Baada ya Hayati Magufuli kulifumbua macho taifa juu ya mapato ya umma yaliyokuwa yanaibiwa huko nyuma. Sasa yanatafunwa kupitia janja ya kulamba asali

Baada ya Hayati Magufuli kulifumbua macho taifa juu ya mapato ya umma yaliyokuwa yanaibiwa huko nyuma. Sasa yanatafunwa kupitia janja ya kulamba asali

Samia hana vishindo, anafanya mengi sana bila ya dunia kutetemeka, bila ya mtu kufungwa jela, bila ya kudhalilisha mkurugenzi fulani wa halmashauri, bila ya kuumiza hao hao wanaompigia kura.
Mambo ni moto 🔥🔥
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-153300.png
    Screenshot_20220605-153300.png
    192.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-144839.png
    Screenshot_20220605-144839.png
    132.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-144850.png
    Screenshot_20220605-144850.png
    66.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-144918.png
    Screenshot_20220605-144918.png
    107.3 KB · Views: 4
Inasikitisha sana...

Alafu matajiri washona njia ya kutakatisha fedha ni kuziwekeza kwenye vituo vya mafuta...
 
Back
Top Bottom