#COVID19 Baada ya Israel kuchanja 70% ya watu wake dhidi ya Covid 19, maambukizi yarudi kwa kasi kubwa

Aya wale waumini wa hao mabeberu wa taifa teule ,taarifa yenu hiyo buster for second &third time.[emoji18]
And counting....Hii ramli juu ya korona sijui itatufikisha wapi?!
 
Sure he was MWAMBA USIOTETELEKA asee!.
Najiuliza hata kama alikuwa mwongo, inamaana ile inshu ya wale Wanawake waliochanjwa chanjo kuhusu inshu ya uzazi Kenya kisha wakaishia kutokuzaa kabisa pia ilikuwa ni siasa?

Yani sisi Binadamu hatupendi kujifunza hata kidogo maana halisi ya maisha.
 
Hapo wanasema chanjo imepunguza vifo kutoka 101 hadi 25. Ni vizuri ukaweka source.
 
Hiyo ni narrative moja. Inaweza kuwa sahihi.

Narrative nyingine ni hii....37% ya population haijachanjwa. From a purely scientific perspective, and all things being equal, wanaoathirika (hadi kufa) ni wale ambao hawajachanjwa. Na hii pia inaweza kuwa sahihi.

Inahitajika scientific approach kabla ya kutoa sweeping statements za kwamba chanjo inafaa au haifai.

Nimemaliza.
 
Naomba utuwekee link
 
Mh Haya wacha tuone upgrading ya mifumo.
 
Chanjo Bado cio suruhisho kwa covid pale New Zealand wamesharipoti kifo Cha mama mmoja kusababishwa na chanjo. Jamani msichanje wekeni matumaini kwa mungu. Amina.

Wengine wanasema wanachanja ili waweze kusafiri. Yaan akili ni nywele
 
Umeshindwa kuitafsiri hiyo habari yenye lugha ya kiingereza,siyo kosa lako kiingereza siyo lugha yako ni lugha iliyokusaidia kujibu maswali kwenye mitihani ya shule ulizosoma si zaidi ya hapo,halafu hakuna sehemu iliyowahi kuelezewa kwamba chanjo inakinga mtu asipate virusi vya covid 19 huo ni uelewa wako mbaya.
 
Najiuliza hata kama alikuwa mwongo, inamaana ile inshu ya wale Wanawake waliochanjwa chanjo kuhusu inshu ya uzazi Kenya kisha wakaishia kutokuzaa kabisa pia ilikuwa ni siasa?

Yani sisi Binadamu hatupendi kujifunza hata kidogo maana halisi ya maisha.

Mkuu ukitaka kuishi maisha yasiyo na giriba na hofu uwe muongo, usiwe na msimamo thabiti mbele za watu nk.

Hapo utapeta sana, na hiyo si kwenye siasa tu is any where!.
 
Mkuu ukitaka kuishi maisha yasiyo na giriba na hofu uwe muongo, usiwe na msimamo thabiti mbele za watu nk.

Hapo utapeta sana, na hiyo si kwenye siasa tu is any where!.
Nimekuelewa sana Kaka maana wenye misimamo huwa mwisho wao si mzuri sana, japo kwa Mungu pekee hutakiwi kuwa na sura 2 tofauti.
 
Nimekuelewa sana Kaka maana wenye misimamo huwa mwisho wao si mzuri sana, japo kwa Mungu pekee hutakiwi kuwa na sura 2 tofauti.
Huko kanisani ambako ndiko kimbilio la wanyonge kwa Mungu wao ndipo kunatisha kwelikweli!.
 
Ila hapa Tanzania kabla ya taarifa ya habari Mama analitaarifu taifa kuwa chanjo j&j ni salama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…