Uyo Dr Mpango kwani ameshapona kukooa koa? Mbona hajaonekana msibani?
 
Assad ni Mzenj, hawezi kuwa VP. Ila anastahili kuwa waziri au KM wa $$, ikishindikana kabisa awe CG wa TRA.

Mpango is tainted - has got too much MATAGA on him atamharibia rais mpya.
Mbona nasikia Prof Assad ni mdigo wa Tanga!!
 
Kwakweli Membe angekuwa ametulia ndani ya CCM basi hii nafasi ya VP ingekuwa ni yake......tatizo haijui kesho yake
Wewe unaijua kesho yako mkuu?
Ebu tupe mbinu hiyo
 
Kabla hujatumia energy yako Assad hawezi kuwa VP kwa sababu ni kinyume na Katiba. Katiba inaeleza wazi mtu aliyewahi kuwa CAG hatashika madaraka yoyote katika ofisi ya Umma. Hiyo ni moja pili , maana nimeona sehemu CHADEMA wanampigia upatu , uongozi kama huo hautolewi kishabiki wala kwa kumuonea haruma mtu . Kwa vile aliondoka kwenye U- CAG unceremoniously basi ngoja apewe U- VP , kwa vile alipishana na Ndugai labda na wewe Ndugai humpendi na ili kumkomoa Ndugai basi apewe U-VP . Hvyo mtu kama huyo hafai kabisa kupewa uongozi . Huyo atakacho fanya zaidi ni kuleta visasi na Mambo yanayofanana na hayo. Hebu, mleta mada tupe achievement tano tu za Assad zenye ushahidi tangible . Usilte kabisa zile sarakasi zake na Ndugai maana tunazijua
 
Prof Assad ni acting vice councilor wa chuo kikuu cha waislamu cha Morogoro, hana habari na figisu figisu za watu wa nchi hii! Aachwe apumzike zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…