Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Kuna jamaa yupo Dar mke kapangiwa Kigoma na baharia anaunga unga tu mtaani hapo ndo basi tena hakuna ndoa.
 
Mfate mwenza wako alikopangiwa ajira, kambi popote
 
Mkuu acha story za vijiweni, ukweli ni kwamba wapo wanaume na wanawake waliotulia na wanaweza ku-sustain kukaa wenyewe for as long as it takes. Priority kwao ipo kwenye vitu vingine kabisaaaa.

Binafsi priority yangu haijawahi kuwa kwenye hayo mambo, Ni rahisi kunikuta nakunywa wine, beer kuliko kunikuta kwenye hzo habari. Kuishi kwa wajibu kwangu ndani ya familia ni kipaumbele changu kikuu, na Mwenyezi Mungu anisaidie.

-Remember, unaweza kujizungumzia wewe mwenyewe na siyo mwingine.
Hahahahahaha labda kaseja hayupo golini
 
Nakumbuka wayaback ajira mpya zilipokuja.

Tuliowatangulia kidogo tukasema yes hizi ndio chance za kupata mke.

Aisee wale mabinti sijui waliambiana maana tukaanza kusikia wanaliwa na wakuu wa idara mbali mbali.

Huyu analiwa na afisa mipango ,yule analiwa na afisa elimu.

Huyu bwana ake ni afisa fulani kampata juzi tu tena jamaa alienda kwa mkuu wake idara akisema "huyu usimweke mbali mweke hapa hapa karibu" [emoji1787][emoji2]

Miaka 6-8 ikapita wootr wamekuwa single mamaz

Waliolewa hata watatu sijui kama wanafika.

Yule ndoa iliishia njia,huyu kapigwa mimba na bodaboda kahamia mtaa wa mbali kwa aibu.

Walitukaa tukagrow kiuchumi na kielimu.

Sasa tumevuta mabinti fresh kabisa from school miles chache down.
 
INTRODUCTION
Ashukuriwe Mhe. Raisi Mama Samia kwa kutuletea hizi ajira zaidi ya 11,000 hakika ameupiga mwingi.

 PROBLEM
Ila Sasa nataka kuongea na kuuliza mabaharia MMEJIANDAAJE NA NDOA/MAPENZI YA BLUETOOTH kati yenu na hao wapenzi wenu?

SCENARIO
Unataka kunielewa?
Twende pamoja....

1. Upo Songea mkeo kapata ualimu Dar.

2. Upo Dodoma mchumba ako kapata post ya ajira ya unesi Mbeya.

3. Upo Sumbawanga, baby kawa mwalimu wa Kiswahili Iringa.

Sasa umejiandaaje?

Unajua huko anakoenda nako kuna wanaume?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

CONCLUSION
Nikiwaambia msioe muwe mnaelewa.
Sasa mkeo/mchumba ako anapelekea mzigo wakulungwa ambao kwao ni mzigo mpyaaaa.

Haya bana, Mi waliopangiwa huku halmashauri yangu nawasubiri kuwakarimu kwa kuwapa ushirikiano wapate pakufikia.

Na infact hapa gheto nilikopanga Kuna self 2 double hazina wapangaji.

Mliopata ajira KARIBU KWENYE MATESO YA AJIRA ZA HALMASHAURI.

Anyway....
YANGA BINGWA

#YNWA
Pole kwa yaliyokukuta ungeoa mama wa nyumbani umfungulie kiofisi hata M,pesa yasingekukuta tatizo vijana wa sasa mnapenda kitonga sana.
 
Back
Top Bottom