Usipoangalia ulikotoka huwezi jua uendako!!Zinduka, yameishaa hayoooo. Tupambane na mapyaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipoangalia ulikotoka huwezi jua uendako!!Zinduka, yameishaa hayoooo. Tupambane na mapyaaa
Sasa we sindio umevujisha!! maboya wengine!Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
Hovyo kuliko wewe?Yule mpuuzi tu yani namdharau. Ni mtu wa hovyo kabisa
Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
unaota ebu rudi ukalale!Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
Kaa na mavi yako nyumbani
Unajitekenya alafu unacheka mwenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hicho chama ndio kimeshika hatamu. Polepole ni rais ajae in 10 or 15 years time, alishaanza kuandaliwa.
Sasa mbona wewe ndio unacheka na hizo images??Unajitekenya alafu unacheka mwenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
Hiyo nafasi haifai apewe mtu mwenye majigambo na majivuno, inataka mtu mwenye busara ya hali ya juu, ukiona mtu anafananisha thamani ya gari V8 analotembelea na mtu huyo amefilisika akiliWanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
Kwaiyo kigezo ni ukanda?Humphrey ni wa kanda ya Ziwa vile. Hakuna ubaya maana factors zote muhimu za kuwa makamu wa rais anza. Ni Mkristu, anaweza kufanya kazi kwa karibu na Madame President na pia anafahamu umuhimu wa Muungano na anaweza kuupigania.
Ile Zeee ya unajua V8 wewePolepole huyu ninaemjua Mimi au mwengine?