Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

INTRODUCTION
Ashukuriwe Mhe. Raisi Mama Samia kwa kutuletea hizi ajira zaidi ya 11,000 hakika ameupiga mwingi.

 PROBLEM
Ila Sasa nataka kuongea na kuuliza mabaharia MMEJIANDAAJE NA NDOA/MAPENZI YA BLUETOOTH kati yenu na hao wapenzi wenu?

SCENARIO
Unataka kunielewa?
Twende pamoja....

1. Upo Songea mkeo kapata ualimu Dar.

2. Upo Dodoma mchumba ako kapata post ya ajira ya unesi Mbeya.

3. Upo Sumbawanga, baby kawa mwalimu wa Kiswahili Iringa.

Sasa umejiandaaje?

Unajua huko anakoenda nako kuna wanaume?🤔🤔🤔🤔

CONCLUSION
Nikiwaambia msioe muwe mnaelewa.
Sasa mkeo/mchumba ako anapelekea mzigo wakulungwa ambao kwao ni mzigo mpyaaaa.

Haya bana, Mi waliopangiwa huku halmashauri yangu nawasubiri kuwakarimu kwa kuwapa ushirikiano wapate pakufikia.

Na infact hapa gheto nilikopanga Kuna self 2 double hazina wapangaji.

Mliopata ajira KARIBU KWENYE MATESO YA AJIRA ZA HALMASHAURI.

Anyway....
YANGA BINGWA

#YNWA
Yeraaa yeraaa
 
Sex sio umalaya, Sex ni ONE of the BASIC NEED.

Mwanamke asipopata mapenzi hata. Kazi haziendi.
Ushawahi kukutana na mwanamke ambae hajasugulia within days?

Bila Sex kazi HAZIWEZI KWENDA.

#YNWA
Hiyo kwa wanawake iliisha pale ilipogunduliwa dawa za majira, muulize mwanamke yeyote yule atakwambia anakubali ilimradi tu kulinda mme wake asichepuke lkn genye hana hata kidogo.
 
Hasaaa.
1. Kila mkuu wa Idara ni bosi wako
2. Kila anayetokea mkoani ni bosi wako
3. Kila anayetokea wizarani ni bosi wako.
4. Mtu akikosea anatafuta wa kumuangushia mzigo ili lawama ziwe zake.
5. Diwani akikuamulia unalo, na anamaamuzi juu yako. Yaani diwani ni kama bosi wako tu.
6. Mnyenyekee sanaa Mwenyekiti wa Halmashauri/Meya
7. Mishahara kidogoooo
8. Mengine utajionea mwenyewe kama wewe ni ajira mpya.

#YNWA
Halafu unakuta wewe nu Graduate halafu Diwani ni darasa la saba na ndio Boss wako.

Aisee wanasiasa wataenda motoni.
 
Hiyo kwa wanawake iliisha pale ilipogunduliwa dawa za majira, muulize mwanamke yeyote yule atakwambia anakubali ilimradi tu kulinda mme wake asichepuke lkn genye hana hata kidogo.
Kiuhalisia mwanaume hupaswi kuwa na Mke mmoja, ni vile tu uwezo wa kuwatunza Mke zaidi ya mmoja ni tatizo.
 
Hapo ni kufanya tu mabadilishano, Uyo waachie wa huko alikopangiwa na wewe udeal na waliopangiwa ulipo wewe, Wivu wa nini mwisho ushindwe kutafuta pesa akat Mwenzio kaendea pesa.
Maisha ni rahisi sana afu siku hizi kuhama vituo vya kazi ni simple tu vumilia kwa kitambo kidogo.

Kuhama sio simple kama ulivyopataja hapa.

#YNWA
 
Back
Top Bottom