Lazima apambane kwa jasho na damu.Mkionaga hayo mapichapicha mnapata maluelue. Biden anazidi kuwaingiza chaka Ukraine kwani kwasasa hakuna taifa lenye ubavu wa kuligana vita na Russia. Hao Ukraine na Nato hakuna rangi watakaohacha kuiona kwwnye hii vita.
Toka vita inaanza kila silaha mnazopeleka zinadhibitiwa sasa sijui hayo mapepo yenu yanatoka wapi
Naona upo.kiligi zaidi. Lakini kiualisia pamoja na misaada yote hiyo, Ukraine inaumia sana
Endelea kujifurahishaVichaka vya kupeana moyo vinazidi tu kuchipuka, Mamaaae mtafungua nyuzi mpaka za vyupi. Kipindi kipo palepale ni kichapo tu
Kabisa pacha. AnguNa hapa ndo nataka dunia ifike mwisho wa matumizj ya mafuta (oil)
100%Uyu popoma wa Pro nato anafikiri russia hii vita anataka iishe leo? angetaka ivyo mapema kabisa angeshamaliza kazi ukraine amefanya makusudi ili tuone uerope kuwa si chochote kama walivyokuwa wanatuaminisha kuwa ni watu smart,magenius etc
Mbona urusi wanaendelea kuchukua maeneo huko Ukraine?hilo silaha zimewasaidia nini?Mambo yanazidi kuwa magumu na kama nilivyokwisha kusema kwamba Putin kashapoteza Dira ya vita Duniani: Vita ya Ukraine, Putin amepoteza Dira, mpaka sasa haelewi afanyeje kumaliza vita aliyoianzisha.
Kwa sasa Ukraine inazidi kupata nguvu ya hali ya juu tofauti na mwanzo kabisa, kwa sasa Ukraine imeanza Kupokea silaha za kisasa zaidi ambazo anazidi kuzitumia ipasavyo na mpaka sasa Russia ameshindwa kusonga mbele Donbas & Kherson mara baada ya Ukraine kuanza kutumia HIMARS hali iliyomfanya Putin kuhitisha kikao cha dharula Kremlin.
Baada ya HIMARS, Ukraine inaenda kuanza kutumia Mfumo wa Phoenix Ghost Drone kupambana na Russia.
Mbaya Zaidi Putin kaenda kuomba Silaha Iran & Syria, hali inayoonyesha kwa sasa Russia imeanza kupungukiwa na silaha za kivita.
Je, mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine ni nini?
Phoenix Ghost ni aina ya silaha zinazotembea kumaanisha kwamba husalia angani kwa muda mrefu kabla ya kupata shabaha.
Marekani inatuma zaidi ya ndege 500 za Phoenix Ghost kwenda Ukraine kama sehemu ya kifurushi chake cha dola milioni 270 ambazo Idara ya Ulinzi ya Marekani ilitangaza Ijumaa.
Tovuti ya Defense Express ilinukuu taarifa zilizotolewa na mshauri wa ofisi ya Rais wa Ukraine, Oleksii Arestovysch, ambaye alielezea ndege isiyo na rubani ya Phoenix Ghost kama "wijeti nzuri."
Ndege isiyo na rubani hutoshea ndani ya mkoba na inaweza kuning'inia hewani kwa saa sita. Ina mwongozo wa ‘infrared’, kumaanisha kuwa inaweza kufanya kazi usiku na kuharibu shabaha za silaha za wastani.
"Mia tano na themanini ya vitengo kama hivyo ni sawa na malengo 350 yaliyoharibiwa kwa nyuma," alisema.
Kulingana na Defence News, Phoenix Ghost, ambayo ilitengenezwa na Marekani mahususi kwa matumizi nchini Ukraine, inafanya kazi kwa njia sawa na AeroVironment Switchblade.
Kama vile Switchblade, ndege isiyo na rubani ya Phoenix Ghost ni aina ya silaha inayoteleza, kumaanisha kwamba inasalia hewani kwa muda mrefu kabla ya kupata shabaha.
Uwezo wa Phoenix Ghost
Tangazo la Biden la msaada wa kijeshi ni la 16 kutoka kwa orodha ya idara ya Ulinzi DoD kwa Ukraine ambayo Utawala wa Biden umeidhinisha tangu Agosti 2021," Idara ya Ulinzi ilisema katika taarifa yake Ijumaa.
Silaha hiyo ilundwa na Aevex Aerospace huko California, Phoenix Ghost inafaa dhidi ya magari ya kivita ya wastani, Politico ilimtaja mjumbe mstaafu wa bodi ya Aevex Lt. Jenerali David Deptula akisema.
Phoenix Ghost ina uwezo wa kuruka wima, inaweza kufuatilia lengo kwa hadi saa sita na inaweza kufanya kazi usiku kwa kutumia vitambuzi vya infrared, Deptula aliiambia Politico.
Ingawa Switchblade inaweza kuruka kwa chini ya saa moja pekee, Phoenix Ghost inaweza kusalia angani kwa muda mrefu zaidi.
"What is the Phoenix Ghost Drone that is set to be used in Ukraine? - The Jerusalem Post" What is the Phoenix Ghost Drone that is set to be used in Ukraine?
View attachment 2306822View attachment 2306823View attachment 2306827
Si Russia alisema masaa 72 mara anaongea majuma kadhaa oooh mpaka sasa haamini katulia, oooh mara sitaki kumaliza vita wenzake walivyo sikia hivyo wakatenga bajeti ya miaka 5 hapo sasa zile pigo zake za kutishia napiga nuclear zikaisha tena alivyosikia nucleur war head zinapelekwa Poland akatulia balaa.Uyu popoma wa Pro nato anafikiri russia hii vita anataka iishe leo? angetaka ivyo mapema kabisa angeshamaliza kazi ukraine amefanya makusudi ili tuone uerope kuwa si chochote kama walivyokuwa wanatuaminisha kuwa ni watu smart,magenius etc
Mwenzake alikuwa Uganda hapa sijui alifata msaada gani aisee....Kuna mtu kaenda Iran omba msaada
Tumewazoea ni matamko tu kutishia hawana chochote,[emoji635]#RamzanKadyrov - “We are already developing a plan for the demilitarization of #NATO countries, and #Poland is the first in line after the capture of #Kyiv." https://t.co/J4gyAwvNMn
Rais na waziri wake wanazurura wanaomba omba vimsaada mwingine vidrone mwingine alikuwa Uganda sijui alikuwa anaomba nini.....!?USA wanatoa taarabu mpya kila siku huku Russia akiendelea kudunda na hit ileile.
Siraha kuu ya westerners ni propaganda na ushawishi ambao unashuka kwa kasi.
Marekani pekee ndiye atakayelifanyia mageuz taifa hili kaidi ,mda utaongea tuu ,puttin hamaliz mwaka ,
Vita rasmi ndio inaanza AugustToka vita inaanza mpaka sasa Urusi hajafanikiwa kuteka mazima hata jimbo moja kwa nchi ndogo ya Ukraine
Zimesaidia kuwapunguza kasiMbona urusi wanaendelea kuchukua maeneo huko Ukraine?hilo silaha zimewasaidia nini?
Mwezi wa nane utaona
Kasi ipi wakati wanaendelea kuchukua maeneo mbalimbali recently wamechukua second largest Power plant ya UkraineZimesaidia kuwapunguza kasi
Russia ana GDP na mahela ya ku-run vita kwa miaka mingi kama US na washenzi wenzie wa West?Uyu popoma wa Pro nato anafikiri russia hii vita anataka iishe leo? angetaka ivyo mapema kabisa angeshamaliza kazi ukraine amefanya makusudi ili tuone uerope kuwa si chochote kama walivyokuwa wanatuaminisha kuwa ni watu smart,magenius etc
Na kuna mtu kaenda usa kuomba msaada.Kuna mtu kaenda Iran omba msaada