Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Kuna WAPYAAAAA
Umewasikia

#YNWA
 
Hoya mabaharia...
Kuna KONTENA JIPYAAA limeshuka halmashauri kwetu.
Halafu lina mishangazi mingi balaaa.

Asante Mhe. Raisi kwa kutoa post za ualimu...!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Swali: Unayatunzia nini? Wakati ya karibu Boda boda anelayeleta mkaa kwako best yako anaweza tembea na mkeo wewe ukiwa upo hapo hapo.
Hoya kuna kontena jipyaaaaaa

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…