Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

We nae na huo ulokole wako!! Usilazimishe watu kuokoka Kila mtu aamini anachoamini
 
Walokole wajuaji sana, wakatoliki kufanya mambo yao unawaita wapinga Kristo..

Wewe haya mamlaka ya kuhukumu wengine ulipewa na biblia ipi? tuwekee hilo andiko hapa.

Muachage ujinga.
 
Serikali na chawa wa Msoga ndio wanazidi kumfanya JPM azidi kuwa hai, vijembe na chuki dhidi ya JPM ndio vitazidi kumuweka hai na legacy yake kuongelewa.
Msoga inalaumiwa kwa kutimua vumbi hadi kwny matope


Wapo waliomlaumu Mkwere kwa JPM kuwa Rais

Hao hao tena wakaja kulaumu kuwa JK hataki JPM awe Rais

Wapo waliomlaumu tena Mkwere kwa kumpendelea Lowassa na kundi lake na Makala wakaandika kuwa anapendelea Kundi lake la Mtandao

alipowasikiliza akalipiga chini kundi lake wakaja tena kulaumu hana shukran kasaliti Rafiki zake

Wapo waliomlaumu JK kwa kulazimisha Mchakato wa Katiba aumalize wakati wake ili apate sifa peke yake

akasikiliza akaachia pale pale ili wengine waje wakitaka kumalizia au kuanza upya watajua wenyewe

miaka 9 baadae wale wale walioshauri asitishe mchakato ndio wanalaumu kwanini hakumalizia

Msiban Kule Masaki akichelewa kwa siku 2 tu kutokea Msiban maneno wakaanza hata Msiban anaona aibu kuja, alipoenda eti kufuata nini ?

Huyu Jamaa asingepewa roho ya kupuuza angekuwa kimbaumbau kwa gubu la mitandaoni kuliko Mstaafu yule Mzee wa Kijiti na Sigara kali pale Mikocheni
 
Sababu magufuli alikua anaongea kutoka moyoni kabisa tofauti na mizoga mingine ...alipo sema anachukia umasikini wa watanzani alimaanisha haswa ...na alipo sema anachukia wenye nguvu kuonea wanyonge alimaanisha haswa
 
Nanyinyi si mnayo mizoga yenu ya wema awafi kwanini msiiombee ....mnao mzoga wa yule mzee aliye dinya hadi mama yake mzazi na kugawa loliondo kwa muarabu muombeeni huyo mnao mzoga wa msoga gang wa niguse kinuke kauombeeni huo
 
Mkuu udini ni mbaya sana ndugu kamwe hawezi kukupeleka mahali salama.

Lipi kosa hapo walilofanya?..Kumuombea mfu napo ni kosa ama ina ukomo wa maombi kwamba maombi ni mara moja tu na sehemu fulani tu?

Hizi dini tulizaliwa tukazikuta ndugu yangu tusipende kujifanya kuwa tunazifahamu sana zaidi ya waasisi.

Kila mtu aheshimu imani yake bila kumkwaza mwingine na tuwe na kiasi pia huku tukikumbuka kuwa tutakufa tukiziacha na kuwaachia wengine. Kamwe dunia haiwezi kuwa imani moja.
 
Sababu magufuli alikua anaongea kutoka moyoni kabisa tofauti na mizoga mingine ...alipo sema anachukia umasikini wa watanzani alimaanisha haswa ...na alipo sema anachukia wenye nguvu kuonea wanyonge alimaanisha haswa
Kiongozi muadilifu anatakiwa kupigania haki za watu wote bila ya kujali ni ya Mnyonge au Tajiri ?

Wanyonge wakivamia mali halali ya Tajiri unatakiwa kuwa Jasiri kuwafurusha na kumtetea Tajiri bila ya kujali athari za kisiasa kwa kupoteza umaarufu
 
Wachiwe wafanye hata ingekuwa wanazunguuka nchi nzima ni jambo jema!
 
the church labda knows more kilichotokea kwa mpendwa wao, hakuna mahali niliposema waislamu wamehusika usinilishe maneno …
 
Nanyinyi si mnayo mizoga yenu ya wema awafi kwanini msiiombee ....mnao mzoga wa yule mzee aliye dinya hadi mama yake mzazi na kugawa loliondo kwa muarabu muombeeni huyo mnao mzoga wa msoga gang wa niguse kinuke kauombeeni huo
Kifua chako kimehifadhi chuki sana inaonekana

Hayo ni maradhi kama ilivyo UTI na mengine

wahi kwny Clinic ya Maombi na Dua ili upate rehma za Mola wako

kuna watu ukisoma comment zake mbili tatu tu unaona alichohifadhi kifuani
 
Wasio na akili siku zote huwa na hofu kubwa wanapoona jambo chanya linafanyika. Wao kutwa kuchwa ni kuhubiri chuki
 
Hivi from, Christian perspective, kumuombea mtu aliyekwisha kufa kuna faida gani? Si wanasema ukifa ukiwa hujatubu na kuomba msamaha unaenda motoni au ukiwa tayari unaenda mbinguni...je kuombewa kuna badilisha nini kama Mungu alishafanya maamuzi?
Waache wafu wawazike wafu wao.
Waache marehemu waombeane.

kwani wamekudhuru?
 
Huenda akawa shoga huyu mpuuzi
 
Kwani Nyerere pia alifariki tarehe hizihizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…