Chonde chonde na kauli zako aisee unaongea usichokijua! Better be quite and learn things, ulishawahi kuskia serikali za nchi flan wamefunga internet ya nchi nzima unadhan nan ndo hua wanafunga hio internet?
Na je unajua serikali ndo anaesmamia mkongo mzima taifa lote, yaaani wanaweza wakanuna tu na mitandao yote isifanye kazi, punguza ushabiki aisee
Yawezekana wametumia ubindam kuextend mda zaidi lakini kila kinachopita kwenye mawimbi kiko under there control
Mda mwingine mnafanya nchi tunaonekana wananchi wetu hakua kitu kabisa kichwan kwa mada kama izi, ebu get some education kwanza unatia Ainu
Izo data za fingerprints anapewa yoyote anaezitaka, meaning kwamba hata mm leo nkizitaka napewa as long umekuja kuweka kidole sehem taarifa zako znahitajika na nmekamilisha vibali vyote kwa NIDA