Baada ya HIMARS, Mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine Utamfanya Putin aitishe Vikao zaidi Kremlin

Super Power wa kuchonga kutimuliwa mji wa Kherson muda wowote baada daraja muhimu kulipuliwa na Himars
Ukraine's campaign to retake the occupied Kherson region is "gathering pace", Western military sources say...
Bila Shaka utakuwemo kwenye Uzi huu 12 hours from now...usije ukakimbia humu au ukaamua kupita kimya kimya...Kherson will not fall to Neo-nazists and the west...You don't know what the Russians are planning ..it is a disaster to Kiev...
 
Super Power wa kuchonga kutimuliwa mji wa Kherson muda wowote baada daraja muhimu kulipuliwa na Himars
Ukraine's campaign to retake the occupied Kherson region is "gathering pace", Western military sources say...
Bila Shaka utakuwemo kwenye Uzi huu 12 hours from now...usije ukakimbia humu au ukaamua kupita kimya kimya...Kherson will not fall to Neo-nazists and the west...You don't know what the Russians are planning ..it is a disaster to Kiev...
 
Wewe na warusi Nani anaakili?wanaingiza hela kila siku Kwa kuuza mafuta Kwa haohao wanajua wanachokifanya.
unajua maana ya GDP mkuu>?

naona kama unatoka usingizini vile

GDP ni pato zima la nchi kwa kuuza kila kitu sio mafuta tu kwa mwaka mzima,ndo unapata GDP

KWahiyo tunachosemea hapa ni mafuta included na uchafu wote put together

Russia kuuza mafuta kupo overblown sana....pamoja na mafuta yao mauzo kwa mwaka mzima hela hazitoshi hata kufikia pato la Texas.

Go learn your crack butt correctly
 
Bila Shaka utakuwemo kwenye Uzi huu 12 hours from now...usije ukakimbia humu au ukaamua kupita kimya kimya...Kherson will not fall to Neo-nazists and the west...You don't know what the Russians are planning ..it is a disaster to Kiev...
Kwa hiyo wewe ndio wamekuvujishia siri nini wana plan au..!?
 
Siku akifilisika nikumbushe
 
It's time to ends Russian power, nalijua watapigana nae kwa muda mrefu ili wamchoshe and it's what happening now!,.
 
Kila siku majira ya baridi baridi, mbona mwaka unaisha watu wamevumiria baridi

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…