Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Humphrey ni wa kanda ya Ziwa vile. Hakuna ubaya maana factors zote muhimu za kuwa makamu wa rais anza. Ni Mkristu, anaweza kufanya kazi kwa karibu na Madame President na pia anafahamu umuhimu wa Muungano na anaweza kuupigania.
Aisee! hadi wewe unampigia chapuo?
Basi itakua kweli chakubanga alivuta mchele wa kushato wakati ule wa utiaji nia
 
Amekuamshaje wewe binafsi tuanzie hapo sasa

Wewe ni kajinga fulani huna unachojua,kwa taarifa yako wenye nchi wanaisafisha sasa baada ya kosa la kiufundi 2015

Hivi biashara ulikatazwa kufanya au uvivu wako na ukosaji wako wa akili ya kutafuta pesa halali?!
Mbona wwnhine tunafanya biashara na maisha yanaenda !? Weww utakua na kasoro ai bure
 
Aisee! hadi wewe unampigia chapuo?
Basi itakua kweli chakubanga alivuta mchele wa kushato wakati ule wa utiaji nia
Na alikua right hand man wa Jiwe kipindi cha kampeni za kupita bila kupingwa.
 
Yote 9 10 tuzingatie suala la dini. Ili kuleta balance na kuondoa maneno. Rais Muslim basi makamo awe Mkristo.
Rais samia suluhu-Muslim
Makamo.........
Waziri mkuu kassim majaliwa-muslim
Jajimkuu Ibrahim hamisi-muslim
 
Bila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Hapana awe Mkristo ili kubalance
 
Kwahiyo hakuna Mkristo mchapakazi mwenye sifa za kuwa Makamu wa Rais?

Jibu kinagaubaga

Please revisit my comments - nimesema linapokuja suala la nani anafaa kuteuliwa kwenye wadhifa wa makamu wa rais
 
Yote 9 10 tuzingatie suala la dini. Ili kuleta balance na kuondoa maneno. Rais Muslim basi makamo awe Mkristo.
Rais samia suluhu-Muslim
Makamo.........
Waziri mkuu kassim majaliwa-muslim
Jajimkuu Ibrahim hamisi-muslim

LEO HIYO[emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] WANAFIKI WAKUBWA NYIE
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina...
HAIWEZEKANI kwa kuwa Prof Kabudi ni muwakilishi wa watu wa Jimbo la Kukosa. Ukiwa Makamu huruhusiwi kuingia Bungeni, ni Muhimili tofauti
 
Yote 9 10 tuzingatie suala la dini. Ili kuleta balance na kuondoa maneno. Rais Muslim basi makamo awe Mkristo.
Rais samia suluhu-Muslim
Makamo.........
Waziri mkuu kassim majaliwa-muslim
Jajimkuu Ibrahim hamisi-muslim
Kwani wakati ule wa teuzi za mawaziri,maRC MaDc etc ulipokuwa unapendelea upande mmoja si mlisema tuangalie uchapa kazi na sio DINI? Sasa leo nini tena,atakaeteuliwa yoyote atafaa cha msingi anauwezo wa kufanya kazi ipasavyo
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

R.I.P Magufuli.
1: paramagamba kabudi or bashiru
2: prime minister: kassimu majaliwa
3: fedha: mpango
4. Madini: Prof Muhongo aliyepo kachemusha dakika za mwisho
5: ardhi: lukuvi
6:
 
Lisu ni wakala wa Lucifer. Mtu anayeshangilia kifo na magonjwa/ maumivu ya wenzake, hafai kuwa Kiongozi. He is an absolute Sadist, gasho na wakala wa Mabeberu.

Jambo moja alijue, Mungu hadhihakiwi.
Dar, hivi shetani ni yupi Kati ya aliyeamrisha mwenzie apigwe risasi afe na alipoona kapona anaitaji matibabu akamnyima.

Na bado ndugai akikutana na mdudu ni siku moja tu chali, hakika huu mwaka haupiti lazima afe
 
Makamu wa Rais atakuwa Prof. Kabudi, January Makamba atakuwa waziri wa mambo ya nje, PM atabakia Majaliwa....
 
Jamani msitulundike kikabila mtego wa panya unainasa mpaka paka.

Huu ukabila si haki.

Kuna Wasukuma wengi hatupendi ukabila.


Kwa kweli kazi mnayo maana ujinga huwa wakati wa kwenda kurudi huwa ni werevu!

Rejea hadithi ya samaki mmoja akioza .......
 
Back
Top Bottom