Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Sisi Jobless wa mikoani tupo tayari kwa kazi ya kuchakata wake zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau majungu..ukinunua gari unaanza kufuatiriwa na takukuru hadi na usalama.Hasaaa.
1. Kila mkuu wa Idara ni bosi wako
2. Kila anayetokea mkoani ni bosi wako
3. Kila anayetokea wizarani ni bosi wako.
4. Mtu akikosea anatafuta wa kumuangushia mzigo ili lawama ziwe zake.
5. Diwani akikuamulia unalo, na anamaamuzi juu yako. Yaani diwani ni kama bosi wako tu.
6. Mnyenyekee sanaa Mwenyekiti wa Halmashauri/Meya
7. Mishahara kidogoooo
8. Mengine utajionea mwenyewe kama wewe ni ajira mpya.
#YNWA
Ila PCCB sometimes wanakeraaa sanaaaa.Umesahau majungu..ukinunua gari unaanza kufuatiriwa na takukuru hadi na usalama.
#MaendeleoHayanaChama
Pole yetuu sanaaa.Mpaka mwaka uishe tutaona mengi…
You made it..!!!True,but we made it, i,made it
Usisahau wakikuita kila kikao inabidi uende na uwasikilize hata kama hawana la maana wanalolizungumza....Hasaaa.
1. Kila mkuu wa Idara ni bosi wako
2. Kila anayetokea mkoani ni bosi wako
3. Kila anayetokea wizarani ni bosi wako.
4. Mtu akikosea anatafuta wa kumuangushia mzigo ili lawama ziwe zake.
5. Diwani akikuamulia unalo, na anamaamuzi juu yako. Yaani diwani ni kama bosi wako tu.
6. Mnyenyekee sanaa Mwenyekiti wa Halmashauri/Meya
7. Mishahara kidogoooo
8. Mengine utajionea mwenyewe kama wewe ni ajira mpya.
#YNWA
Halafu madiwani wenyewe ni darasa la Saba, ila ni wabishii kuelewa.Usisahau wakikuita kila kikao inabidi uende na uwasikilize hata kama hawana la maana wanalolizungumza....
Halafu ujinga unakeraaaa.Ajiandae kutumia nauli hovyo hovyo kufuatilia mambo ya halmashauri huku akija kuzidai nauli wamtishe kumsimamisha kazi....
Mengine nitaandika baadaye
Sio kweli mbona mm mke wangu yupo namtumbo songea mm nipo Dar na maisha yanaenda tuNi kaz sana kuyatunza mapenz ya mbali
Asikudanganye Mtu ndugu yangu. Hakuna mwanamke/mwanaume atakaa miezi 6 Nachingwea anakusubiri wewe wa Kamachumu asigongwe/kugonga.Haya ndo matatizo ya kudhania kila mtu ana tabia za kimalalamalaya [emoji1787] [emoji1787] , decent people hawakosekani kwenye jamii yoyote ingawa ni wachache otherwise wote tungekuwa na the same characteristics. Sasa kila wakati mtu akiwaza mapenzi, atafanya kazi kweli?
Hawana kingine cha kufanya. Majungu ni sehemu ya utendaji wao.Ila PCCB sometimes wanakeraaa sanaaaa.
#YNWA
Mada sio KUACHANA, Mada kuu ni AKIWA MBALI HIZO NYEGE ZAKE ANAZITULIZA VIPI?Sio kweli mbona mm mke wangu yupo namtumbo songea mm nipo Dar na maisha yanaenda tu
Naogopa kusema hapaPole yetuu sanaaa.
We umepangiwa wapi ili nikupokee?
#YNWA
Mkuu acha story za vijiweni, ukweli ni kwamba wapo wanaume na wanawake waliotulia na wanaweza ku-sustain kukaa wenyewe for as long as it takes. Priority kwao ipo kwenye vitu vingine kabisaaaa.Asikudanganye Mtu ndugu yangu. Hakuna mwanamke/mwanaume atakaa miezi 6 Nachingwea anakusubiri wewe wa Kamachumu asigongwe/kugonga.
Mimi siku hizi hata sifagilii mapenziRIP mapenzi.
#YNWA
I dont live in the past.You made it..!!!
Una mwaminije binadamu mwenzio.
Ulimfunga camera wakati yupo mbali?
NB:- Siongelei kuachana, Naongelea kutinduliwa..!!!
#YNWA
unamfata, kuna ma bus kibao, ukamua hautashindwaMada sio KUACHANA, Mada kuu ni AKIWA MBALI HIZO NYEGE ZAKE ANAZITULIZA VIPI?
Yaani wanaume wa huko wanamwangalia tuuu??
#YNWA