hayati ni kwa watu wema mashuhuri kama sokoine nyerere mkapa nelson mandela nk
Mbaya zaidi wapinzani wote wamekua machawa wa mama, nilitegemea hili swala la kuuza wanyama wangelikemea, lakini wako kimya Kama hakuna kinachoendelea.Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.
Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.
Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.
Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.
Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.
Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Mnawasubiri wapinzani wawasaidie kwa sababu ipi,wakati kila siku mnawananga,na kura hamuwapi.Mbaya zaidi wapinzani wote wamekua machawa wa mama, nilitegemea hili swala la kuuza wanyama wangelikemea, lakini wako kimya Kama hakuna kinachoendelea.
Inshort upinzani umekufa.
Mumlaumu Yule kichaa aliyeko motoni Kwa kujaza vilaza mjengoni, ulitaka wapinzani wazungumzie wapi? Tumia hata hiyo akili kiduchu uliyobakishiwaMbaya zaidi wapinzani wote wamekua machawa wa mama, nilitegemea hili swala la kuuza wanyama wangelikemea, lakini wako kimya Kama hakuna kinachoendelea.
Inshort upinzani umekufa.
Unawashwa wewe unayeanzisha uzi kwa vinyongo ulivyonavyo. Usipoangalia utateseka mpaka 2025.Dogo unawashwa?
Ulimaliza hata la saba?Unawashwa wewe unayeanzisha uzi kwa vinyongo ulivyonavyo. Usipoangalia utateseka mpaka 2025.
Wamebakia kulialia tu hawana jipya lolote la maana.Mnawasubiri wapinzani wawasaidie kwa sababu ipi,wakati kila siku mnawananga,na kura hamuwapi.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga. Sio kazi Tanga mshahara Dar.
Umeamua kujisema mwenyewe sasa.Ulimaliza hata la saba?
Hawa wana wivu na maumivu ya moyo kama wake wenza vile. Ni wa kusamehe bure tu.Itoshe kusema wewe ni mburula wa mwisho..na Kuna wasenge wenzako wata like hii comment ya ujinga 😬😬.
Ingia website ya utumishi utapata jibu pesa zinafanya nini..
Kama huko kote huwezi basi fungua tovuti ya Bunge pitia kila bajeti ya Wizara utaona kwamba wizara zote zimeongezwa pesa ya kutekeleza maendeleo..
Umebeba kichwa kama mzigo tuu,Tanesco peke yake bajeti imetoka Til.2.3 hadi Til 2.9,,Tarura kutoka bil.272 hadi bil 802 nk👇
Wakiona vishindo kama hivi vya SSH wanachanganyikiwa na kujiuliza anawezaje bila kupayuka na kutukana?👇Hawa wana wivu na maumivu ya moyo kama wake wenza vile. Ni wa kusamehe bure tu.
Aina Hii miradi ninaogopa sana,hatuna wanasheria wanaojua kiwango hicho cha mikataba,hakuna eng wa kutosha kufahamu content zote za mkataba,dah naogopaKwa akili ndogo za Mwendazake zilizoishia kujitutumua tuu,mambo makubwa kama haya yalikuwa nje ya uweso wake..
Unazungukwa na watu waliokotezwa barabarani watakusaidia nini?
Huu mradi ukianza utekelezaji wake 2027 , Tanzania itakuwa nyingine kabisaa maana thamani yake ni bajeti nzima ya Tanzania ya mwaka[emoji116]
Serikali Ili hire reputable law company kusaidia ku negotiate.Aina Hii miradi ninaogopa sana,hatuna wanasheria wanaojua kiwango hicho cha mikataba,hakuna eng wa kutosha kufahamu content zote za mkataba,dah naogopa
Mkuu ,we ACHA tu kwani mfano mdogo Kama alikua hachoti , izo pesa kuonga wabunge ,madiwani alikua anatoa mifukoni kwake,Hivi kwa akili ya kawaida ujichotee pesa alafu ufanye makubwa namna ile kwa miaka mitabo?
Ngoja waje waramba asaliNi collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.
Hii ni baada ya kuona hayati JPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.
Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.
Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.
Miradi ya kimkakati kama wa SGR, JNHP na Kusambaza maji toka Ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha SGR ni hadithi.
Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?