Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

Inasemekana Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Lisu ni miongoni mwa Wageni wa Kitaifa watakaoshiriki Misa ya kumuombea Shujaa Magufuli jijini Mwanza

Karma ni Kweli litakuwa jambo jema sana 😀
 
Wewe inakuuma nini mkuu...

Whats so special for him POMBE to be prayed like that??udini tu unawasumbua wagalatia,ingekuwa waislam hapo wapo kwenye mission kama hizo kusingekalika hapa...

AFTER ALL I WILL NEVER UNDERSTAND GALATIANS,SI MNASEMWA ASKOFU GWAJIMA ANAFUFUA WAFU PALE KANISANI KWAKE TEMPLE YA UFUFUO NA UZIMA??If you love POMBE to such extent why msiongee tu na GWAJIMA AMFUFUE??

Maombi maombi mnatupigia kelele tuh,he is very dead and gone...!!

Kafariki MTUKUFU WA DARJA MUHAMMAD SEMBUSE POMBE??
 
Anaombewa mtu mwingine wengine wanaleta kisirani.

Aombewe kwa lipi??wanafiki tuh hawana lolote na udini wao,if they real love him like the way they pretend it to be waende kwa Gwajima wakaongee nae AMFUFUE ILI ARUDI NA KAZI IENDELEE..
 
Hivi from, Christian perspective, kumuombea mtu aliyekwisha kufa kuna faida gani? Si wanasema ukifa ukiwa hujatubu na kuomba msamaha unaenda motoni au ukiwa tayari unaenda mbinguni...je kuombewa kuna badilisha nini kama Mungu alishafanya maamuzi?
Kabla ya kufika mbinguni....Kuna kijiwe wana "pause" kwanza kinaitwa peponi..Sasa hapa michakato kama hiyo yafaa ref. Yesu pale msalabani alimjuza yule kibaka kwamba hakika watakuwa nae peponi.
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayoView attachment 2939575
unalazimisha au unatafuta laana kwa makusudi🐒

mie nashauri busara na
hekima ikuelekeze kua mkimya na mtulivu kwenye imani za watu hasa kipindi hiki cha mfungo, juu ya sala na ibada kwaajili wapendwa au waamini wao fulani 🐒

haijajazuiwa yeyote kwa imani yake kufanya hivyo 🐒
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayoView attachment 2939575
Huo ni mtazamo wako binafsi tu, najua unaumia sana Magufuli kutofutika mioyoni mwa watanzania.

Fahamu nguvu inayotumika kumfuta ndio hiyohiyo inatumika kuhakikisha hafutiki, kazi kwako kusuka au kunyoa
 
hili kanisa la mpinga Kristo, imagine, barua nzima inatangazwa na dhehebu kumuombea marehemu, lakini hawajaweka mstari wowote wa Biblia to back up their activity. ilitakiwa waseme, siku fulani tutamwombea marehemu fulani au misa kwa ajili ya mtufulani kwa mujibu wa kitabu fulani cha Biblia. kiufupi ni kwamba, hakuna mstari wowote kwenye Biblia unaoruhusu kuombea wafu au kuomba kwa wafu. Mtu akishakufa, kilichobaki kwake ni hukumu tu aidha aende motoni au uzimani, ninyi mlioko hapa duniani hata mumuombee namna gani mnapoteza muda wenu, yeye alitakiwa kutubu alipokuwa mzima.

hata akili ya kawaida tu, kama kungekuwa na kuombewa baada ya kufa uwekwe mahali pema, kusingekuwa na wito wa kuokoka au kumpokea Yesu, kwasababu hata ukifa na dhambi hasa wewe uliye maarufu au tajiri, ungeita tu padre akuombee usamehewe dhambi huko uendako. Yesu angesemaje sasa tukeshe na kuwa tayari? hata usipokuwa tayari si watakuombea ukifa?

Kanisa katoliki limepotosha wengi hadi hawataki kuokoka kwasababu wanalitegemea litawaombea wakifa. hili pia limefanya mapadre kuwa miungu watu, usipoenda jumuiya wanasema hatutakuzika, au hatutakuombea misa kama hizi, yaani wao ni kama wamejipatia mamlaka ya aidh akuingiza mtu mbinguni au kumzuia asiingie, jambo ambalo kwenye Biblia halipo. watu wengi wanashindwa kuokoka wakiogopa hawataombewa, mnapotoka.

Kanisa hili sio lile la mitume, shetani alishaingilia kati akalichuja. ukichukua kanisa la kitabu cha Matendo (ambalo ndilo kanisa la mitume) ukalinganisha na hili la sasaivi, hakuna hata vinavyolingana, siasa na serikali za wafalme wa dunia ziliingilia kati zikaliharibu kabisa. USHAURI WANGU KWENU WAKATOLIKI, nafasi ya uzima Mungu amewapatia, itumieni kwanza kabisa kwa kulikimbia hilo dhehebu, lipo kinyume na Neno la Mungu, pili, mnatakiwa kuokoka, Kitabu cha matendo chote kimeiimba kuokoka, muokoke ili msiende jehanum, dhehebu lenu limewaweka watumwa na mpo kifungoni, hamumuoni Mungu maishani mwenu na bado mnasali hapo, kwa kifungo cha kuzikwa na kuombewa mkifa, mnakataa wokovu na vipawa vyote vya Mungu, mnang'ang'ania dhehebu, Mungu anawaonya mbadilike, mngali na nafasi.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani.

Waebrania 9:27 inasema, Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.

Ndugu zangu, Biblia imeweka wazi, heri wafu wafao katika Bwana maana wataenda na matendo yao, Msipoteze muda kwenda kumuombea magufuli, siku ile anakufa ndio ilikuwa deadline yake hapa duniani ya kutengeneza na Mungu,kama alifanikiwa kutengeneza na Mungu kwa kutubu dhambi, heri yake, ila kama hakutengeneza, alienda na matendo yale yaliyoishia siku ile alipokufa. vivyo hivyo hata ninyi mkifa ndio deadline ya kutengeneza na Mungu. HAKUNA MWANADAMU ATAKAYEKUOMBEA ukifa usamehewe, hayupo, unasamehewa kwa kutubu dhambi, haujatubu unaenda na matendo yenu. hili suala la kuombea wafu ati Mungu awaweke pema, ni la kishetani na lengo ni kutaka watu wabaki katika dhambi wakitegemea kanisa litawasaidia kutubu dhambi wakifa, jambo ambalo ni la uongo na shetani amewakamatia hapo. ukifa unaenda na matendo yako, na baada ya kifo kinachofuata ni hukumu.
Mamamaee unateseka ukiwa wapi goroko wewe
 
Whats so special for him POMBE to be prayed like that??udini tu unawasumbua wagalatia,ingekuwa waislam hapo wapo kwenye mission kama hizo kusingekalika hapa...

AFTER ALL I WILL NEVER UNDERSTAND GALATIANS,SI MNASEMWA ASKOFU GWAJIMA ANAFUFUA WAFU PALE KANISANI KWAKE TEMPLE YA UFUFUO NA UZIMA??If you love POMBE to such extent why msiongee tu na GWAJIMA AMFUFUE??

Maombi maombi mnatupigia kelele tuh,he is very dead and gone...!!

Kafariki MTUKUFU WA DARJA MUHAMMAD SEMBUSE POMBE??
Acha wivu wa kimalayamalaya wewe mama
 
Hivi from, Christian perspective, kumuombea mtu aliyekwisha kufa kuna faida gani? Si wanasema ukifa ukiwa hujatubu na kuomba msamaha unaenda motoni au ukiwa tayari unaenda mbinguni...je kuombewa kuna badilisha nini kama Mungu alishafanya maamuzi?
Magufuli alipewa Toba kabla ya kufaliki
 
Kiongozi muadilifu anatakiwa kupigania haki za watu wote bila ya kujali ni ya Mnyonge au Tajiri ?

Wanyonge wakivamia mali halali ya Tajiri unatakiwa kuwa Jasiri kuwafurusha na kumtetea Tajiri bila ya kujali athari za kisiasa kwa kupoteza umaarufu
Ndivyo alivyo fanya magufuli ndiyo maana sugu alipo taka kuvunjiwa hotel yake aliwaonya wakina tulia ila jpm alivunja jengo linalo daiwa kuwa la lowasa pale ubungo lilijengwa kwenye hifadhi ya barabara hivyo magufuli alikuwa ana fuata haki . Sasa tuambie wewe unaye mponda je hao marais unao waona wewe ni bora je wao wana jali haki za masikini ?
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayoView attachment 2939575



Acha imani za watu, hizo ni taratibu za Catholics, sio jambo jingine, na unakuta familia imeombe aombewe.
 
Kifua chako kimehifadhi chuki sana inaonekana

Hayo ni maradhi kama ilivyo UTI na mengine

wahi kwny Clinic ya Maombi na Dua ili upate rehma za Mola wako

kuna watu ukisoma comment zake mbili tatu tu unaona alichohifadhi kifuani
Maradhi ya haki wewe unaygua maradhi ya dhuruma
 
Whats so special for him POMBE to be prayed like that??udini tu unawasumbua wagalatia,ingekuwa waislam hapo wapo kwenye mission kama hizo kusingekalika hapa...

AFTER ALL I WILL NEVER UNDERSTAND GALATIANS,SI MNASEMWA ASKOFU GWAJIMA ANAFUFUA WAFU PALE KANISANI KWAKE TEMPLE YA UFUFUO NA UZIMA??If you love POMBE to such extent why msiongee tu na GWAJIMA AMFUFUE??

Maombi maombi mnatupigia kelele tuh,he is very dead and gone...!!

Kafariki MTUKUFU WA DARJA MUHAMMAD SEMBUSE POMBE??
Kwa nini na wewe usiende kwa Gwajima umuombe amfufue mtume MOHAMEDI
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Jitahidi ukiondoka uache legacy, chukulia tu kama funzo.
 
Whats so special for him POMBE to be prayed like that??udini tu unawasumbua wagalatia,ingekuwa waislam hapo wapo kwenye mission kama hizo kusingekalika hapa...

AFTER ALL I WILL NEVER UNDERSTAND GALATIANS,SI MNASEMWA ASKOFU GWAJIMA ANAFUFUA WAFU PALE KANISANI KWAKE TEMPLE YA UFUFUO NA UZIMA??If you love POMBE to such extent why msiongee tu na GWAJIMA AMFUFUE??

Maombi maombi mnatupigia kelele tuh,he is very dead and gone...!!

Kafariki MTUKUFU WA DARJA MUHAMMAD SEMBUSE POMBE??
Chagua lugha moja ya kuandika, maana unatuchanganya ...
 
Wewe mleta uzi ni jamii ya nyani wa porini.
Huenda mama yako alibakwa na Ny*ni ndio ukazaliwa!
Uelewe kwamba nchi hii watu tuko wengi na tuko huru kufanya lolote jema bila kuvunja katiba.
Magufuli anawatesa sana ...
Ngoja siku yake wa Msoga au yule Janabi ndio utajua watanzania wana nini vifuani mwao!
Shwine wewe!
 
hili kanisa la mpinga Kristo, imagine, barua nzima inatangazwa na dhehebu kumuombea marehemu, lakini hawajaweka mstari wowote wa Biblia to back up their activity. ilitakiwa waseme, siku fulani tutamwombea marehemu fulani au misa kwa ajili ya mtufulani kwa mujibu wa kitabu fulani cha Biblia. kiufupi ni kwamba, hakuna mstari wowote kwenye Biblia unaoruhusu kuombea wafu au kuomba kwa wafu. Mtu akishakufa, kilichobaki kwake ni hukumu tu aidha aende motoni au uzimani, ninyi mlioko hapa duniani hata mumuombee namna gani mnapoteza muda wenu, yeye alitakiwa kutubu alipokuwa mzima.

hata akili ya kawaida tu, kama kungekuwa na kuombewa baada ya kufa uwekwe mahali pema, kusingekuwa na wito wa kuokoka au kumpokea Yesu, kwasababu hata ukifa na dhambi hasa wewe uliye maarufu au tajiri, ungeita tu padre akuombee usamehewe dhambi huko uendako. Yesu angesemaje sasa tukeshe na kuwa tayari? hata usipokuwa tayari si watakuombea ukifa?

Kanisa katoliki limepotosha wengi hadi hawataki kuokoka kwasababu wanalitegemea litawaombea wakifa. hili pia limefanya mapadre kuwa miungu watu, usipoenda jumuiya wanasema hatutakuzika, au hatutakuombea misa kama hizi, yaani wao ni kama wamejipatia mamlaka ya aidh akuingiza mtu mbinguni au kumzuia asiingie, jambo ambalo kwenye Biblia halipo. watu wengi wanashindwa kuokoka wakiogopa hawataombewa, mnapotoka.

Kanisa hili sio lile la mitume, shetani alishaingilia kati akalichuja. ukichukua kanisa la kitabu cha Matendo (ambalo ndilo kanisa la mitume) ukalinganisha na hili la sasaivi, hakuna hata vinavyolingana, siasa na serikali za wafalme wa dunia ziliingilia kati zikaliharibu kabisa. USHAURI WANGU KWENU WAKATOLIKI, nafasi ya uzima Mungu amewapatia, itumieni kwanza kabisa kwa kulikimbia hilo dhehebu, lipo kinyume na Neno la Mungu, pili, mnatakiwa kuokoka, Kitabu cha matendo chote kimeiimba kuokoka, muokoke ili msiende jehanum, dhehebu lenu limewaweka watumwa na mpo kifungoni, hamumuoni Mungu maishani mwenu na bado mnasali hapo, kwa kifungo cha kuzikwa na kuombewa mkifa, mnakataa wokovu na vipawa vyote vya Mungu, mnang'ang'ania dhehebu, Mungu anawaonya mbadilike, mngali na nafasi.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani.

Waebrania 9:27 inasema, Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.

Ndugu zangu, Biblia imeweka wazi, heri wafu wafao katika Bwana maana wataenda na matendo yao, Msipoteze muda kwenda kumuombea magufuli, siku ile anakufa ndio ilikuwa deadline yake hapa duniani ya kutengeneza na Mungu,kama alifanikiwa kutengeneza na Mungu kwa kutubu dhambi, heri yake, ila kama hakutengeneza, alienda na matendo yale yaliyoishia siku ile alipokufa. vivyo hivyo hata ninyi mkifa ndio deadline ya kutengeneza na Mungu. HAKUNA MWANADAMU ATAKAYEKUOMBEA ukifa usamehewe, hayupo, unasamehewa kwa kutubu dhambi, haujatubu unaenda na matendo yenu. hili suala la kuombea wafu ati Mungu awaweke pema, ni la kishetani na lengo ni kutaka watu wabaki katika dhambi wakitegemea kanisa litawasaidia kutubu dhambi wakifa, jambo ambalo ni la uongo na shetani amewakamatia hapo. ukifa unaenda na matendo yako, na baada ya kifo kinachofuata ni hukumu.
Umeandika haya ndefu lakini hoja zako ni chuki juu ya kanisa katoliki labda uje tena utuambie kanisa lipi ni la kweli mahana hadi sasa kuna madheebu mengi ebu tuambie dheebu lipi ni la kweli

Kwani hapa duniani hakuna dheebu la matendo ya mitume, inawezekana unatuamia nguvu nyingi na chuki juu ya kanisa katoliki na kumbe nyie ndio mnaoamini kwenye maji ya upako na kula keki ,

Dini zote zimejengwa kwenye misingi ya Imani ikitoa imani na ukasema uanze kufikiria Kwa utashi wa kibinadamu sizani kama utatamani hata kwenda kusali uko unadhani ni kua ndio pakweli
 
Back
Top Bottom