Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Huyo dada yetu anapambana kweli kweli ili baadae aje kuchaguliwa kiulaini kuwa mwenyekiti wa bawacha baada ya halima Mdee kumaliza muda wake. Kwahiyo wenye akili tunamuelewaChadema mnahangaika sana.
Makamu wa Rais atatoka CCM siyo Ufipa!
Kuwatenga wachaga ni sawa na kukataa maendeleo katika nchi hiMbona sasa kama wachaga wanatengwa?
Utamtaja akishatajwa, si ndio...Hatimaye kwa namna yoyote ile ubao umelalia kaskazini. Kwa mara ya kwanza katika historia huenda na kwa asilimia kubwa tena za kutosha makamu wa Rais atatokea katika ukanda huo yaani kaskazini.
Mimi nimemhifadhi mtu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kukalia hicho kiti. Nitakuja kumtaja huko mbeleni.
Unaweza kubashiri.
Wanatengwa na nani?Mbona sasa kama wachaga wanatengwa?
Ahajawahi kuwa makamu wa rais bali waziri mkuu...Mnamjua Cleopa Msuya? Hakuwahi Kuwa makamu wa Rais Mwinyi?
Nani huyo pale kaskazini. Prof Maghembe ambaye hata kwenye msiba sdhan kama kaonekana. Au wewe unataka kutuambia nani. Labda Dr kimei anayeonekana na yeye atakuwa na vitabia vya uchaga vyenye mlengo wa kichatochato. Nani sasa pale kaskazin maana naona labda January Makamba kijana mwenye maono ya kuyaishiHatimaye kwa namna yoyote ile ubao umelalia kaskazini. Kwa mara ya kwanza katika historia huenda na kwa asilimia kubwa tena za kutosha makamu wa Rais atatokea katika ukanda huo yaani kaskazini.
Mimi nimemhifadhi mtu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kukalia hicho kiti. Nitakuja kumtaja huko mbeleni.
Unaweza kubashiri.
Kuna watu wanasema wakipewa wachaga hiyo nafasi basi tutegemee Tanzania kutekwa kama CRDBWanatengwa na nani?
Kwamba kutauzwa mbege ofisi ya makamu?!Kuna watu wanasema wakipewa wachaga hiyo nafasi basi tutegemee Tanzania kutekwa kama CRDB
Jo ubongo wako ni nusu na roboChadema mnahangaika sana.
Makamu wa Rais atatoka CCM siyo Ufipa!
Waliopoteza muda wao kukulea nawaonea huruma.Chadema mnahangaika sana.
Makamu wa Rais atatoka CCM siyo Ufipa!
Waambie hao MATAGA uchwaraKuikataa na kuibeza kaskazini ni kukataa maendeleo.
Wakati huo makamu wa rais alikuwa wapi hadi Msuya akawa vp at the same timu akiwa ni pm?Fuatilia Historia Kijana.. alikuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu at the same time mwaka 1983
Ndio maana Hayati JPM alitaka somo la historia ya Tanzania lifundishwe ili kusaidia watu kama hao.Fuatilia Historia Kijana.. alikuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu at the same time mwaka 1983
Lyatonga Mrema ndio mchaga wa ukweli!Waliopoteza muda wao kukulea nawaonea huruma.
Kasikazini kuna makabila wengi siyo wachaga tuMbona sasa kama wachaga wanatengwa?
Mimi niliwataja wachaga kwa sababu comment nyingi zinawataja wachagaKasikazini kuna makabila wengi siyo wachaga tu