Hello Wakuu anayefaa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ni Mwana harakati Mr Cyprian Musiba ni mtu Sharp na anaye weza kupambana na Wapinzani na kuongoza nchi vizuri. Viongozi waliobakia wote wapo Very Slow na hawata weza kwenda na Speed alizokuwa akizifanya Marehemu kipenzi wetu Mpendwa Rais Doctor Magufuli.

 
Nimepita kona nyingi za vijiwe, wengi wanapiga ramli kuwa kiti cha makamu wa rais atachukua palamagamba, nilipouliza kwanini awe yeye na sio mwingine majibu yanasuasua kidogo, nageuka kwenu wan JF, kwanini awe palamagamba kabudi?
 
Kwahiyo kazi kubwa unaona ni kupambana na wapinzani? F*cked up African mindsets... Huyo mtukanaji matusi ya nguoni, kutishia kuua na kuvunja miguu cdm ndio unaona nin"usharp" huo ?!? kweli una shida si ndogo we mtu
 
Mm nataka VP awe shabiki wa yanga ili yasije kutokea ya bashite na manji ki ukwel alinipa maumivu makali sana
 
Kwahiyo kazi kubwa unaona ni kupambana na wapinzani? F*cked up African mindsets... Huyo mtukanaji matusi ya nguoni, kutishia kuua na kuvunja miguu cdm ndio unaona nin"usharp" huo ?!? kweli una shida si ndogo we mtu
Hujuwi kuwa anayefaa kuwa Kiongozi ni yule asiye ogopa kitu? na ni Mpambanaji dhidi wasiotaka Maendeleo ya nchi yetu.Mr Musiba anafaa kwa kila kitu Kuongozakuzungumza na kufanya kazi kwa vitendo.
 
Utashangaa linaletwa jitu kama Bashiru au Gwajiboy au Mimacho!

Mi nadhani angeteua mwanamke kabisa ili pale juu pawe level!
Ubaya wa Bashiru ni upi?!! Unaweza kutaja baya lake hata moja?!! Hivi unaelewa kuwa Bashiru ndio alirudisha mali zote za chama zilizokuwa zimeporwa na mafisadi jk na genge lake?!!, Unajua Bashiru ndio ameweka utaratibu mzuri wa chama cha mapinduzi mpaka leo kinakusanya mapato ya kutosha ya chama!! Ni vyema tujishughulishe kutafuta habari kuliko kubeba maneno ya wajinga na kuleta hapa kwa magreat thinker's,
Ninakufahamisha hata uyu Rais mh. Samia hassan, hajamfikia dk Bashiru kwa uadilifu, kwa CCM hii ya sasa watu watatu ndio hawana chembe ya ulafi ni Dk Hussein Mwinyi, mzee Mangula, na Dk Bashiru Ally.
 
Hehh! Ndugai Tena..

Labda kama Mzee aliacha kapendekeza Jina..
 
Tafsiri ya makamu wa Rais ni kwamba kikitokea chochote kwa Samia yeye ndo anakuwa Rais. hiki kikundi cha wapigaji lazima kihakikishe kinaweka mpigaji mwenzao kuwa makamu wa Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…