Je ni kada?
 
Kwanini unafkiri ni nafasi ya mkristo?

Uliloandika linasapotiwa na katiba?

Kwamba rais akiwa muislamu makamu wake lazima awe mkristo

Au ni hisia zako tu.

Kikwete ni muislamu na makamu wake ghalib bilal alikua muislamu hapa napo unasemaje?
 
Kwanini unafkiri ni nafasi ya mkristo?

Uliloandika linasapotiwa na katiba?

Kwamba rais akiwa muislamu makamu wake lazima awe mkristo

Au ni hisia zako tu.

Kikwete ni muislamu na makamu wake ghalib bilal alikua muislamu hapa napo unasemaje?
Haipo kwenye katiba ila kuna busara hutumika tu kuepuka chochote ambacho kinaweza leta divisions ktk taifa...
Kuwa na rais muislamu, makamu wa rais muislamu, waziri mkuu muislamu italeta topics ambazo sio nzuri kwa muunganiko wa taifa.
 
Upuuzi wa assad ni upi?
Alichofanya kwenye mfuko wa pensheni umeishasahau....kumchotea Zitto hela za kutangaza vivutio vya utalii na kuanzisha Chama cha siasa ili kudhoofisha Ukawa!
 
Hiyo Dini imetosha. Tubalance Ebho!

Assad atake asitake ni CAG Mpya "in CCM's VOICE"
 
Kwanini unafkiri ni nafasi ya mkristo?

Uliloandika linasapotiwa na katiba?

Kwamba rais akiwa muislamu makamu wake lazima awe mkristo

Au ni hisia zako tu.

Kikwete ni muislamu na makamu wake ghalib bilal alikua muislamu hapa napo unasemaje?
Waziri mkuu alikuwa nan???

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
CAG hana mamlaka yoyote ya kuidhinisha kutolewa kwa pesa katika account yoyote ya serikali wala mifuko ya hifadhi ya jamii. Hio walitaka kumfanyia scandle ika fail.

Amka wewe.
CAG hana mamlaka yoyote ya kuidhinisha kutolewa kwa pesa katika account yoyote ya serikali wala mifuko ya hifadhi ya jamii. Hio walitaka kumfanyia scandle ika fail.

Amka wewe.
Kweli mkuu nimechanganya na yule ambaye ni balozi sasa hivi! Msiba nzito huu!
 
Salaam Wananzengo

Kutokana na Nchi Yetu kuwa na Msiba ambao kimsingi umeleta hali ya tafakuri kubwa hasa ni nani atatosha kusaidiana na Mama Samia katika Kutuongoza.

Mimi Nashauri Wafuatao Wapewe nafasi.

1. Prof. Mussa Assad.

Kwanza ni Msomi Mzuri na pia amebobea sana kwenye eneo la uchumi..Lakini Pia Prof huyu Ana misimamo mikali sana hivyo ataweza kutusaidia sana.


2. Dr Mpango.
Kwa hawa watu wanaojulikana Mpango anaweza kuwa wa msaada sana. Kwanza ni Mzalendo amefanya kazi World bank na hivyo anajua uchumi wa Dunia na hapa kwetu na pia kwa kukaa kwake Wizara ya Fedha kumempa wigo mpana wa kuhusika na miradi Mikubwa hii pamoja na Makusanyo ya Serikali.

Dr Mpango pia hana kashfa wala sio muoga Kuchukua maamuzi.

Wengine wanaoweza hii nafasi katika wale tulionao wote wana makundi hasimu hivyo uteuzi wao unaweza kuleta mgawanyiko zaidi au kujenga Makundi hasimu zaidi.

Alamski.
 
Badili fikra zako hayo mawazo zama zake zilishapita
 
Assad ni Mzenj, hawezi kuwa VP. Ila anastahili kuwa waziri au KM wa $$, ikishindikana kabisa awe CG wa TRA.

Mpango is tainted - has got too much MATAGA on him atamharibia rais mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…