Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Samia hana vishindo, anafanya mengi sana bila ya dunia kutetemeka, bila ya mtu kufungwa jela, bila ya kudhalilisha mkurugenzi fulani wa halmashauri, bila ya kuumiza hao hao wanaompigia kura.Wakiona vishindo kama hivi vya SSH wanachanganyikiwa na kujiuliza anawezaje bila kupayuka na kutukana?👇