Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.

Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.

Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.

Naombeni mniamini.
Sasa we sindio umevujisha!! maboya wengine!

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.

Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.

Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.

Naombeni mniamini.

Sawa Kigogo 2014
 
Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.

Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.

Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.

Naombeni mniamini.
unaota ebu rudi ukalale!
 
Kwani Sufuria linapo vuja inamaanisha ni mwisho wa kulitumia....!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.

Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.

Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.

Naombeni mniamini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.

Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.

Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.

Naombeni mniamini.
Hiyo nafasi haifai apewe mtu mwenye majigambo na majivuno, inataka mtu mwenye busara ya hali ya juu, ukiona mtu anafananisha thamani ya gari V8 analotembelea na mtu huyo amefilisika akili
 
Humphrey ni wa kanda ya Ziwa vile. Hakuna ubaya maana factors zote muhimu za kuwa makamu wa rais anza. Ni Mkristu, anaweza kufanya kazi kwa karibu na Madame President na pia anafahamu umuhimu wa Muungano na anaweza kuupigania.
Kwaiyo kigezo ni ukanda?
 
Back
Top Bottom