Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Kiukweli jamaa ana point mpaka anakera. Yaani tayari kajipanga kuwapokea, kuwapeleka ghetoni (kwake) walale ili kesho yake waongee na mwenye nyumba awapangishie self hapohapo.
Kisha jamaa yetu atawasindikiza kununua mahitaji......hapa hata kama ni mke ya mtu hesabu ataliwa tu.
Kuna WAPYAAAAA
Umewasikia

#YNWA
 
Hoya mabaharia...
Kuna KONTENA JIPYAAA limeshuka halmashauri kwetu.
Halafu lina mishangazi mingi balaaa.

Asante Mhe. Raisi kwa kutoa post za ualimu...!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom