njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
haaaaaaaaaaaaaaaaa raia mnanizomea kwa maoni yangu binafsi,nimeweka video zake mbili kuhusu tundu lissu uwezo wake wa kuchanganua mambo ulinivutia sana kwenye sakata la lissu ,ndugai ndiye Rais ajaye wa Tanzania....2025-hadi atakapoamua kuacha mwenyewe ATAKE ASITAKE ATATATAWALA NCHI HII KWA MIAKA 30Achana na uwezo wa ndugai
Kwako wewe bora kuwa VP kuliko kuwa speaker.
Kwani kwa sahizi ambapo hatuna VP Then Raisi akashindwa Kutekeleza majukumu yake nani anatakiwa kuwa Raisi.
Haupo serioushaaaaaaaaaaaaaaaaa raia mnanizomea kwa maoni yangu binafsi,nimeweka video zake mbili kuhusu tundu lissu uwezo wake wa kuchanganua mambo ulinivutia sana kwenye sakata la lissu ,ndugai ndiye Rais ajaye wa Tanzania....2025-hadi atakapoamua kuacha mwenyewe ATAKE ASITAKE ATATATAWALA NCHI HII KWA MIAKA 30
niko serious kuliko nyie wachangiaji woteHaupo serious
Ndugai umakamu hupati uspika wenyewe siku zinahesabika
Kweli una njaa kali na bado, wewe na wenzako njaa itawamaliza.NAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
ID ya Ndugai hii. Anajipigia debe baada ya kuona bunge linaweza vunjwa mda wowote kupisha Uchaguzi mpya wa Wabunge.Nani amekupa wazo La kujipendekeza kwa ndugai? Amekutuma?
Naongezea laana nyingine kwakeKama una kizazi chenye mawazo haya ulaaniwe nacho
seriously?ID ya Ndugai hii. Anajipigia debe baada ya kuona bunge linaweza vunjwa mda wowote kupisha Uchaguzi mpya wa Wabunge.
Ndugai tulikwambia wewe ni DHAIFU Ndugai.
Naona umelewa ugimbi hapo chamwinoNAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
Ndu-gayi huyu huyu anayedharau KATIBA na kuisigina hadharani mchana kweupe??πNAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
WTF are talking about?NAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
Nimelewa alaf mleta mada anataka kuniharibia pombe zanguHii ndiyo ID ya Job??
Ila ka siyo ID yake tukubaliane akutukanaye hakuchagulii tusi [emoji23]
Hebu tujaribu kuwa serious kidogo!
Everyday is Saturday................................π