Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
K
Kura gani? Acha kujitoa ufahamu weweHuyo ndo waliowengi walimkubali kwa kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura gani? Acha kujitoa ufahamu weweHuyo ndo waliowengi walimkubali kwa kura
Wewe hukupiga kura?K
Kura gani? Acha kujitoa ufahamu wewe
Jizi la kura ndiyo maana kafa kibuduHuyo ndo waliowengi walimkubali kwa kura
DuhNaandika nafuta.. Naandika nafuta! Dah! Nikae kimya kwanza, ngoja chawa waamke.. Nachojua hawatokuja na hoja zaidi ya kukuita "Sukuma Gang", " Mtetea legacy" mwishoe watafika mbali nakusema umfate ukazikwe nae... All in all, TUMEPIGWA!
Unapenda kuongea pumbaAcha wehu wewe mjinga,angekuwa ameongeza mapato ndio sgr ya km 200 ingemshinda kuikamilisha kwa miaka 5?
Aliwafumbuaje macho ikiwa ajira,madaraja na salary zilimshinda?
Kwa hiyo miaka 5 alikuwa anafanya nini ikiwa kila anafanya Samia na ameongeza vingine vingi ikiwemo maelfu ya ajira ?
Mwendazake amekuta mapato ya TRA ni bil.900 kwa mwezi mwaka 2016 anaondoka mwaka 2020 ni Til.1.3 ..(ameongeza bil.400 kwa miaka 5)
Samia amekuta hiyo 1.3 kwa mwezi 2020/2021 hadi sasa tunaongea mapato ya mwezi ni 1.8 Tilion yaani ongezeko la bil.500 kwa mwezi ndani ya mwaka mmja tuu..
Hakuna Rais tulipigwa kama Mwendazake,si tuu alikuwa hana akili bali alikuwa mharibifu .
Huyu jamaa hana akili kichwaniUnapenda kuongea pumba
Mapigo haya ya shingo mkuu ummaliza adui haraka sana.[emoji23][emoji23][emoji2]Acha wehu wewe mjinga,angekuwa ameongeza mapato ndio sgr ya km 200 ingemshinda kuikamilisha kwa miaka 5?
Aliwafumbuaje macho ikiwa ajira,madaraja na salary zilimshinda?
Kwa hiyo miaka 5 alikuwa anafanya nini ikiwa kila anafanya Samia na ameongeza vingine vingi ikiwemo maelfu ya ajira ?
Mwendazake amekuta mapato ya TRA ni bil.900 kwa mwezi mwaka 2016 anaondoka mwaka 2020 ni Til.1.3 ..(ameongeza bil.400 kwa miaka 5)
Samia amekuta hiyo 1.3 kwa mwezi 2020/2021 hadi sasa tunaongea mapato ya mwezi ni 1.8 Tilion yaani ongezeko la bil.500 kwa mwezi ndani ya mwaka mmja tuu..
Hakuna Rais tulipigwa kama Mwendazake,si tuu alikuwa hana akili bali alikuwa mharibifu .
Aiseee!Mama ni mashine hasa.Kwa akili ndogo za Mwendazake zilizoishia kujitutumua tuu,mambo makubwa kama haya yalikuwa nje ya uweso wake..
Unazungukwa na watu waliokotezwa barabarani watakusaidia nini?
Huu mradi ukianza utekelezaji wake 2027 , Tanzania itakuwa nyingine kabisaa maana thamani yake ni bajeti nzima ya Tanzania ya mwaka[emoji116]
Kwa ngonjela zake imebidi nimzoeeUnapenda kuongea pumba
Na bila propaganda wala vitisho..Aiseee!Mama ni mashine hasa.
Pumba kama zipi,onyesha wewe ambazo sio pumba tuzijadili..Unapenda kuongea pumba
Tumepigwa vibaya mno!Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.
Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.
Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.
Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.
Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.
Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
Hata JK aliwahi kusaini. Zaidi watu wa mtwara wakafa na wengine kupata ulemavu wa kudumu.Kwa akili ndogo za Mwendazake zilizoishia kujitutumua tuu,mambo makubwa kama haya yalikuwa nje ya uweso wake..
Unazungukwa na watu waliokotezwa barabarani watakusaidia nini?
Huu mradi ukianza utekelezaji wake 2027 , Tanzania itakuwa nyingine kabisaa maana thamani yake ni bajeti nzima ya Tanzania ya mwaka[emoji116]
Endeleeni kupigwa 😬😬.Tumepigwa vibaya mno!
Usimsingizie JK, Mwendazake ndio alikuwa muuaji..Hata JK aliwahi kusaini. Zaidi watu wa mtwara wakafa na wengine kupata ulemavu wa kudumu.
Samia kakata ulaji wa Sukuma gang 👇Nitakua wa mwisho kuamini Kama mwendazake kiwango Cha ubadhilifu kwenye fedha za umma kilipungua asilimia 99%, yule alikua hakwapui bali alijichotea tu pesa atakavyo
Kajipange 2050 😄😄👇👇Chato tutaenda kwa mamilioni, nasema!!!! mamilioni wacha watete.
Dunia itajua kuwa Watanzania hatutaki kuchezewa. Ngoja tuanze na hawa CCM 2025. Tunavyoona na kusikia hawachaguliki.
Aluta Continua.
Unapiga haya makelele ukiwa Dar mbele ya computer yako, kwa aina hii ya uandishi sidhani kama unatembea Tanzania na kujionea hiyo miradi yote aliyoiacha hayati JPM namna inavyofanikishwa mmoja baada ya mwingine.Ni collusion ya nguvu ambayo imeundwa na mtandao wa wanaCCM waliopo madarakani na wapinzani uchwara.
Hii ni baada ya kuona hayatiJPM aligundua mianya ya upigaji na akadhibiti ukusanyaji mapato.
Kulamba asali ndio mtindo unaotumika sasa kukamua rasilimali za umma.
Kwa nini hali inazidi kuwa mbaya kwa kila nyanja ya kiuchumi hapa nchini? Huduma za afya bila pesa zimekuwa ngumu kupata hata ukiwa na pesa hupati na madawa hakuna. Huu ni mfano tu.
Miradi ya kimkakati kama wa Sgr, JNHP na Kusambaza maji toka ziwa Victoria sasa ni hadithi tena. Maana hata kumaliza kipande cha Dar Moro cha Sgr ni hadithi.
Vipi kuhusu hao wanyama pori watakaonza kupanda madege hivi punde?
JIbu hoja hizo sio unakimbilia matusi, ambayo na yenyewe huyawezi pia!.Wewe unaandika ukitumia akili au matope?