Baada ya kauli ya Mzee Kikwete ningekuwa Mbunge wa Mbeya ningefanya haya

Baada ya kauli ya Mzee Kikwete ningekuwa Mbunge wa Mbeya ningefanya haya

Wabunge wa ccm mkuu wa mkoa wa ccm hapo ndipo tumsaidie mzee kikwete kushangaaaa
 
The problem is watu wa mbeya hawanaga habar na mtu.yan hawakushobei hata uwe nani.Kule kama ulijua utashobokewa et kisa umetoka ulikotoka aisee sahau hilo....kule wanawake vyma wanaume vyuma michongo 24 hours.hukosi usafir wa kuja dar au kwenda popote unaamsha anytime.Kikwete mwenyewe huyo hana hamu na watu wa mbeya..Licha ya kuwa mtu wa watu ile kipindi chake chote cha urais ali sanda kwa watu wa huko..Sidhan hata ziara 5 alifikisha kwenda kule.Mbeya wanapenda vyao.wanapenda watu wao..wanapenda timu zao..wanpenda watu wenye adabu na mji wao.
Ukiwaletea ujua hutakaa uwe na hamu nao.ni wapole ila ni wajeuri hatari.. ni watu wenye upinzani haswaaa pindi wakiamua yao hawabadirik badiriki.
Mbeya heshima
 
Hivi wale Uyole naona wana maeneo makubwa sanaa, hayawezi kumegwa?
Kwanini Uyole imegwe wakati hata kile chuo kina mahitaji makubwa? Mbeya ni kubwa sanaaaa wajipange tuu vizuri
 
Akiwa jijini Mbeya Rais Mstaafu wa JMT Jakaya Mrisho Kikwete aliulaumu uongozi wa Mkoa wa Mbeya kwa kutokuwa serious kwa kutoa eneo la ekari 50 juu Kwa ajiri ya kujenga Tawi la chuo kikuu cha Dsm.

Kusema kweli asante sana Rais Mstaafu Mhe Kikwete Kwa kuwaambia ukweli watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya wana sifa zifuatazo

1. Kujiona wana maendeleo wakati hawana lolote

2. Kujiona wanajua kila kitu wakati hakuna chochote wanachojua

Ukiwa hujafika Mbeya unaweza sema Mbeya ni jiji la kipekee sana Kwa namna watu wa Mkoa wanavyojiweka kwa wengine ila ukifika ndo utaona kumbe ni Mkoa wa hovyo kupindukia. Mbeya hawajali mipango miji, hawajui hata kujenga nyumba Nzuri za kisasa! Wanashindwa hata na Mkoa wa juzi Njombe. Mbeya imejaa uchafu sana na ujengaji wa nyumba wa hovyo kupindukia wanajifanya wana makanisa mengi kumbe wamejaa ushirikina kupindukia na hawapendi maendeleo ya wengine!

Nirudi kwenye Mada!
Tangu JK aongelee lile suala nilitegemea wabunge wa Mbeya watakuwa Wameshaitisha kikao na kujadili jinsi gani watapata ilo eneo la kuwapa Chuo kikuu cha Dsm.

Kwa wasiojua, uwepo wa Chuo kikuu kikubwa Kama UDSM sehemu, sio tu unahamasisha maendeleo, Ila unaleta chachu ya ukuaji wa kiuchumi na kifikra sehemu husika! Mikoa mingi shule na vyuo ndo vimewafanya hata waachane na Mila potofu na kujikita kwenye maendeleo

Leo hii ningekuwa Mbunge wa Mbeya, ningewakusanya wabunge wenzangu na tukaenda kwa Mkuu wa Mkoa kujadiliana nae kwa mapana sehemu gani tuitoe ili tujenge kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam
JK ana mawazo ya kizamani ambapo vyuo vikiuu vilipimwa ubora kwa ukubwa wa eneo ambako vimejengwa. Sehemu kubwa inayo occupy kwa mfano UDSM ni mabweni.

Kitu cha muhimu kwa vyuo vya kisasa ni Lecture halls, laboratories, workshops na library.

Suala la mwanafunzi atalala wapi haipaswi kuwa concern ya chuo. Chuo kimpe tu mwanafunzi muda anaotakiwa kuwa darasani.

Masuala ya madeni iachiwe sekta binafsi ijenge. Tusirudie makosa ya kuweka resources nyingi kwenye sehemu Moja kama ilivyo UDOM
 
JK ana mawazo ya kizamani ambapo vyuo vikiuu vilipimwa ubora kwa ukubwa wa eneo ambako vimejengwa. Sehemu kubwa inayo occupy kwa mfano UDSM ni mabweni.

Kitu cha muhimu kwa vyuo vya kisasa ni Lecture halls, laboratories, workshops na library.

Suala la mwanafunzi atalala wapi haipaswi kuwa concern ya chuo. Chuo kimpe tu mwanafunzi muda anaotakiwa kuwa darasani.

Masuala ya madeni iachiwe sekta binafsi ijenge. Tusirudie makosa ya kuweka resources nyingi kwenye sehemu Moja kama ilivyo UDOM
Kwetu tunataka chuo,huo ukisasa fanyeni huko kwenu
 
Mbeya imejengwa hovyo sana! Na watu wa mbeya hawajui kujenga nyumba Nzuri na zenye ubora! Huo ndo ukweli!
Huo sio ukweli. Mbeya imejengwa kiholela sikatai ila hiyo ya kutojua kujenga nyumba nzuri si kweli mkuu. Nyumba nzuri zipo kibao.

Tatizo la ujenzi holela wa mbeya sio wa juzi wala jana ni toka kitambi hicho. Na ndio maana nyumba nyingi zinazoonekana pembezoni mwa barabara ni mbaya kwasababu ni za zamani. Ndio mana nasema mtu kama wewe ni wale ambao wamekaa mbeya mda mfupi sana hawaijui vyema, pembezoni mwa barabara nyumba nyingi ni za kitambo hicho ila huko ndani kuna maeneo kuna nyumba kali tu. Huu sasa ndo ukweli ishi nao.
 
Mbeya ni jiji lakini wapo kama wilaya za Makete. kuna vitu vifuatavyo yaani Mbeya na ujanja wao wote walitanguliwa na ka mkoa kadogo tu ka Iringa
1. Radio FM station mbeya zimeanza juzi tu Iringa tokea 2004
2. Viwanda vya kutengeneza maji ya kunywa
3. Bakery za mikate, Juzi tu hapa mikate walikua wananunua Iringa
 
Mbeya ni jiji lakini wapo kama wilaya za Makete. kuna vitu vifuatavyo yaani Mbeya na ujanja wao wote walitanguliwa na ka mkoa kadogo tu ka Iringa
1. Radio FM station mbeya zimeanza juzi tu Iringa tokea 2004
2. Viwanda vya kutengeneza maji ya kunywa
3. Bakery za mikate, Juzi tu hapa mikate walikua wananunua Iringa
Baada ya kutangulia vipi bado mumetangulia? Unachekesha Sana .Mbeya ni Mkoa wa tatu kwa uchumi mkubwa Tzn hata baada ya kugawanywa.
 
Huo sio ukweli. Mbeya imejengwa kiholela sikatai ila hiyo ya kutojua kujenga nyumba nzuri si kweli mkuu. Nyumba nzuri zipo kibao.

Tatizo la ujenzi holela wa mbeya sio wa juzi wala jana ni toka kitambi hicho. Na ndio maana nyumba nyingi zinazoonekana pembezoni mwa barabara ni mbaya kwasababu ni za zamani. Ndio mana nasema mtu kama wewe ni wale ambao wamekaa mbeya mda mfupi sana hawaijui vyema, pembezoni mwa barabara nyumba nyingi ni za kitambo hicho ila huko ndani kuna maeneo kuna nyumba kali tu. Huu sasa ndo ukweli ishi nao.
Wapi kulikojengwa kwa mpangilio?
 
Baada ya kutangulia vipi bado mumetangulia? Unachekesha Sana .Mbeya ni Mkoa wa tatu kwa uchumi mkubwa Tzn hata baada ya kugawanywa.
Mbeya ni jiji la kwanza Africa Mashariki lililojengwa Hovyo na watu wake bado washamba sana tofauti na majiji mengine
 
Mbeya ni jiji la kwanza Africa Mashariki lililojengwa Hovyo na watu wake bado washamba sana tofauti na majiji mengine
Weka hiyo taarifa rasmi inayoonesha rankings badala ya upuuzi wako..

Huko kwako kumejengwa vizuri?[emoji16][emoji16]
 
The problem is watu wa mbeya hawanaga habar na mtu.yan hawakushobei hata uwe nani.Kule kama ulijua utashobokewa et kisa umetoka ulikotoka aisee sahau hilo....kule wanawake vyma wanaume vyuma michongo 24 hours.hukosi usafir wa kuja dar au kwenda popote unaamsha anytime.Kikwete mwenyewe huyo hana hamu na watu wa mbeya..Licha ya kuwa mtu wa watu ile kipindi chake chote cha urais ali sanda kwa watu wa huko..Sidhan hata ziara 5 alifikisha kwenda kule.Mbeya wanapenda vyao.wanapenda watu wao..wanapenda timu zao..wanpenda watu wenye adabu na mji wao.
Ukiwaletea ujua hutakaa uwe na hamu nao.ni wapole ila ni wajeuri hatari.. ni watu wenye upinzani haswaaa pindi wakiamua yao hawabadirik badiriki.
Mbeya heshima
Unaijua mbeya kwa juu juu tu. Tatizo la kukosa ardhi ni umimi wa watu wa Mbeya dhidi ya wenzao wa Mbeya. Wale waliopo ngazi za maamuzi wanataka chuo kikajengwe kwenye maeneo ya kwao licha ya ufinyu wa ardhi maeneo yale. Hoja ya JK ni kama anawaambia hao kuwa amewachoka. Wasipokuwa makini, chuo kitapelekwa Tabora au Lindi kwenye ardhi ya kutosha.
 
Nilitegemea Tulia hadi leo angekuwa ameshaitisha kikao na wabunge wenzake kusimamia hili ila wapi!!

Ndo mana Mbeya ndo jiji pekee lisilo na double road na wabunge na wananchi wameridhika tu
COM walikosea sana kumpa Tulia Ubunge. Kuna jamaa mmoja hivi alipata kura 3 wakati wa mchuano ndani ya Chama huyo angefaa mnoo kuibadili Mbeya. Jamaa huyo ni jembe sana kwa msiomfahamu, mlimfanyia fitina bure mpaka akawekwa ndani!, huyu jamaa ana maamuzi ya uthubutu katika maamuzi yenye maslai mapana ya Taifa, mwaka 2025 msifanye kosa tena.
 
Akiwa jijini Mbeya Rais Mstaafu wa JMT Jakaya Mrisho Kikwete aliulaumu uongozi wa Mkoa wa Mbeya kwa kutokuwa serious kwa kutoa eneo la ekari 50 juu Kwa ajiri ya kujenga Tawi la chuo kikuu cha Dsm.

Kusema kweli asante sana Rais Mstaafu Mhe Kikwete Kwa kuwaambia ukweli watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya wana sifa zifuatazo

1. Kujiona wana maendeleo wakati hawana lolote

2. Kujiona wanajua kila kitu wakati hakuna chochote wanachojua

Ukiwa hujafika Mbeya unaweza sema Mbeya ni jiji la kipekee sana Kwa namna watu wa Mkoa wanavyojiweka kwa wengine ila ukifika ndo utaona kumbe ni Mkoa wa hovyo kupindukia. Mbeya hawajali mipango miji, hawajui hata kujenga nyumba Nzuri za kisasa! Wanashindwa hata na Mkoa wa juzi Njombe. Mbeya imejaa uchafu sana na ujengaji wa nyumba wa hovyo kupindukia wanajifanya wana makanisa mengi kumbe wamejaa ushirikina kupindukia na hawapendi maendeleo ya wengine!

Nirudi kwenye Mada!
Tangu JK aongelee lile suala nilitegemea wabunge wa Mbeya watakuwa Wameshaitisha kikao na kujadili jinsi gani watapata ilo eneo la kuwapa Chuo kikuu cha Dsm.

Kwa wasiojua, uwepo wa Chuo kikuu kikubwa Kama UDSM sehemu, sio tu unahamasisha maendeleo, Ila unaleta chachu ya ukuaji wa kiuchumi na kifikra sehemu husika! Mikoa mingi shule na vyuo ndo vimewafanya hata waachane na Mila potofu na kujikita kwenye maendeleo

Leo hii ningekuwa Mbunge wa Mbeya, ningewakusanya wabunge wenzangu na tukaenda kwa Mkuu wa Mkoa kujadiliana nae kwa mapana sehemu gani tuitoe ili tujenge kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam
Umewaambia kweli Kabisa, Mbeya ni hovyo ni kama Kijiji chenye watu wengi
 
Mtoa mada umesahau kusema Mbeya walichokufanyia. Ninawasiwasi mtoa mada umeoa Mbeya kama hujaoa Mbeya basi kuna ndugu yako kaoa Mbeya na amebanwa haswa.

Binafsi nakupenda Mbeya kwasababu zifuatazo.
1. Mbeya kuna hali ya hewa nzuri ambayo hata mgeni kutoka ulaya lazima aipende.
2. Mbeya kuna vyakula vingi vitamu na vya kila aina na vya bei ndogo.
3. Mbeya kuna mazingira mazuri ya kusomea
4. Mbeya unakunywa maji ya kisima[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Mbeya unafulia maji ya kisima.
5. Mbeya ukiagiza chakula hotelini maji ya kunywa unamiminiwa kutoka kwenye majagi maalumu. Na hayo maji yanachotwa kwenye ndoo tu.

Japo naishi Dar ila huwa napenda sana ningeishi Mbeya. Dar kuna mbu sana mpaka kero nyieee, Dar unalala ndani ya chandarua. Dar maji ya kunywa ni shida, Dar maji ya kufulia ni shida, Dar maji ya kuoga ni shida.

Hii ndio imenipa akili ya kuanza mkakati wa kufungua kiwanda cha Kuchukua maji ya bahari ya Hindi na kuondoa chumvi, ili kupata maji safi na salama. Lakini pia kuna vimashine nitawauzia wakazi wa Dar es salaam waliochimba visima vyenye maji ya chumvi, vitakua vinatumia solar kutoa chumvi kwenye maji ya kisima. Sasa wakazi wataweza kupata maji ya kunywa, kufulia na kuoga majumbani mwao.
Yaaani hayo Mazuri uliyoyataja hakuna tofauti na pale Tanangozi, Jiji linapewa sifa za kijiji
 
Una ushauri mzuri ila uwasilishaji wako una walakini, umejaa kejeli na tambo zisizo na maana yoyote. Mbaya zaidi una hasira na mbeya na wanambeya.

Mbeya inalisha mikoa mingi na nchi jirani kwa mazao yake adhimu kabisa. Mbeya watu wake ni wakarimu mno tofauti na upotoshaji wa mleta uzi.

Kuhusu miundombinu kama hiyo barabara anayosema ni kweli ina njia moja lakini kwa sasa imeboreshwa kwa sasa kuna njia 3 na sio mbili tu kama uyo jamaa alivosema. Ni kama baadhi ya barabara nyingi za dsm zenye foleni kiasi zilivyo.

Barabara za mitaani ni full mkeka, eti hawajui kujenga daah we jamaa una chuki na mbeya sio bure na nadhani ulikuja ukakaa wiki tu ukasepa.

Kwa mfanyakazi alieajiriwa kwa mashahara wowote ule basi mbeya ni mahali sahihi kwako kuishi, utaenjoy mnoo.
Yeye anaongelea Mbeya Jiji wewe unasema mambo ya kulisha mikoa. Kwani huko Soweto na Mafiat mnalima
 
Akiwa jijini Mbeya Rais Mstaafu wa JMT Jakaya Mrisho Kikwete aliulaumu uongozi wa Mkoa wa Mbeya kwa kutokuwa serious kwa kutoa eneo la ekari 50 juu Kwa ajiri ya kujenga Tawi la chuo kikuu cha Dsm.

Kusema kweli asante sana Rais Mstaafu Mhe Kikwete Kwa kuwaambia ukweli watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya wana sifa zifuatazo

1. Kujiona wana maendeleo wakati hawana lolote

2. Kujiona wanajua kila kitu wakati hakuna chochote wanachojua

Ukiwa hujafika Mbeya unaweza sema Mbeya ni jiji la kipekee sana Kwa namna watu wa Mkoa wanavyojiweka kwa wengine ila ukifika ndo utaona kumbe ni Mkoa wa hovyo kupindukia. Mbeya hawajali mipango miji, hawajui hata kujenga nyumba Nzuri za kisasa! Wanashindwa hata na Mkoa wa juzi Njombe. Mbeya imejaa uchafu sana na ujengaji wa nyumba wa hovyo kupindukia wanajifanya wana makanisa mengi kumbe wamejaa ushirikina kupindukia na hawapendi maendeleo ya wengine!

Nirudi kwenye Mada!
Tangu JK aongelee lile suala nilitegemea wabunge wa Mbeya watakuwa Wameshaitisha kikao na kujadili jinsi gani watapata ilo eneo la kuwapa Chuo kikuu cha Dsm.

Kwa wasiojua, uwepo wa Chuo kikuu kikubwa Kama UDSM sehemu, sio tu unahamasisha maendeleo, Ila unaleta chachu ya ukuaji wa kiuchumi na kifikra sehemu husika! Mikoa mingi shule na vyuo ndo vimewafanya hata waachane na Mila potofu na kujikita kwenye maendeleo

Leo hii ningekuwa Mbunge wa Mbeya, ningewakusanya wabunge wenzangu na tukaenda kwa Mkuu wa Mkoa kujadiliana nae kwa mapana sehemu gani tuitoe ili tujenge kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam
Mheshimiwa tafadhali sana unatuchanganya sana wenzio tunaojua Lord Denning alikuwa mtu gani pale Uingereza!
 
Habari hii imenikumbusha urasimu uliokuwepo Wakati wa kuomba eneo la iliyo Sasa Hospitali ya Taifa Muhimbili tawi la Mloganzila, Wakati huo mchakato ukiwa chini ya Muhas. Figisu Kama hizi zilitokea Sana kukwamisha suala hilo hadi nyepesi nyepesi zilipomfikia Rais wa Wakati huo Comrade Kikwete. Kwanza nae alishangaa, mtu gani mwenye akili aliyekua anapinga project Ya Aina Ile. Ashukuriwe Mungu baada ya Rais kuagiza suala lile lishughulikiwe haraka Leo tuna hospitali nzuri tunayojivunia sote na juzi Kati nimeona mahali kuwa wanna mpango wa kuanza ujenzi wa Kituo Cha Ubobezi wa magonjwa ya Moyo na mishipa ya damu Cha Africa Mashariki.
 
Back
Top Bottom