Utamtaja akishatajwa, si ndio...
 
Nani huyo pale kaskazini. Prof Maghembe ambaye hata kwenye msiba sdhan kama kaonekana. Au wewe unataka kutuambia nani. Labda Dr kimei anayeonekana na yeye atakuwa na vitabia vya uchaga vyenye mlengo wa kichatochato. Nani sasa pale kaskazin maana naona labda January Makamba kijana mwenye maono ya kuyaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuatilia Historia Kijana.. alikuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu at the same time mwaka 1983
Wakati huo makamu wa rais alikuwa wapi hadi Msuya akawa vp at the same timu akiwa ni pm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…