Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA

Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA

Hakuna anayepinga uwekezaji tunataka uwekezaji wenye tija na siyo wapiga dili
Tanzania ilikuwa hatua ya kwanza ya uendeshaji wa bandari hatua ya Service Port.

Rais Samia amevuka hatua ya Tool Port na anaipeleka nchi kwenye hatua ya Landlord Port.

Jana wakati anahutubia akatumia neno HUB akiongelea kuwa mipango ni kulifanya jiji la Dar liwe Hub, nina uhakika wasomi wetu wengi hawalijui hilo neno linamaanisha kitu gani.
 
Tanzania ilikuwa hatua ya kwanza ya uendeshaji wa bandari hatua ya Service Port.

Rais Samia amevuka hatua ya Tool Port na anaipeleka nchi kwenye hatua ya Landlord Port.

Jana wakati anahutubia akatumia neno HUB akiongelea kuwa mipango ni kulifanya jiji la Dar liwe Hub, nina uhakika wasomi wetu wengi hawalijui hilo neno linamaanisha kitu gani.
Maybe kama unafukuzia uteuzi hakuna neno, huyu mama anaongea kuliko vitendo, inawezekana ana nia njema lakini kwa aina ya watu wa karibu yake nina 20% ya kufanikiwa maana watu wake ni wapiga dili wazuri sn na ndiyo hao wanampa vimemo vya uteuzi
 
Maybe kama unafukuzia uteuzi hakuna neno, huyu mama anaongea kuliko vitendo, inawezekana ana nia njema lakini kwa aina ya watu wa karibu yake nina 20% ya kufanikiwa maana watu wake ni wapiga dili wazuri sn na ndiyo hao wanampa vimemo vya uteuzi
Namtakia mema na sina mpango wowote wa uteuzi. Naelewa anataka kutupeleka wapi, alisema anaifungua nchi na ni mchakato wenye kutupa changamoto sisi wenye kuishi ndani ya hii nchi.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.



Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.

Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.

The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.

Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.

Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.

The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

[mention]Pascal Mayalla [/mention] , Kama IGA ilikuwa utumbo utumbo tu usitegemee HGA kutakuwa na la maana la Kutubeba, hii ni chronological order, hapa ni always down , huwezi kukuta ups and down hapa, ukinunua nguo iliyotoboka dukani hata ukipeleka kwa fundi chelehani tegemea viraka tu.

WAANDISHI WA HABARI NI WAKATI WENU WA KUPINGA HUU UFEDHURI
 
Wananchi wameambiwa Bandari yao imeuzwa na kuna mwingine jana jioni huku Temeke alikuwa anauliza kuwa amesikia kuwa "Dipiwedi ni ya Lizuwani"

Kiukweli kabisa Wananchi wamekorogwa sana
ccmu hao wanatengeneza story za kijinga ili watu wasijue hoja za msingi za wakosoaj wa huo mkataba , pia wanajirahisishia kaz wakifika kwa wananchi wanapoteza kujibu maswali ya kijinga kama hayo ambayo wao ndo wameyatengeneza huko mtaani ili waty wasijue mapunguf ya mkataba , nmeona mikutano kama 5 ya ccmu muda wote wamekuwa wanaelezea hayo mnayoyasena ambayo sio hoj msingi za wakosoaj wa mkataba huu wa dp world
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.



Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.

Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.

The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.

Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.

Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.

The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Unazungumzia HGA ipi tena, kwani tayari hiyo IGA ndani yake kuna HGA. Wasukuma wanasema, "It is two in one" au "It is under one roof".

Hivyo ndugu yetu Mayala, hiyo imeenda. Sheria zetu haziruhusu transparency ya mikataba ya uwekezaji. Ni top secret. Hata huu mkataba wa IGA ni mkora mmoja serikalini aliuvujisha kwenye mtandao na kusababisha yote haya yanayoendelea. Huyo mkora aliyefanya hivyo bila shaka alisha chukuliwa hatua kali sana stahiki ili mambo haya yanayoweza kuligawa taifa yasije yakajirudia.

Hivyo sahau kabisa kuhusu hiyo transparency, ni kosa la jinai kwa mjibu wa sheria. Labda sheria hiyo ibadilishwe kwanza na mabadiliko hayo hayataihusu DP World pekee bali mikataba yote ya uwekezaji.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.



Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.

Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.

The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.

Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.

Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.

The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Huu ni mkataba wa kimchongo!! Hizo HGA tayari zipo zimeshaandaliwa na zimeshakubalika (japo hawawezi kukubali hilo)na zinasubiri tu mazingira yakae sawa zianze kufanya kazi!!. Ujue huu mkataba tunaoupigia kelele leo una zaidi ya mwaka mmoja ukiwa katika makabati ya wakubwa ukisubiri wakati muafaka uibuliwe!! Hali kadhalika hizo HGA tayari zilishaandaliwa na ziko kwenye makabati ya wakubwa zikisubiri muda muafaka ziibuliwe na hakuna atakayejua maana hii huwa ni SIRI!! Cha maana ni kukataa kila kitu na mkataba uvunjwe na mchakato uanze upya kwa kuzingatia sheria!
 
Hakuna transparency yoyote katika HGA kwa ni moja kati ya masharti magumu na ya hovyo yaliyomo kwenye IGA ambayo walioshika kwenye mpini wa kisu chetu wamesharidhia. Utasemea wapi ndugu yangu hapo tumeshapigwa na kitu kizito kichwani. Hakuna namna hiyo imeendaaa.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.



Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.

Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.

The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.

Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.

Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.

The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Kuna siku nilikuuliza kuhusu HGA kama itaweza kuwa nafuu kwetu kuliko hii IGA.
Ukasema IGA ishamaliza kila kitu!
Kama ndivyo basi tukomae na Waraka wa TEC kwa waTanzania!
 
Hakuna transparency yoyote katika HGA kwa ni moja kati ya masharti magumu na ya hovyo yaliyomo kwenye IGA ambayo walioshika kwenye mpini wa kisu chetu wamesharidhia. Utasemea wapi ndugu yangu hapo tumeshapigwa na kitu kizito kichwani. Hakuna namna hiyo imeendaaa.
Hili nilishalisema humu humu jf
''kelele zetu zitaishia hapa hapa online"
 
Tanzania ilikuwa hatua ya kwanza ya uendeshaji wa bandari hatua ya Service Port.

Rais Samia amevuka hatua ya Tool Port na anaipeleka nchi kwenye hatua ya Landlord Port.

Jana wakati anahutubia akatumia neno HUB akiongelea kuwa mipango ni kulifanya jiji la Dar liwe Hub, nina uhakika wasomi wetu wengi hawalijui hilo neno linamaanisha kitu gani.
Tupe maana yake mkuu sisi maleimani.
 
Back
Top Bottom