Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Nani huyo pale kaskazini. Prof Maghembe ambaye hata kwenye msiba sdhan kama kaonekana. Au wewe unataka kutuambia nani. Labda Dr kimei anayeonekana na yeye atakuwa na vitabia vya uchaga vyenye mlengo wa kichatochato. Nani sasa pale kaskazin maana naona labda January Makamba kijana mwenye maono ya kuyaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Makamba nadhani yuko vizuri
 
Mimi naona mazingira ya uongozi wa Rais Samia Suluhu yananishawishi ni heri kamanda mstaafu Jenerali Mwamunyange afikiriwe umakamu wa Rais.Huyu ndiye "roho wa Bwana" ananionyesha sana. Kila nikisali anakuja huyu wa kwanza.

Mwingine ni dokta Wilbroad Peter Slaa. Yaani huyu apewe hata uwaziri mkuu ikishindikana umakamu.

Mwisho ni Philip Marmo, Mzee Mangula, Christopher Chiza, William Lukuvi na Job Ndugai na Anthony Mtaka.

Hivi kule TISS hakuna wazee wetu wastaafu waliobakiabakia?
Hivi hata knowledge ndogo ya katiba hamna?
 
Cleopa amewahi kuwa makamu wa raisi, alichokua nafasi ya Malecela. Ila ni kweli hili mlikuwa hamjui au ni ubishi tu? Ukiingia hata Google si unaweza kupata hiyo habari?
Hayo unayemfundisha ni mimi au nani? Mimi nilikuwa namshangaa mleta mada na mmoja wa wachangiaji law kushindwa kuifahamu historia nyepesi namna hiyo.
 
Nawaza tu hapa nikiwa Lindoni, natafakari ikiwa Mheshimiwa Samia Suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ataamua kumteua Kassim Majaliwa mbunge na Waziri Mkuu kuwa Makamu wa Rais na William Lukuvi kuwa Waziri Mkuu, tutapata combination ngumu yenye speed ya ajabu.

Watumishi ambao watendaji wazembe watasema bora Magufuli alikuwa na huruma.
 
Nawaza tu hapa nikiwa Lindoni, natafakari ikiwa Mheshimiwa Samia Suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ataamua kumteua Kassim Majaliwa mbunge na Waziri Mkuu kuwa Makamu wa Rais na William Lukuvi kuwa Waziri Mkuu, tutapata combination ngumu yenye speed ya ajabu.
Watumishi ambao watendaji wazembe watasema bora Magufuli alikuwa na huruma.
Zote hizo ni taka taka. Meko alishaziharibu.
 
Moto unategemea Rais. Ndio maana kila jambo walikuwa wakisema kwa maelekezo/maagizo ya mheshimiwa rais...
 
Nawaza tu hapa nikiwa Lindoni, natafakari ikiwa Mheshimiwa Samia Suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ataamua kumteua Kassim Majaliwa mbunge na Waziri Mkuu kuwa Makamu wa Rais na William Lukuvi kuwa Waziri Mkuu, tutapata combination ngumu yenye speed ya ajabu.
Watumishi ambao watendaji wazembe watasema bora Magufuli alikuwa na huruma.
Majaliwa hafai. Tumsahau kabisa. Lukuvi sawa, anakubalika.
 
Back
Top Bottom